Bongoclass ni nini? Bongoclass ni darasa la kutumia akili na maarifa, katika kuingiza kipato kwa kutumia fursa zilizopo. Ni tovuti inayotowa elimu bure katika Afya, Dini, Burudani na School kwa lugha ya kiswahili.
Hapa utaweza kupata huduma zetu mbalimbali kama kuandika na kusambaza vitabu. Tunatengeneza vitabu na kuviweka kweye App za Android. Tunatengeneza website na blog. Tunatengeneza App za Android
Tunapatikana kwenye tovuti yetu hii, mitandao ya kijamii na kwenye mawasiliano mengine. Unaweza kuwasiliana kwa Barua pepe (Email) yetu muda wowote tunapatikana wasiliana nasi muda wowote utakaopenda