Hapa tunajadili sababu kuu zinazoifanya simu iwe rahisi kudukuliwa, mbinu zinazotumiwa na wadukuzi, na mambo ya kawaida ambayo watumiaji hufanya bila kujua na kujipeleka kwenye hatari.
Dukizi (hacking) ya simu imeongezeka kutokana na matumizi makubwa ya intaneti, mitandao ya kijamii, na programu zisizo salama. Wadukuzi hutumia udhaifu wa kifaa, tabia za mtumiaji, au programu hatarishi ili kupata taarifa au kudhibiti kabisa simu ya mtu.
Wi-Fi bila password ni rahisi kudukuliwa. Mara ukijiunga, mdukuzi anaweza:
Kuangalia unachotuma
Kunasa password zako
Kuingiza programu hatari kwenye simu
Hizi ni link zinazoonekana halali lakini zimeandaliwa kukuchukua:
Password
Kuweka malware
Kukudanganya utoe taarifa zako
Faili za APK zisizotoka Play Store au App Store mara nyingi huwa na spyware au keylogger zinazorekodi kila unachoandika.
Password kama:
123456
0000
jina lako
tarehe ya kuzaliwa
huifanya simu iwe rahisi kufunguliwa na mdukuzi.
Kila update hubeba “security patch”. Usipo-update, unakuwa na udhaifu ambao wadukuzi wanaujua tayari.
VPN nyingi za bure hushusha spyware au kukusanya data zako kwa siri.
Mdakuzi aliyeko karibu anaweza kuunganisha kifaa chake na chako bila wewe kujua.
Mfano app ya calculator ikitaka:
kamera
microphone
location
hiyo ni hatari. Wadukuzi hutumia njia hii kuingia.
Kutoset fingerprint, PIN ngumu, au screen lock hufanya simu iwe rahisi kufunguliwa.
Baadhi ya mafaili husambaa kama picha au video lakini yana malware ndani.
Je wajua kuwa zaidi ya 60% ya simu zinazodukuliwa hutokea kutokana na mtumiaji kubofya link moja tu ya ulaghai (phishing)?
Wi-Fi za bure, link za utapeli na apps za nje zipo katika hatari kubwa ya kudukuliwa.
Password dhaifu na kutoupdate simu kunatoa nafasi kwa wadukuzi.
Ruhusa nyingi kwa app na kutumia VPN zisizoaminika kunafungua “mlango” wa udukuzi.
Kuweka screen lock na kuwa makini unapopakua faili ni njia rahisi za kujilinda.
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Soma Zaidi...Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Soma Zaidi...Server ni kompyuta au mfumo unaotoa huduma au rasilimali kwa kompyuta na vifaa vingine kupitia mtandao. Zinaweza kutoa huduma kama kuhifadhi data, kuendesha tovuti, kusambaza faili, au kushughulikia barua pepe.
Soma Zaidi...Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.
Soma Zaidi...RAM (Random Access Memory) na ROM (Read-Only Memory) ni aina za kumbukumbu kwenye kompyuta au vifaa vya kielektroniki, lakini zina malengo na tabia tofauti.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Virusi vya kompyuta ni programu hasidi (malware) inayojishikiza kwenye faili au programu halali na kujiendesha pale faili hiyo inapofunguliwa. Virusi vinaweza kuharibu data, kupunguza kasi ya kompyuta, au kusababisha upotevu wa taarifa.
Soma Zaidi...Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo
Soma Zaidi...Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Soma Zaidi...