Hii ni tafiti ambayo itakushangaza, kwa namna ambavyo matumizi ya AI yalivyo na athari kwenye uwezo wa kufikiri
Utafiti Waonyesha AI Inapunguza Uwezo wa Akili zetu
Utafiti mpya kutoka Chuo Kikuu cha MIT umeibua wasiwasi mkubwa kuhusu athari za muda mrefu za kutegemea zana za Akili Bandia (AI) kama ChatGPT katika kazi za kila siku. Kwa kutumia vipimo vya ubongo kupitia EEG (electroencephalogram), watafiti walifuatilia wanafunzi 54 kwa kipindi cha miezi minne.
Matokeo yalionyesha kuwa wanafunzi waliotumia ChatGPT mara kwa mara kwa kazi za uandishi walionesha kupungua kwa shughuli za ubongo, uwezo wa kukumbuka, na fikra za kina ukilinganisha na wenzao waliotumia Google au ambao hawakutumia zana yoyote kabisa. Utafiti huu uliopewa jina la “Gharama za Kisaikolojia za Kutumia LLMs (Large Language Models)” ulionesha kuwa watumiaji wa AI si tu walitengeneza kazi zisizo na ubunifu wa kutosha, bali pia walishindwa kukumbuka walichoandika muda mfupi baada ya kumaliza kazi.
Ingawa ChatGPT hutoa urahisi na kasi, watafiti walionya kuwa faida hizo huambatana na kile walichokiita “uzembe wa kiakili.” Pia walibainisha hatari ya watumiaji kuingia katika “mabubujiko ya taarifa ya AI,” ambapo mtu hukubali majibu ya programu bila kuyachunguza au kuyahoji.
Cha kushangaza zaidi, hata walipotakiwa kufanya kazi bila msaada wa AI, watumiaji wa awali wa ChatGPT walionesha kiwango cha chini cha ushiriki wa kiakili. Kinyume chake, wale ambao hawakutumia AI mwanzoni na baadaye wakapewa fursa ya kuitumia, walionesha shughuli kubwa ya ubongo. Hili linathibitisha kuwa AI inafanya kazi vizuri zaidi kama msaidizi wa fikra za kibinadamu na si mbadala wake.
Soma zaidi kuhusu utafiti huu kupitia kiungo hiki:
https://www.media.mit.edu/publications/your-brain-on-chatgpt/
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Huu ni muendelezo wa mafunzo ya DATABASE kwa kutumia software ya MySQL na hili ni somo la tano. katika somo hili utajifunza type of data yaani aina ya taarifa ambazo unaweza kuzihifadhi kwenye database yako.
Soma Zaidi...Somo la 10 mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza kuhusu condition statement.
Soma Zaidi...Huu ni utangalizi wa mafunzo ya HTML kwa wenye kuanza level ya kwanza kwa lugha ya kiswahili. Haapa utapata msingi wa kuweza kutengeneza tovuti na blog.
Soma Zaidi...Karibu tena katika somo la nne la mafunzo ya HTML level2 html full course for beginners. Katika somo hili utajifunza kuhusu attributes na namna zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...haya ni mafunzo ya HTML level 2 kwa wenye kuanza. Mafunzo haya ni muendelezo wa level 1 html. Katika course hii utajifunza mengi zaidi lu;iko level1 pia tutazidi kuboresha project yetu.
Soma Zaidi...hili ni somo la pili katika mfululizo wa mafunzo haya ya php level 1 na hapa utajifunza namna ya kuandika faili klako la kwanza la php.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 10. katika somo hili tutakwenda kuendelea namna ya kupangilia muonekano wa data zako kwenye database.
Soma Zaidi...Somo la pili katika mafunzo ya HTML level 2. Katika somo hili utajifunza maana ya HTML pamoja na historia yake fupi.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la nne katika mlolongo wa masomo haya. Katika somo hili utajifuza jinsi ya kubadili jina la database na kufuta database. Pia tutajifunza kutumia SQL kufanya hayo.
Soma Zaidi...Mafunzo ya database kwa utumia software ya MySQL kwa lugha ya kiswahili na hili ni somo la 7.
Soma Zaidi...