Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu.
Swali:
Unaweza kunitajia sababu kama 5 za maumivu ya tumbo?
Jibu:
maumivu ya tumbo yanaweza kuwa hali tata sana ambao sio rahisi kujiwa chanzo bila ya vipimo. hata hivyo kwa dalili unaweza kuhisi sababu ya maumivu haya. kwa mfano wanawake wengi huelewa kama maumivi wanayoyapata ni kwa sababu ya kukaribia ama kuingia kwenye siku zao. Na wapo pia baadhi ya wanaume wanajuwa kwa dalili kuwa anasumbuliwa na ngiri.
Hizi ni baadhi ya sababu za maumivu ya tumbo:
1. Kuwa na aleji huwenda ni ya Vyakula ama matumizi ya dawa
2. Kukosa choo
3. kuwa na vidonda vya tumbo.
4. Hutokea pia utumbo kuziba
5. Maradhi ya Typhod
Sababu nyinginge ni kama:
1. Ngiri
2. Kidole tumbo ama (apendix)
3. tumbo kujaa gesi
4. Shida kwenye baadhi ya viungo vya ndani kama figo na ini.
5. Hernia
Ushauri:
Kama unasumbuliwa na maumivu ya tumbo makali yasiokoma, fika kituo cha afya kwa ajili ya kupata vipimo na matibabu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae.
Soma Zaidi...Kila mtu anaweza kupata ugonjwa wa pumu, hata hivyo kuna ambao wapo hatarini zaidi kupata pumu.
Soma Zaidi...Makala hii itakufundisha maradho makuu ya macho, matibabu yake na tiba zake
Soma Zaidi...Utajifunza chanzo cha vidonda vya tumbo, dalili zake, dawa na matibabu yake pamoja na njia za kujilinda na vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na m
Soma Zaidi...Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza sababu za kuwepo na maumovu ya tumbe kitomvuni.
Soma Zaidi...Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.
Soma Zaidi...