Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu.
Swali:
Unaweza kunitajia sababu kama 5 za maumivu ya tumbo?
Jibu:
maumivu ya tumbo yanaweza kuwa hali tata sana ambao sio rahisi kujiwa chanzo bila ya vipimo. hata hivyo kwa dalili unaweza kuhisi sababu ya maumivu haya. kwa mfano wanawake wengi huelewa kama maumivi wanayoyapata ni kwa sababu ya kukaribia ama kuingia kwenye siku zao. Na wapo pia baadhi ya wanaume wanajuwa kwa dalili kuwa anasumbuliwa na ngiri.
Hizi ni baadhi ya sababu za maumivu ya tumbo:
1. Kuwa na aleji huwenda ni ya Vyakula ama matumizi ya dawa
2. Kukosa choo
3. kuwa na vidonda vya tumbo.
4. Hutokea pia utumbo kuziba
5. Maradhi ya Typhod
Sababu nyinginge ni kama:
1. Ngiri
2. Kidole tumbo ama (apendix)
3. tumbo kujaa gesi
4. Shida kwenye baadhi ya viungo vya ndani kama figo na ini.
5. Hernia
Ushauri:
Kama unasumbuliwa na maumivu ya tumbo makali yasiokoma, fika kituo cha afya kwa ajili ya kupata vipimo na matibabu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Soma Zaidi...postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za bamia mwilini
Soma Zaidi...Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre
Soma Zaidi...Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi.
Soma Zaidi...