CSS - somo la 6: Kuweka Background kwenye HTML kwa kutumia CSS

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti muonekano wa sehemu ya nyuma (background) ya HTML element kwa kutumia CSS. Utaweza kuongeza rangi, picha, kuweka picha zisirudiwarudiwe, na hata kusogeza picha kwenye maeneo tofauti ya ukurasa.

📌 1. background-color

Inatumika kuweka rangi ya nyuma ya element.

div {
  background-color: lightblue;
}

📌 2. background-image

Inatumika kuweka picha kama background ya element.

body {
  background-image: url("picha.jpg");
}

📌 3. background-repeat

Kwa kawaida picha ya background hurudiwa (repeat). Kama hutaki irudiwe, tumia:

body {
  background-image: url("picha.jpg");
  background-repeat: no-repeat;
}

Chaguo zingine:


📌 4. background-position

Inaelekeza picha iwekwe wapi. Mfano:

body {
  background-image: url("picha.jpg");
  background-position: center;
}

Chaguzi maarufu: top, bottom, left, right, center, au vipimo: 50px 100px


📌 5. background-size

Inadhibiti ukubwa wa picha ya background.

body {
  background-image: url("picha.jpg");
  background-size: cover;
}

Chaguzi:


📌 6. background-attachment

Inadhibiti kama background inabaki palepale au inasogea pamoja na ukurasa.

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Ili kuzuia picha kurudiwa rudwa kwenye background, unatumia nini?
2 Background-position: center; inaweka picha wapi?
3 Property ipi hutumika kuweka picha kama background?
4 Background-attachment: fixed; inafanya nini?
5 Shorthand ya background inaweza kuunganisha nini kati ya hizi?

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: CSS Main: ICT File: Download PDF Views 293

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

CSS - SOMO LA 7: Kutumia Fonti (Fonts) kwenye CSS

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina ya fonti, ukubwa, mtindo, unene, na mpangilio wa maandishi ili yaweze kuonekana kwa mvuto na usomaji bora.

Soma Zaidi...
CSS - somo la 1: Maana ya CSS, kazi zake na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya CSS, pia nitakujulisha kazi zake. Mwisho utatambuwa historia ya CSS toka kuanzishwa.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 8: Upambaji wa Maandishi (Text Styling)

Katika somo hili, utajifunza mbinu mbalimbali za kubadilisha muonekano wa maandishi kwa kutumia CSS, kama vile kupamba maandishi kwa mistari, kivuli, nafasi kati ya herufi, na mpangilio wa maneno.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 11: Mitindo ya Border (Border Styles)

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti mipaka (borders) ya vipengele kwa kutumia CSS. Tutajifunza namna ya kuweka unene wa border, rangi, aina ya mstari, na pia jinsi ya kutumia border kwa upande mmoja tu.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 17: Flexbox Advanced

Katika somo hili, utajifunza vipengele vya juu zaidi vya Flexbox: flex-wrap, flex-grow, flex-shrink, na flex-basis. Pia tutajifunza jinsi ya kujenga muundo wa safu (rows) na nguzo (columns) kwa kutumia Flexbox layout.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 33: CSS Frameworks

Katika somo hili tutajifunza kuhusu CSS frameworks mbalimbali zinazosaidia kuharakisha uundaji wa mitindo kwenye tovuti. Tutazungumzia frameworks maarufu kama W3.CSS, Bootstrap, Google Fonts, na nyinginezo, faida, matumizi, na tofauti zao.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 32: Custom Fonts na @font-face

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia fonts za kipekee (custom fonts) katika tovuti kwa kutumia njia mbili kuu: Google Fonts na @font-face. Tutajifunza pia sababu za kutumia fonts maalum, faida zake, na jinsi ya kuzidhibiti kwenye CSS.

Soma Zaidi...
CSS - somo la 34: if() Condition katika CSS

Katika somo hili, tutajifunza kipengele kipya kinachoitwa if() function ndani ya CSS, kilichoanza kupatikana kwenye toleo la Chrome 137. Kipengele hiki kinaturuhusu kuandika mantiki ya masharti moja kwa moja kwenye property ya CSS, bila kutumia JavaScript wala media query zilizotawanyika. Tutajifunza pia aina za queries: media(), supports(), na style() pamoja na matumizi yao ya kivitendo kwenye tovuti. Mwisho, tutaeleza kwa kina kuhusu pointer na any-pointer.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 9: Margin na Padding

Katika somo hili utajifunza tofauti kati ya margin na padding, kazi ya kila moja, jinsi ya kuzipima, na jinsi zinavyotumika kudhibiti nafasi ndani na nje ya elementi kwenye ukurasa wa HTML.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 31: CSS Filters (blur, brightness, contrast.)

Katika somo hili tutajifunza kuhusu CSS Filters — mitindo inayotumika kuhariri mwonekano wa picha, video, au elementi nyingine kwa kuongeza athari kama blur, brightness, contrast, grayscale, na nyinginezo. Hii huifanya tovuti kuwa ya kisasa, ya kuvutia, na yenye mwingiliano mzuri.

Soma Zaidi...