CSS - SOMO LA 7: Kutumia Fonti (Fonts) kwenye CSS
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina ya fonti, ukubwa, mtindo, unene, na mpangilio wa maandishi ili yaweze kuonekana kwa mvuto na usomaji bora.
? 1. font-family
Inatumika kuchagua aina ya fonti ya maandishi.
p {
font-family: Arial, sans-serif;
}
-
Unashauriwa kuandika fonti zaidi ya moja, ya kwanza ikiwa unayoitaka zaidi, nyingine kama backup.
-
Generic families:
serif,sans-serif,monospace,cursive,fantasy
? 2. font-size
Inadhibiti ukubwa wa maandishi.
h1 {
font-size: 30px;
}
-
Unaweza kutumia
px,em,rem,%, n.k. -
Mfano:
font-size: 1.5em;
? 3. font-weight
Inaonyesha unene wa maandishi (boldness).
strong {
font-weight: bold;
}
-
Vingine:
normal,lighter,100hadi900
? 4. font-style
Inatumika kubadilisha mtindo wa maandishi, kwa mfano italiki.
em {
font-style: italic;
}
Chaguzi:
-
normal -
italic -
oblique
? 5. line-height
Inadhibiti nafasi kati ya mstari na mstari (msitari mmoja hadi mwingine).
p {
line-height: 1.6;
}
Inasaidia maandishi yasibane sana au kuwa na nafasi nzuri ya kusomeka.
? 6. text-transform
Inatumika kubadilisha herufi kuwa za juu au ndogo.
p {
text-transform: uppercase;
}
Chaguzi:
-
uppercase– herufi kubwa zote -
lowercase– he...
help_outlineZoezi la Maswali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 web hosting 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
CSS - SOMO LA 30: CSS Functions – calc(), clamp(), var(), min(), max() na Custom Functions
Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS functions muhimu zinazotumika kufanya mahesabu, kuweka vipimo vya kisasa vinavyobadilika kulingana na hali ya kifaa, na kutumia variables. Tutazingatia functions kama: calc(), clamp(), var(), min(), max(), na mwishoni tutajifunza jinsi ya kutengeneza custom function kwa kutumia variables.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 20: Media Queries na Responsive Design
Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kutumia media queries kwa ajili ya kutengeneza tovuti zinazojibadilisha kulingana na ukubwa wa skrini. Tutazungumzia @media rules, breakpoints, na dhana ya mobile-first design.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 23: Uelewa Zaidi wa CSS Animation na Transition
Somo hili linakuletea ufahamu wa kina juu ya CSS Transitions na Animations, likifafanua vipengele vyake muhimu, matumizi, na namna ya kutumia properties mbalimbali za animation kwa ufanisi katika kurahisisha muonekano na mtumiaji wa tovuti.
Soma Zaidi...CSS - somo la 4: Aina za css selecto
Katika somo hili uatkwenda kujifunza aina za css selectors
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 11: Mitindo ya Border (Border Styles)
Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti mipaka (borders) ya vipengele kwa kutumia CSS. Tutajifunza namna ya kuweka unene wa border, rangi, aina ya mstari, na pia jinsi ya kutumia border kwa upande mmoja tu.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 25: CSS Shorthand Properties
Katika somo hili tutajifunza kwa kina kuhusu CSS Shorthand Properties — ni nini, jinsi zinavyofanya kazi, faida zake, na mifano mbalimbali ya kutumia shorthand kuandika CSS kwa njia fupi na bora zaidi.
Soma Zaidi...