CSS - SOMO LA 7: Kutumia Fonti (Fonts) kwenye CSS
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina ya fonti, ukubwa, mtindo, unene, na mpangilio wa maandishi ili yaweze kuonekana kwa mvuto na usomaji bora.
? 1. font-family
Inatumika kuchagua aina ya fonti ya maandishi.
p {
font-family: Arial, sans-serif;
}
-
Unashauriwa kuandika fonti zaidi ya moja, ya kwanza ikiwa unayoitaka zaidi, nyingine kama backup.
-
Generic families:
serif,sans-serif,monospace,cursive,fantasy
? 2. font-size
Inadhibiti ukubwa wa maandishi.
h1 {
font-size: 30px;
}
-
Unaweza kutumia
px,em,rem,%, n.k. -
Mfano:
font-size: 1.5em;
? 3. font-weight
Inaonyesha unene wa maandishi (boldness).
strong {
font-weight: bold;
}
-
Vingine:
normal,lighter,100hadi900
? 4. font-style
Inatumika kubadilisha mtindo wa maandishi, kwa mfano italiki.
em {
font-style: italic;
}
Chaguzi:
-
normal -
italic -
oblique
? 5. line-height
Inadhibiti nafasi kati ya mstari na mstari (msitari mmoja hadi mwingine).
p {
line-height: 1.6;
}
Inasaidia maandishi yasibane sana au kuwa na nafasi nzuri ya kusomeka.
? 6. text-transform
Inatumika kubadilisha herufi kuwa za juu au ndogo.
p {
text-transform: uppercase;
}
Chaguzi:
-
uppercase– herufi kubwa zote -
lowercase– he...
help_outlineZoezi la Maswali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 web hosting 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
CSS - somo la 34: if() Condition katika CSS
Katika somo hili, tutajifunza kipengele kipya kinachoitwa if() function ndani ya CSS, kilichoanza kupatikana kwenye toleo la Chrome 137. Kipengele hiki kinaturuhusu kuandika mantiki ya masharti moja kwa moja kwenye property ya CSS, bila kutumia JavaScript wala media query zilizotawanyika. Tutajifunza pia aina za queries: media(), supports(), na style() pamoja na matumizi yao ya kivitendo kwenye tovuti. Mwisho, tutaeleza kwa kina kuhusu pointer na any-pointer.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 16: Flexbox Basics
Katika somo hili, utajifunza msingi wa mfumo wa Flexbox unaotumika kupanga elementi kwa usahihi ndani ya kontena. Utajifunza kuhusu display: flex;, pamoja na properties muhimu kama justify-content, align-items, flex-direction, na gap.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 11: Mitindo ya Border (Border Styles)
Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti mipaka (borders) ya vipengele kwa kutumia CSS. Tutajifunza namna ya kuweka unene wa border, rangi, aina ya mstari, na pia jinsi ya kutumia border kwa upande mmoja tu.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 13: Display Property
Katika somo hili utajifunza kuhusu property muhimu ya CSS inayoitwa display, ambayo huamua jinsi element inavyoonyeshwa kwenye ukurasa. Tutachambua aina kuu za display: block, inline, inline-block, na none.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 19: Pseudo-classes na Pseudo-elements
Katika somo hili, utajifunza kuhusu pseudo-classes kama :hover, :first-child, na :last-child, pamoja na pseudo-elements kama ::before, ::after, na ::selection. Hizi husaidia kubadili au kuongeza mitindo maalum kulingana na hali ya elementi au sehemu maalum ya elementi.
Soma Zaidi...CSS - somo la 4: Aina za css selecto
Katika somo hili uatkwenda kujifunza aina za css selectors
Soma Zaidi...