Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Faida za kula kisamvu
1. Kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamin C kwa wingi
2. Husaidia katika kuoamkupa na kwashiookor/kwashakoo aina ya utapia mlo
3. Hutibu kuhara (unasaga majani)
4. Hutibu minyoo
5. Hutibu stroke
6. Huzuia kuzeheka haraka
7. huongeza stamina
8. Huboresha mfumo wa kinga mwilini
9. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
10. Huongeza hamu ya kula chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi Kisha kunywa
11. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondoa homa na maumivu ya kichwa
12. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema- chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2470
Sponsored links
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
kitabu cha Simulizi
Madhara ya vyakula vya kisasa
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka Soma Zaidi...
Faida za kula karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C
Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fenesi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi Soma Zaidi...
Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate. Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VYAKULA VYA MADINI
2. Soma Zaidi...
Vyakula vya kupambana na saratani
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)
Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya Soma Zaidi...
darasa la lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...
Faida za chungwa na chenza ( tangarine)
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini Soma Zaidi...