Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Faida za kula kisamvu
1. Kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamin C kwa wingi
2. Husaidia katika kuoamkupa na kwashiookor/kwashakoo aina ya utapia mlo
3. Hutibu kuhara (unasaga majani)
4. Hutibu minyoo
5. Hutibu stroke
6. Huzuia kuzeheka haraka
7. huongeza stamina
8. Huboresha mfumo wa kinga mwilini
9. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
10. Huongeza hamu ya kula chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi Kisha kunywa
11. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondoa homa na maumivu ya kichwa
12. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema- chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...