Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Faida za kula kisamvu
1. Kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamin C kwa wingi
2. Husaidia katika kuoamkupa na kwashiookor/kwashakoo aina ya utapia mlo
3. Hutibu kuhara (unasaga majani)
4. Hutibu minyoo
5. Hutibu stroke
6. Huzuia kuzeheka haraka
7. huongeza stamina
8. Huboresha mfumo wa kinga mwilini
9. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
10. Huongeza hamu ya kula chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi Kisha kunywa
11. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondoa homa na maumivu ya kichwa
12. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema- chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
Soma Zaidi...Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...