image

Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu

Faida za kula kisamvu

1. Kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamin C kwa wingi

2. Husaidia katika kuoamkupa na kwashiookor/kwashakoo aina ya utapia mlo

3. Hutibu kuhara (unasaga majani)

4. Hutibu minyoo

5. Hutibu stroke

6. Huzuia kuzeheka haraka

7. huongeza stamina

8. Huboresha mfumo wa kinga mwilini

9. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka

10. Huongeza hamu ya kula chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi Kisha kunywa

11. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondoa homa na maumivu ya kichwa

12. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema- chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021-10-22     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1935


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Kazi za madini ya Shaba mwilini.
Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mayai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Ukwaju
Soma Zaidi...

Faida za kula parachichi
Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya Soma Zaidi...

Vyakula salama kwa mwenye kisukari
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari Soma Zaidi...

Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas Soma Zaidi...

JITIBU KWA TIBA ASILI, TIBA ZITOKANAZO NA VYAKULA
1. Soma Zaidi...

Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini
Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa Soma Zaidi...

Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate. Soma Zaidi...

Faida za kula Pilipili
Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana Soma Zaidi...

RANGI ZA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula viazi vitamu
Soma Zaidi...