picha

Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu

Faida za kula kisamvu

1. Kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamin C kwa wingi

2. Husaidia katika kuoamkupa na kwashiookor/kwashakoo aina ya utapia mlo

3. Hutibu kuhara (unasaga majani)

4. Hutibu minyoo

5. Hutibu stroke

6. Huzuia kuzeheka haraka

7. huongeza stamina

8. Huboresha mfumo wa kinga mwilini

9. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka

10. Huongeza hamu ya kula chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi Kisha kunywa

11. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondoa homa na maumivu ya kichwa

12. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema- chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3641

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 ai web app     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Nazi (coconut oil)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)

Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya

Soma Zaidi...