Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Faida za kula kisamvu
1. Kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamin C kwa wingi
2. Husaidia katika kuoamkupa na kwashiookor/kwashakoo aina ya utapia mlo
3. Hutibu kuhara (unasaga majani)
4. Hutibu minyoo
5. Hutibu stroke
6. Huzuia kuzeheka haraka
7. huongeza stamina
8. Huboresha mfumo wa kinga mwilini
9. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
10. Huongeza hamu ya kula chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi Kisha kunywa
11. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondoa homa na maumivu ya kichwa
12. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema- chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.
Soma Zaidi...Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua
Soma Zaidi...