Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi
Hatua za Kuzuia Uvimbe kwenye ovari pamoja na Maambukizi ya Uvimbe kwenye mirija ya uzazi.
Hatua muhimu za kuzuia ni:
1. Mbinu ya kijamii ili kuongeza uelewa wa afya ya umma.
2. Kuzuia magonjwa ya zinaa kwa ujuzi wa ngono yenye afya na salama.
3. Mgonjwa anapaswa kuonywa dhidi ya washiriki wengi wa ngono.kwani kujamiina na watu wengi hupelekea Maambukizi kwenye via vya Uzazi.
4. Kutumia kondomu. Ili kujikinga na Magonjwa ya zinaa Kama vile kisonono na kaswende.
5. Mwenzi au washirika wa ngono wanapaswa kufuatiliwa na kuchunguzwa ipasavyo ili kujua kiumbe/viumbe na kutibiwa kwa ufanisi.
5. Usishiriki ngono wakati wa matibabu. Ni vyema kusubiria upone kwanza ndio ushiriki.
6. Matumizi mazuri na sahihi ya uzazi wa mpango.ni vyema kuelewa namna ya kutumia Uzazi wa mpango ili kujiweka salama.
7. Uchunguzi wa mara kwa mara wa watu walio katika hatari kubwa. Ili kuangalia Kama Kuna Maambukizi yaliyojiyokeza na yanayoendelea.
8. Matumizi ya pedi safi za usafi na zinapaswa kubadilishwa mara kwa mara.
9.Wakati wa uokoaji juu ya utoaji mimba mbinu ya kusafisha uchafu uliobaki inapaswa kuzingatiwa.
10. Kuepuka matumizi mabaya ya pombe. Kwani huenda kuadhiri sehemu mbalimbali za mwili na kufanya mwili kudhohofika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo ni moja katika dalili za ujauzito. Maumivu wanawake wengi hushindwa kujuwa kuwa ni ujauzito ama laa. Na hii ni kwa sababu kwa wanawake wengi maumivu ya tumbo ama changu ni jalivya kawaida kwao.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.
Soma Zaidi...ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?
Soma Zaidi...