picha
ZIJUE DALILI ZA HATARI KWA MAMA MJAMZITO

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajio

picha
MAAMBUKIZI KATIKA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE

Maambukizi kwenye Njia ya Uzazi kwa kifupi hujulikana Kama PID.ni Maambukizi ya mfumo wa Uzazi yanayoathiri wanawake, Maambukizi haya kwa Kawaida huhusisha sehemu Kama shingo ya uzazi,nyuma ya mfuko wa Uzazi na mirija ya uzazi.

picha
UGUMU WA CHOO NA TIBA YAKE KWA WAJAWAZITO

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito, ni ugonjwa unaowapata sana akina mama wajawazito na uisha tu pale Mama anapojifungua kwa hiyo tunapaswa kujua wazi sababu za ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito.

picha
VIPIMO MUHIMU WAKATI WA UJAUZITO

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

picha
KIUNGULIA NA TIBA ZAKE KWA WAJAWAZITO.

Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito.

picha
MAGONJWA MADOGO MADOGO KWA MAMA WAJAWAZITO.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

picha
UTARATIBU WA CHAKULA KWA MAMA MJAMZITO.

Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil

picha
TATIZO LA KUSHINDWA KUJAZA MISULI YA MWILINI NA KUSINYAA KWA MISULI MWILINI

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.

picha
MAMBO YA KUZINGATIA KWA MAMA ILI APATE HUDUMA ENDELEVU.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

picha
MAMBO AMBAYO UTAULIZWA MAMA MJAMZITO UKIFIKA KITUO CHA AFYA UNATAKIWA UTOE MAJIBU SAHIHI.

Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo.

picha
DALILI ZA HATARI KWA MAMA ALIYEJIFUNGUA.

Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

picha
HUDUMA ZA MSINGI KWA MAMA MJAMZITO NA MTOTO.

Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h

picha
MAAMBUKIZI YA TISHU YA MATITI.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi ya tishu ya matiti ambayo husababisha maumivu ya matiti, uvimbe, joto na uwekundu. Pia unaweza kuwa na Homa na baridi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wanaonyonyesha ingawa wakati mwingine hali hi

picha
MAAMBUKIZI YA TEZI ZA MATE

Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio

picha
ULEMAVU WA UBONGO NA MFUMO WA FAHAMU -MULTIPLE SCLEROSIS

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis.

picha
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI YA SELI NYEUPE.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za plasma hukusaidia kupambana na maambukizo kwa kutengeneza kingamwili zinazotambua na kushambulia vijidudu. Pia husababish

picha
UGONJWA WA DONDAKOO

Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo inafanya kuwa ngumu kupumua au kumeza. Inaweza kuwa mauti.

picha
UGONJWA WA SURUA KWA WATOTO.

Surua ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na homa na upele mwekundu, unaotokea utotoni. Wakati mtu aliye na virusi akikohoa au kupiga chafya, matone yaliyoambukizwa huenea angani na kutua kwenye sehemu zilizo karibu. Mtoto anaweza kupata virusi kwa ku

picha
UMUHIMU WA JIHAD KATIKA KUSIMAMISHA UISLAMU KATIKA JAMII

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

picha
MAANA YA KUSIMAMISHA UISLAMU KATIKA DINI

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

picha
KWANINI MWANADAMU HAWEZI KUUNDA DINI SAHIHI

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

picha
SABABU YA UISLAMU KUWA NDIYO DINI SAHIHI PEKEE

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

picha
SIFA AU VIGEZO VYA DINI SAHIHI

Dini sahihi anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

picha
UGONJWA WA MAAMBUKIZI YA MFUMO WA MKOJO KWA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO (UTI)

posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye mfumo wa mkojo ambapo kitaalamu hujulikana Kama UTI(Urinary Tract Infection (UTI)) hufafanuliwa kuwa ni maambukizo ya mfumo wa uzazi ambayo yanahusisha urethra. UTI ni maambukizi ya mfumo wa mkojo, m

Page 164 of 220

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.