picha
DALILI ZA UGONJWA WA SARATANI.

Saratani inahusu ugonjwa wowote kati ya idadi kubwa ya magonjwa ambayo yanaonyeshwa na ukuaji wa seli zisizo za kawaida ambazo...

picha
DALILI ZA KISUKARI AINA YA TYPE 2

Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu...

picha
DALILI ZA SARATANI YA FIGO.

Saratani ya Figo ni Saratani ambayo huanzia kwenye figo. Figo zako ni viungo viwili vyenye umbo la maharagwe, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa...

picha
UMUHIMU WA UZAZI WA MPANGO KWA MAMA

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi...

picha
FAHAMU UGONJWA WA KISUKARI AINA YA 1 (TYPE 1)

Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo...

picha
SABABU ZA UGONJWA WA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU.

Shinikizo la juu la damu ni hali ya kawaida ambapo nguvu ya muda mrefu ya damu dhidi ya kuta za...

picha
UGONJWA WA KISUKARI

Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu...

picha
MAUMIVU YA KIFUA YANAYOSABABISHWA NA KUPUNGUA KWA MTIRIRIKO WA DAMU KWENYE MOYO.

 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili...

picha
DALILI NA ISHARA ZA SHAMBULIO LA MOYO

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika...

picha
FAIDA ZA KULA BAMIA

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda...

picha
UCHUNGUZI WA KUHARISHA DAMU NA TIBA YAKE

Posti hii inahusu zaidi uchunguzi wa kuharisha damu na Tiba yake, ni Ugonjwa ambao unaowashambulia sana watoto hasa wenye chini...

picha
UCHUNGUZI WA NIMONIA KWA MTOTO NA TIBA

Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia

picha
NAMNA YA KUTIBU KUHARISHA KWA MTOTO UKIWA NYUMBANI.

Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si...

picha
MAELEKEZO MUHIMU KWA MAMA AU MLEZI WA MTOTO MGONJWA

Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa...

picha
MAMBO YA KUANGALIA KWA MTOTO MDOGO

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya...

picha
HUDUMA KWA MTOTO MWENYE MATATIZO YA UPUMUAJI

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua, mtoto kama ana shida ya kupumua tunaangalia dalili kwanza...

picha
MALENGO YA KUWAHUDUMIA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO

Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990...

picha
UGONJWA WA UHARIBIFU WA SELI NYEKUNDU ZA DAMU

Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS)...

picha
SABABU ZA KUTOKWA DAMU MOJA KWA MOJA BILA KUGANDA (HEMOPHILIA).

Posti hii inaelezea kuhusiana na Damu kutokuganda ambalo hujulikana Kama Hemophilia, ni ugonjwa nadra ambapo damu yako haigandi kawaida kwa...

picha
NJIA ZA KUANGALIA SEHEMU YENYE MAUMIVU

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya...

picha
MATOKEO YA MAUMIVU MAKALI.

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa...

picha
AINA MBALIMBALI ZA MAUMIVU YA MWILI.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.

picha
SABABU ZA MAUMIVU YA MWILI.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili...

picha
NAMNA YA KUMWOSHA MGONJWA VIDONDA

Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha...

Page 164 of 229

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.