Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
FAIDA
1. Kuondoa vimelea vya sumu kwenye mwili wa mwanadamu.
2.hutuoatia virutubisho aina ya nyuzinyuzi ambavyo husaidia katika kusaga chakula tumboni.
3.Husaidia kuimarisha afya ya Nywele,kupambaa na tatizo la uchovu wa mwili pia na msongo wa mawazo.
4.husaidia kulainisha choo kigumu kwasababu husaidia kulainisha utumbo mkubwa wakati wa mmeng'enyo wa chakula.
5. Husaidia kutibu na Kupunguza maumivu kwa wale wenye Vidonda vya tumbo, Kwan bamia huweza kutibu kabisa Vidonda vya tumbo ambavyo bado havijawa sugu (chronic).
6. Husaidia pia kwa wenye kisukari kwasababu ya Uwezo wake wa kumsaidia kuyeyusha au kumeng'enya chakula.
7.pia huweka sawa mfumo wa sukari mwilini.
8.huboresha Kinga ya mwili.
9.husaidia mwili kusafisha Damu.
10.husaidia mwili kukabiliana na Magonjwa mbalimbali Kama vile Saratani.
11.ina vitamin C.
12.Husaidia pia kutibu tatizo la upungufu wa Damu mwilini. Kwani ukila bamia Mara kwa Mara husaia kuongeza Damu.
13.kuimarisha mfumo wa kuona kwa sababu Ina chanzo kizuri Cha vitamini A.
14.huimarisha mifupa, ata Kama umevinjika au unatatizo la mifupa ukitumia bamia Mara kwa Mara huimarisha mifupa yako.
15.husaidia Kupunguza Ugonjwa wa kansa na pia kuepusha kupata kansa.
16.pia husaidia mishipa midogo midogo ya kwenye Damu.
Mwisho: Bamia Ni nzuri na Zina Faida endapo zikitumiwa Mara kwa Mara Lakini sio kwamba Kama unaugonjwa wowote ndio usitumie Dawa hapana. Dawa zako Tumia kwa usahihi pia na bamia utumie zitakusaidia.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 3147
Sponsored links
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Madhara ya mafuta mengi mwilimi
Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi Soma Zaidi...
Faida kuu 10 za kula matunda na mboga mwilini - kwa nini ni muhumu kula matunda?
Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara? Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Pera
Soma Zaidi...
Vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno
Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno. Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vinavyoongeza damu kwa haraka
Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka. Soma Zaidi...
Madhara ya upungufu wa protini mwilini
Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni.. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Mbegu za mronge
Soma Zaidi...
Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari Soma Zaidi...
Faida za apple kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I Soma Zaidi...