picha

Faida za kula bamia

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.

 FAIDA

Moja kwa moja tuone Faida za ulaji bamia ambazo Ni Kama zifuatazo:

 1. Kuondoa vimelea vya sumu kwenye mwili wa mwanadamu.

 

2.hutuoatia virutubisho aina ya nyuzinyuzi ambavyo husaidia katika kusaga chakula tumboni.

 

3.Husaidia kuimarisha afya ya Nywele,kupambaa na tatizo la uchovu wa mwili pia na msongo wa mawazo.

 

4.husaidia kulainisha choo kigumu kwasababu husaidia kulainisha utumbo mkubwa wakati wa mmeng'enyo wa chakula.

 

5. Husaidia kutibu na Kupunguza maumivu kwa wale wenye Vidonda vya tumbo, Kwan bamia huweza kutibu kabisa Vidonda vya tumbo ambavyo bado havijawa sugu (chronic).

 

6. Husaidia pia kwa wenye kisukari kwasababu ya Uwezo wake wa kumsaidia kuyeyusha au kumeng'enya chakula.

 

7.pia huweka sawa mfumo wa sukari mwilini.

 

8.huboresha Kinga ya mwili.

 

9.husaidia mwili kusafisha Damu.

 

10.husaidia mwili kukabiliana na Magonjwa mbalimbali Kama vile Saratani.

 

11.ina vitamin C.

 

12.Husaidia pia kutibu tatizo la upungufu wa Damu mwilini. Kwani ukila bamia Mara kwa Mara husaia kuongeza Damu.

 

13.kuimarisha mfumo wa kuona kwa sababu Ina chanzo kizuri Cha vitamini A.

 

14.huimarisha mifupa, ata Kama umevinjika au unatatizo la mifupa ukitumia bamia Mara kwa Mara huimarisha mifupa yako.

 

15.husaidia Kupunguza Ugonjwa wa kansa na pia kuepusha kupata kansa.

 

16.pia husaidia mishipa midogo midogo ya kwenye Damu.

 

Mwisho: Bamia Ni nzuri na Zina Faida endapo zikitumiwa Mara kwa Mara Lakini sio kwamba Kama unaugonjwa wowote ndio usitumie Dawa hapana. Dawa zako Tumia kwa usahihi pia na bamia utumie zitakusaidia.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/20/Sunday - 09:44:14 am Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3954

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Madhara ya upungufu wa protini mwilini

Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..

Soma Zaidi...
Vyakula kwa wenye matatizo ya macho

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.

Soma Zaidi...
Papai (papaya)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai

Soma Zaidi...
Zijuwe kazi na faida za Vitamini C mwilini

Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
NI ZIPI KAZI ZA PROTINI MWILINI?

Makala hii inakwenda kukuletea kazi kuu za protini na vyakula vya protini katika miili yetu. Mkala hii itakusaiidia kujuwa namna ya kupangilia lishe yako kiusalama zaidi baada ya kujuwa kazi za protini katika miili yetu.

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Vyakula vya fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA PROTINI, FATI NA MAFUTA

Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili

Soma Zaidi...