picha

Faida za kula bamia

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.

 FAIDA

Moja kwa moja tuone Faida za ulaji bamia ambazo Ni Kama zifuatazo:

 1. Kuondoa vimelea vya sumu kwenye mwili wa mwanadamu.

 

2.hutuoatia virutubisho aina ya nyuzinyuzi ambavyo husaidia katika kusaga chakula tumboni.

 

3.Husaidia kuimarisha afya ya Nywele,kupambaa na tatizo la uchovu wa mwili pia na msongo wa mawazo.

 

4.husaidia kulainisha choo kigumu kwasababu husaidia kulainisha utumbo mkubwa wakati wa mmeng'enyo wa chakula.

 

5. Husaidia kutibu na Kupunguza maumivu kwa wale wenye Vidonda vya tumbo, Kwan bamia huweza kutibu kabisa Vidonda vya tumbo ambavyo bado havijawa sugu (chronic).

 

6. Husaidia pia kwa wenye kisukari kwasababu ya Uwezo wake wa kumsaidia kuyeyusha au kumeng'enya chakula.

 

7.pia huweka sawa mfumo wa sukari mwilini.

 

8.huboresha Kinga ya mwili.

 

9.husaidia mwili kusafisha Damu.

 

10.husaidia mwili kukabiliana na Magonjwa mbalimbali Kama vile Saratani.

 

11.ina vitamin C.

 

12.Husaidia pia kutibu tatizo la upungufu wa Damu mwilini. Kwani ukila bamia Mara kwa Mara husaia kuongeza Damu.

 

13.kuimarisha mfumo wa kuona kwa sababu Ina chanzo kizuri Cha vitamini A.

 

14.huimarisha mifupa, ata Kama umevinjika au unatatizo la mifupa ukitumia bamia Mara kwa Mara huimarisha mifupa yako.

 

15.husaidia Kupunguza Ugonjwa wa kansa na pia kuepusha kupata kansa.

 

16.pia husaidia mishipa midogo midogo ya kwenye Damu.

 

Mwisho: Bamia Ni nzuri na Zina Faida endapo zikitumiwa Mara kwa Mara Lakini sio kwamba Kama unaugonjwa wowote ndio usitumie Dawa hapana. Dawa zako Tumia kwa usahihi pia na bamia utumie zitakusaidia.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/20/Sunday - 09:44:14 am Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 4086

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
Chungwa (orange)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa/orange

Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini

Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini

Soma Zaidi...
Faida za limao au ndimu

Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula Pilipili

Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana

Soma Zaidi...
Zaituni (Olive)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA WANGA NA MADINI

Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo

Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata

Soma Zaidi...