Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.
Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano.
1.Kwa kawaida tunajua wazi kubwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ushambuliwa sana na Magonjwa mbalimbali na tiba mbalimbali zimeshatolewa kwa watoto hao kwa kupitia sehemu mbalimbali.yafuatayo ni mambo ya kuangalia kwa mtoto ili kuweza kupunguza Magonjwa kwa watoto kwa hiyo tunapaswa kuangalia yafuatayo.
2. Tunapaswa kuangalia Dalili za hatari kwa mtoto kama mtoto anakula au ananyonya, kuangalia kwa mtoto anatapika kila kitu , pia kuangalia kama mtoto anaanguka kifafa na kufanya kumtibu mara moja.
3. Pia tunapaswa kuangalia Dalili za Magonjwa kama vile kukohoa, kupumua kwa shida, kuharisha,homa na Dalili nyingine za Maambukizi kwenye sikio.
4. Pia tunapaswa kuangalia Magonjwa mbalimbali kama vile Surua, kuishiwa na damu na kuwa na mlo ambao hauridhishi kwa mtoto.
5. Pia tunapaswa kuangalia kama mtoto amepata chanjo zote ambazo zinapaswa kupewa kwa mtoto kama vile chanjo ya Surua, kifua kikuu, kifadulo, Dondakoo, polio na chanjo zote anazopaswa kupewa mtoto.
6. Pia Maambukizi kwa mtoto yanapaswa kuangaliwa kama vile Maambukizi ya madonda mkononi, Maambukizi ya virus vya ukimwi na Magonjwa mbalimbali.
7.kwa hiyo tunaona wazi kuwa mtoto chini ya miaka mitano wanahitaji uangalizi zaidi kwa hiyo hata mtoto akipata homa ni lazima apelekwe hospitali kwa uangalizi zaidi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
Soma Zaidi...Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
Soma Zaidi...Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii
Soma Zaidi...Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...