Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.
Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano.
1.Kwa kawaida tunajua wazi kubwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ushambuliwa sana na Magonjwa mbalimbali na tiba mbalimbali zimeshatolewa kwa watoto hao kwa kupitia sehemu mbalimbali.yafuatayo ni mambo ya kuangalia kwa mtoto ili kuweza kupunguza Magonjwa kwa watoto kwa hiyo tunapaswa kuangalia yafuatayo.
2. Tunapaswa kuangalia Dalili za hatari kwa mtoto kama mtoto anakula au ananyonya, kuangalia kwa mtoto anatapika kila kitu , pia kuangalia kama mtoto anaanguka kifafa na kufanya kumtibu mara moja.
3. Pia tunapaswa kuangalia Dalili za Magonjwa kama vile kukohoa, kupumua kwa shida, kuharisha,homa na Dalili nyingine za Maambukizi kwenye sikio.
4. Pia tunapaswa kuangalia Magonjwa mbalimbali kama vile Surua, kuishiwa na damu na kuwa na mlo ambao hauridhishi kwa mtoto.
5. Pia tunapaswa kuangalia kama mtoto amepata chanjo zote ambazo zinapaswa kupewa kwa mtoto kama vile chanjo ya Surua, kifua kikuu, kifadulo, Dondakoo, polio na chanjo zote anazopaswa kupewa mtoto.
6. Pia Maambukizi kwa mtoto yanapaswa kuangaliwa kama vile Maambukizi ya madonda mkononi, Maambukizi ya virus vya ukimwi na Magonjwa mbalimbali.
7.kwa hiyo tunaona wazi kuwa mtoto chini ya miaka mitano wanahitaji uangalizi zaidi kwa hiyo hata mtoto akipata homa ni lazima apelekwe hospitali kwa uangalizi zaidi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.
Soma Zaidi...Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.
Soma Zaidi...Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Je kuna madhara kwa mwenye virusi vya ukimwi kunyonyesha ama kubeba mimba, na nini afyanye kama ameshabeba mimba ama kama ananyonyesha
Soma Zaidi...posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot
Soma Zaidi...Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.
Soma Zaidi...Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.
Soma Zaidi...Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.
Soma Zaidi...