Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano.

1.Kwa kawaida tunajua wazi kubwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ushambuliwa sana na Magonjwa mbalimbali na tiba mbalimbali zimeshatolewa kwa watoto hao kwa kupitia sehemu mbalimbali.yafuatayo ni mambo ya kuangalia kwa mtoto ili kuweza kupunguza Magonjwa kwa watoto kwa hiyo tunapaswa kuangalia yafuatayo.

 

2. Tunapaswa kuangalia Dalili za hatari kwa mtoto kama mtoto anakula au ananyonya, kuangalia kwa mtoto anatapika kila kitu , pia kuangalia kama mtoto anaanguka kifafa na kufanya kumtibu mara moja.

 

3. Pia tunapaswa kuangalia Dalili za Magonjwa kama vile kukohoa, kupumua kwa shida, kuharisha,homa na Dalili nyingine za Maambukizi kwenye sikio.

 

4. Pia tunapaswa kuangalia Magonjwa mbalimbali kama vile Surua, kuishiwa na damu na kuwa na mlo ambao hauridhishi kwa mtoto.

 

5. Pia tunapaswa kuangalia kama mtoto amepata chanjo zote ambazo zinapaswa kupewa kwa mtoto kama vile chanjo ya Surua, kifua kikuu, kifadulo, Dondakoo, polio na chanjo zote anazopaswa kupewa mtoto.

 

6. Pia Maambukizi kwa mtoto yanapaswa kuangaliwa kama vile Maambukizi ya madonda mkononi, Maambukizi ya virus vya ukimwi na Magonjwa mbalimbali.

 

7.kwa hiyo tunaona wazi kuwa mtoto chini ya miaka mitano wanahitaji uangalizi zaidi kwa hiyo hata mtoto akipata homa ni lazima apelekwe hospitali kwa uangalizi zaidi

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1367

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga manii nje.
Uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga manii nje.

Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.

Soma Zaidi...
Nini husababisha mtoto kukosa maji kabla ya kuzaliwa?
Nini husababisha mtoto kukosa maji kabla ya kuzaliwa?

inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.

Soma Zaidi...
Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn
Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn

Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma

Soma Zaidi...
Sababu za Mayai kushindwa kuzalishwa kwa mwanamke
Sababu za Mayai kushindwa kuzalishwa kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.

Soma Zaidi...
 Sababu za Kukoma hedhi (perimenopause)
Sababu za Kukoma hedhi (perimenopause)

Kukoma hedhi hufafanuliwa kuwa hutokea miezi 12 baada ya kipindi chako cha mwisho cha hedhi na huashiria mwisho wa mizunguko ya hedhi. Kukoma hedhi kunaweza kutokea katika miaka ya 40 au 50. Kukoma hedhi ni mchakato wa asili wa kibaolojia. Ingawa pia in

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?
Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?

Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.

Soma Zaidi...
Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.
Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.

Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.

Soma Zaidi...