Huduma kwa mtoto mwenye matatizo ya upumuaji

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua, mtoto kama ana shida ya kupumua tunaangalia dalili kwanza na baadaye tunaweza kutoa huduma kulingana na Dalili.

Huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kumwangalia mtoto kama anakoroma akiwa hayuko usingizini , kama anaonekana anakoroma inawezekana kuwa ni Dalili ya pneumonia na mtoto apewe antibiotics na pia dawa hizi utolewa na daktari.

 

2. Pia mtoto anapaswa kuangaliwa kama anapumua anatoa ka sauti kama mlio fulani hivi ambao kwa kitaalamu huitwa wheezing sound , mtoto anapaswa kupewa dawa za amoxicillin na dawa hizi zinatolewa hospitalini na mtoto anapaswa kuzitumia kwa mda wa siku tano.

 

3. Pia mtoto anaweza kuwa anapumua kwa haraka sana hiyo nayo inawezekana kubwa ni Dalili ya pneumonia kwa hiyo mtoto anapaswa kupewa dawa ya kunusa au kupuliza puani ili kuweza kuzibua kifua kwa kutumia dawa ambazo huitwa bronchodilator kwa mda wa siku tano . 

 

4.kwa hiyo tunajua kabisa mtoto akipumua kwa shida ni Dalili ya hatari kwa mtoto kwa hiyo kama yuko nyumbani anapaswa kupelekwa hospitali haraka sana ili aweze kupata huduma mapema kwa sababu mtoto akitibiwa mapema anaweza kupona haraka kuliko kusubiri mda ukaenda hali hii usababisha madhara makubwa zaidi.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/18/Friday - 10:45:15 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1236

Post zifazofanana:-

Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?
Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye. Soma Zaidi...

Aina za swala..
Nguzo za uislamu,aina za swala (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Ujue Ugonjwa wa homa ya ini yenye sumu.
Homa ya ini yenye sumu'ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu'inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe. Soma Zaidi...

Dalili za maumivu ya hedhi
Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine, Maumivu ya hedhi yanaweza kuwa makali kiasi cha kuathiri shughuli za kila siku kwa siku chache kila mwezi. Soma Zaidi...

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito
Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona Soma Zaidi...

Mapendekezo muhimu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ulemavu wa aina yoyote ile. Soma Zaidi...

Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo
Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nyekundu za damu zilizoharibiwa huanza kuziba mfumo wa kuchuja kwenye figo, ambayo inaweza hatimaye kusababisha kushindwa kwa figo. Soma Zaidi...

Dalili za Dengue.
Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mgonjwa. Soma Zaidi...

Walio kwenye hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa, Soma Zaidi...

Dalili za UTI upande wa wanawake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake Soma Zaidi...

DAWA YA FANGASI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi Soma Zaidi...