Posti hii inahusu zaidi huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua, mtoto kama ana shida ya kupumua tunaangalia dalili kwanza na baadaye tunaweza kutoa huduma kulingana na Dalili.
Huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kumwangalia mtoto kama anakoroma akiwa hayuko usingizini , kama anaonekana anakoroma inawezekana kuwa ni Dalili ya pneumonia na mtoto apewe antibiotics na pia dawa hizi utolewa na daktari.
2. Pia mtoto anapaswa kuangaliwa kama anapumua anatoa ka sauti kama mlio fulani hivi ambao kwa kitaalamu huitwa wheezing sound , mtoto anapaswa kupewa dawa za amoxicillin na dawa hizi zinatolewa hospitalini na mtoto anapaswa kuzitumia kwa mda wa siku tano.
3. Pia mtoto anaweza kuwa anapumua kwa haraka sana hiyo nayo inawezekana kubwa ni Dalili ya pneumonia kwa hiyo mtoto anapaswa kupewa dawa ya kunusa au kupuliza puani ili kuweza kuzibua kifua kwa kutumia dawa ambazo huitwa bronchodilator kwa mda wa siku tano .
4.kwa hiyo tunajua kabisa mtoto akipumua kwa shida ni Dalili ya hatari kwa mtoto kwa hiyo kama yuko nyumbani anapaswa kupelekwa hospitali haraka sana ili aweze kupata huduma mapema kwa sababu mtoto akitibiwa mapema anaweza kupona haraka kuliko kusubiri mda ukaenda hali hii usababisha madhara makubwa zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
Soma Zaidi...Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.
Soma Zaidi...Utajifunza sababua zinazopelekea kuhisi maumivu makali ya tumbo baada ya kumaliza tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto, ni Maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye kitovu cha mtoto pale ambapo mtoto amezaliwa inawezekana ni kwa sababu ya hali ya mtoto au huduma kuanzia kwa wakunga na wale wanaotumia mtoto.
Soma Zaidi...