Posti hii inahusu zaidi huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua, mtoto kama ana shida ya kupumua tunaangalia dalili kwanza na baadaye tunaweza kutoa huduma kulingana na Dalili.
Huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kumwangalia mtoto kama anakoroma akiwa hayuko usingizini , kama anaonekana anakoroma inawezekana kuwa ni Dalili ya pneumonia na mtoto apewe antibiotics na pia dawa hizi utolewa na daktari.
2. Pia mtoto anapaswa kuangaliwa kama anapumua anatoa ka sauti kama mlio fulani hivi ambao kwa kitaalamu huitwa wheezing sound , mtoto anapaswa kupewa dawa za amoxicillin na dawa hizi zinatolewa hospitalini na mtoto anapaswa kuzitumia kwa mda wa siku tano.
3. Pia mtoto anaweza kuwa anapumua kwa haraka sana hiyo nayo inawezekana kubwa ni Dalili ya pneumonia kwa hiyo mtoto anapaswa kupewa dawa ya kunusa au kupuliza puani ili kuweza kuzibua kifua kwa kutumia dawa ambazo huitwa bronchodilator kwa mda wa siku tano .
4.kwa hiyo tunajua kabisa mtoto akipumua kwa shida ni Dalili ya hatari kwa mtoto kwa hiyo kama yuko nyumbani anapaswa kupelekwa hospitali haraka sana ili aweze kupata huduma mapema kwa sababu mtoto akitibiwa mapema anaweza kupona haraka kuliko kusubiri mda ukaenda hali hii usababisha madhara makubwa zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Ni vyakula gani anapasa kula mjamzito, na utaratibu mzima wa lishe kwa wajawazito
Soma Zaidi...Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupima mimba kwa kutumia chumvi sukari na sabuni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.
Soma Zaidi...Postii inafundisha maandalizi ya mama kwa ajili ya kujifungulia hii Ni muhimu Sana kwa wale ambao hawajawahi kujingua Ni mara yao ya kwanza wanatakiwa kujua na kuelewa vifaa na mahitaji kujifungulia na kwa wale wanaohudhuria clinic huwa wanafundisha.
Soma Zaidi...