Njia za kuangalia sehemu yenye maumivu


image


Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.


Njia za kuangalia sehemu zenye maumivu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kama mtu ana maumivu makali ni vigumu kutambua maumivu yako wapi kwa sababu anahisi mwili wote una maumivu kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza kutambua sehemu yenye maumivu.

 

2. Kumuuliza mgonjwa sehemu anapohisi anaumia zaidi au kama maumivu yanakuwa sehemu ipi zaidi, pia muuulize kama yanakiwepo kwa mda mrefu au kwa wakati wote, pia muuulize akitumia dawa ya maumivu ni sehemu ipi huwa inachelewa au inakuwa ya mwisho kutulia au maumivu yakianza ni sehemu ipi huwa inaanza kuhisi maumivu katika kujibu maswali hayo utagundua mara moja sehemu yenye matatizo.

 

3. Unaweza kumuuliza mgonjwa juwa maumivu yakianza lini na yalianzaje?  Au unaweza kuuliza kubwa ni mara ya kwanza hayo Maumivu kuwepo au ni kawaida yake pia ni vizuri kuuliza kama hayo Maumivu yanasababisha kukosea kwa usingizi au unashindwa kufanya kazi nyingine yakitokea baada ya kupata majibu ya maswali haya utaweza kuona jinsi Mgonjwa anavyoangaika na kumwonyesha cha kufanya.

 

4. Pia unaweza kumuuliza maswali kama haya kwamba iwapo maumivu yanatokea yanachukua mda gani?  Na wakati ya akianza yanaanzaje na yanaishaje na yanafanya Mgonjwa aweze kubadilika tabia.

 

5. Pia mgonjwa anaweza kuulizwa kama maumivu yanakuwa kwenye mfumo gani uanachama choma au yanakuja kwa ghafla na yanaondoka kwa kufanya hivyo mnaweza kujua aina ya maumivu.

 

6.Baada ya kujua aina ya maumivu na kujua kiwango cha maumivu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa walio kwenye maumivu makali na kuwafanya waweze kujisikia vizuri na kuwapatia dawa zinazowafanya wapone maumivu



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.
Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu Soma Zaidi...

image Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.
Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo Soma Zaidi...

image Magonjwa ya moyo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu magonjwa ya moyo Soma Zaidi...

image Fida za kula uyoga
Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uyoga si katika mimiea kwani uyoga upo katika kundi la viumbe liitwalo fungi (kingdom fungi). ila tunapozungumzia vyakula uyoga tunauweka kwenye kundi la mbogamboga. Uyoga una virutubisho vingi na vizuri kwa afya. Soma Zaidi...

image Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba. Soma Zaidi...

image Madhara ya minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo Soma Zaidi...

image Tiba ya minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tiba ya minyoo Soma Zaidi...

image Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo. Soma Zaidi...

image Zijue kazi za ovari
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai. Soma Zaidi...