Navigation Menu



Njia za kuangalia sehemu yenye maumivu

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.

Njia za kuangalia sehemu zenye maumivu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kama mtu ana maumivu makali ni vigumu kutambua maumivu yako wapi kwa sababu anahisi mwili wote una maumivu kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza kutambua sehemu yenye maumivu.

 

2. Kumuuliza mgonjwa sehemu anapohisi anaumia zaidi au kama maumivu yanakuwa sehemu ipi zaidi, pia muuulize kama yanakiwepo kwa mda mrefu au kwa wakati wote, pia muuulize akitumia dawa ya maumivu ni sehemu ipi huwa inachelewa au inakuwa ya mwisho kutulia au maumivu yakianza ni sehemu ipi huwa inaanza kuhisi maumivu katika kujibu maswali hayo utagundua mara moja sehemu yenye matatizo.

 

3. Unaweza kumuuliza mgonjwa juwa maumivu yakianza lini na yalianzaje?  Au unaweza kuuliza kubwa ni mara ya kwanza hayo Maumivu kuwepo au ni kawaida yake pia ni vizuri kuuliza kama hayo Maumivu yanasababisha kukosea kwa usingizi au unashindwa kufanya kazi nyingine yakitokea baada ya kupata majibu ya maswali haya utaweza kuona jinsi Mgonjwa anavyoangaika na kumwonyesha cha kufanya.

 

4. Pia unaweza kumuuliza maswali kama haya kwamba iwapo maumivu yanatokea yanachukua mda gani?  Na wakati ya akianza yanaanzaje na yanaishaje na yanafanya Mgonjwa aweze kubadilika tabia.

 

5. Pia mgonjwa anaweza kuulizwa kama maumivu yanakuwa kwenye mfumo gani uanachama choma au yanakuja kwa ghafla na yanaondoka kwa kufanya hivyo mnaweza kujua aina ya maumivu.

 

6.Baada ya kujua aina ya maumivu na kujua kiwango cha maumivu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa walio kwenye maumivu makali na kuwafanya waweze kujisikia vizuri na kuwapatia dawa zinazowafanya wapone maumivu

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 908


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo
Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik Soma Zaidi...

Je pumu inaweza kusababishwa na virusi ama bakteria?
Hapa utakwenda kujifunza jinsi ambavyo pumu inaweza kuwa na mahusiano kwa kuwepo kwa aina flani ya bakteria ama virusi. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa surua kwa watoto.
Surua ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na homa na upele mwekundu, unaotokea utotoni. Wakati mtu aliye na virusi akikohoa au kupiga chafya, matone yaliyoambukizwa huenea angani na kutua kwenye sehemu zilizo karibu. Mtoto anaweza kupata virusi kwa ku Soma Zaidi...

Aina za saratani ( cancer)
Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida. Soma Zaidi...

Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis. Soma Zaidi...

Dawa za kutuliza vvu zinaongeza damu
Hakuna dawa ya UKIMWI ya kutibu kuondoa virusi mwilini, lakini zipo dawa za kuweza kupunguza makali ya virusi hawa. Hivi unesha jiuliza kuwa je zile dawa zinaongeza damu? Soma Zaidi...

Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani. Soma Zaidi...

Maumivu ya magoti.
Maumivu ya magoti ni malalamiko ya kawaida ambayo huathiri watu wa umri wote. Maumivu ya goti yanaweza kuwa matokeo ya jeraha, kama vile ligament iliyopasuka au cartilage iliyochanika. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa Ugumu wa kumeza (dysphagia)
Ugumu wa kumeza (dysphagia) inamaanisha inachukua muda na bidii zaidi kuhamisha chakula kutoka kwa mdomo wako hadi kwenye tumbo lako. Ugumu wa kumeza unaweza pia kuhusishwa na maumivu. Katika baadhi ya matukio, kumeza inaweza kuwa haiwezekani. Ugumu w Soma Zaidi...

Matatizo ya unene kwa watoto (childhood obesity)
post Ina onyesha madhara na matatizo ya Unene Utoto ni hali mbaya ya kiafya inayoathiri watoto na vijana. Inatokea wakati mtoto yuko juu ya uzito wa kawaida kwa umri na urefu wake Soma Zaidi...