Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.
Njia za kuangalia sehemu zenye maumivu.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kama mtu ana maumivu makali ni vigumu kutambua maumivu yako wapi kwa sababu anahisi mwili wote una maumivu kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza kutambua sehemu yenye maumivu.
2. Kumuuliza mgonjwa sehemu anapohisi anaumia zaidi au kama maumivu yanakuwa sehemu ipi zaidi, pia muuulize kama yanakiwepo kwa mda mrefu au kwa wakati wote, pia muuulize akitumia dawa ya maumivu ni sehemu ipi huwa inachelewa au inakuwa ya mwisho kutulia au maumivu yakianza ni sehemu ipi huwa inaanza kuhisi maumivu katika kujibu maswali hayo utagundua mara moja sehemu yenye matatizo.
3. Unaweza kumuuliza mgonjwa juwa maumivu yakianza lini na yalianzaje? Au unaweza kuuliza kubwa ni mara ya kwanza hayo Maumivu kuwepo au ni kawaida yake pia ni vizuri kuuliza kama hayo Maumivu yanasababisha kukosea kwa usingizi au unashindwa kufanya kazi nyingine yakitokea baada ya kupata majibu ya maswali haya utaweza kuona jinsi Mgonjwa anavyoangaika na kumwonyesha cha kufanya.
4. Pia unaweza kumuuliza maswali kama haya kwamba iwapo maumivu yanatokea yanachukua mda gani? Na wakati ya akianza yanaanzaje na yanaishaje na yanafanya Mgonjwa aweze kubadilika tabia.
5. Pia mgonjwa anaweza kuulizwa kama maumivu yanakuwa kwenye mfumo gani uanachama choma au yanakuja kwa ghafla na yanaondoka kwa kufanya hivyo mnaweza kujua aina ya maumivu.
6.Baada ya kujua aina ya maumivu na kujua kiwango cha maumivu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa walio kwenye maumivu makali na kuwafanya waweze kujisikia vizuri na kuwapatia dawa zinazowafanya wapone maumivu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili,SABABU,mambo ya hatari katika Magonjwa ya zinaa (STDs), au magonjwa ya zinaa (STIs), kwa ujumla hupatikana kwa kujamiiana. Vimelea vinavyosababisha magonjwa ya zinaa vinaweza kupita kutoka kwa mtu hadi kwa mtu
Soma Zaidi...Maambukizi ya Norovirus yanaweza kusababisha kutapika sana naΓΒ Kuhara. Virusi huambukiza sana na kwa kawaida huenea kupitia chakula au maji ambayo yamechafuliwa na kinyesi wakati wa kutayarisha. Unaweza pia kuambukizwa kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...Bipolar disorder ni hali ya afya ya akili inayohusisha mabadiliko makubwa katika hisia, nishati, na shughuli za kila siku za mtu. Dalili za bipolar disorder zinaweza kuwa kwenye kipindi cha mania na kipindi cha unyogovu, zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa bipolar.
Soma Zaidi...Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Soma Zaidi...HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.
Soma Zaidi...