Njia za kuangalia sehemu yenye maumivu
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.
Njia za kuangalia sehemu zenye maumivu.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kama mtu ana maumivu makali ni vigumu kutambua maumivu yako wapi kwa sababu anahisi mwili wote una maumivu kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza kutambua sehemu yenye maumivu.
2. Kumuuliza mgonjwa sehemu anapohisi anaumia zaidi au kama maumivu yanakuwa sehemu ipi zaidi, pia muuulize kama yanakiwepo kwa mda mrefu au kwa wakati wote, pia muuulize akitumia dawa ya maumivu ni sehemu ipi huwa inachelewa au inakuwa ya mwisho kutulia au maumivu yakianza ni sehemu ipi huwa inaanza kuhisi maumivu katika kujibu maswali hayo utagundua mara moja sehemu yenye matatizo.
3. Unaweza kumuuliza mgonjwa juwa maumivu yakianza lini na yalianzaje? Au unaweza kuuliza kubwa ni mara ya kwanza hayo Maumivu kuwepo au ni kawaida yake pia ni vizuri kuuliza kama hayo Maumivu yanasababisha kukosea kwa usingizi au unashindwa kufanya kazi nyingine yakitokea baada ya kupata majibu ya maswali haya utaweza kuona jinsi Mgonjwa anavyoangaika na kumwonyesha cha kufanya.
4. Pia unaweza kumuuliza maswali kama haya kwamba iwapo maumivu yanatokea yanachukua mda gani? Na wakati ya akianza yanaanzaje na yanaishaje na yanafanya Mgonjwa aweze kubadilika tabia.
5. Pia mgonjwa anaweza kuulizwa kama maumivu yanakuwa kwenye mfumo gani uanachama choma au yanakuja kwa ghafla na yanaondoka kwa kufanya hivyo mnaweza kujua aina ya maumivu.
6.Baada ya kujua aina ya maumivu na kujua kiwango cha maumivu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa walio kwenye maumivu makali na kuwafanya waweze kujisikia vizuri na kuwapatia dawa zinazowafanya wapone maumivu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 web hosting π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 kitabu cha Simulizi π5 Kitabu cha Afya π6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Kujitenga na jamii: Je, ni ishara ya unyogovu?
βKatika ulimwengu wa kisasa uliounganishwa kidijitali, kitendawili cha upweke katikati ya umati kimezidi kuwa kikubwa. Makala haya yanachunguza uhusiano wa kina kati ya tabia ya kujitenga na jamii (social withdrawal) na afya ya akili, hususan unyogovu. Tunachambua dalili, sababu za kisaikolojia, na tofauti kati ya hitaji la muda mfupi la upweke na ugonjwa wa unyogovu wa kitabibu, huku tukitoa mwongozo wa hatua za kuchukua ili kurejesha ustawi wa kijamii
Soma Zaidi...Njia za kuzuia upele
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika.
Soma Zaidi...Upele wa vipele (Shingles): Dalili na matibabu.
Upele wa vipele (Shingles), unaojulikana kitaalamu kama Herpes Zoster, ni ugonjwa wa ngozi unaosababishwa na kirusi kilekile kinachosababisha tetekuwanga (Chickenpox). Baada ya mtu kupona tetekuwanga, kirusi hicho hubaki kimejificha katika mfumo wa neva kwa miaka mingi. Kinapochochewa na kupungua kwa kinga ya mwili, uzee, au msongo wa mawazo, kirusi hujitokeza tena kama upele wa vipele. Makala haya yanaelezea dalili zake na jinsi ya kupata matibabu ya haraka.
Soma Zaidi...