Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.
Njia za kuangalia sehemu zenye maumivu.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kama mtu ana maumivu makali ni vigumu kutambua maumivu yako wapi kwa sababu anahisi mwili wote una maumivu kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza kutambua sehemu yenye maumivu.
2. Kumuuliza mgonjwa sehemu anapohisi anaumia zaidi au kama maumivu yanakuwa sehemu ipi zaidi, pia muuulize kama yanakiwepo kwa mda mrefu au kwa wakati wote, pia muuulize akitumia dawa ya maumivu ni sehemu ipi huwa inachelewa au inakuwa ya mwisho kutulia au maumivu yakianza ni sehemu ipi huwa inaanza kuhisi maumivu katika kujibu maswali hayo utagundua mara moja sehemu yenye matatizo.
3. Unaweza kumuuliza mgonjwa juwa maumivu yakianza lini na yalianzaje? Au unaweza kuuliza kubwa ni mara ya kwanza hayo Maumivu kuwepo au ni kawaida yake pia ni vizuri kuuliza kama hayo Maumivu yanasababisha kukosea kwa usingizi au unashindwa kufanya kazi nyingine yakitokea baada ya kupata majibu ya maswali haya utaweza kuona jinsi Mgonjwa anavyoangaika na kumwonyesha cha kufanya.
4. Pia unaweza kumuuliza maswali kama haya kwamba iwapo maumivu yanatokea yanachukua mda gani? Na wakati ya akianza yanaanzaje na yanaishaje na yanafanya Mgonjwa aweze kubadilika tabia.
5. Pia mgonjwa anaweza kuulizwa kama maumivu yanakuwa kwenye mfumo gani uanachama choma au yanakuja kwa ghafla na yanaondoka kwa kufanya hivyo mnaweza kujua aina ya maumivu.
6.Baada ya kujua aina ya maumivu na kujua kiwango cha maumivu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa walio kwenye maumivu makali na kuwafanya waweze kujisikia vizuri na kuwapatia dawa zinazowafanya wapone maumivu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUgonjwa wa kula kupindukia ni ugonjwa mbaya wa ulaji ambapo mara kwa mara unatumia kiasi kikubwa cha chakula na kuhisi huwezi kuacha kula.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.
Soma Zaidi...Tetekuwanga (varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, upele kama vile malengelenge. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya kawaida ya tetekuwanga, karibu watu
Soma Zaidi...Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc
Soma Zaidi...Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Donda Koo ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea viitwavyo kwa kitaalamu corynebacterium diphtheria, ugonjwa huu ushambulia Koo na unaweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa, mate na
Soma Zaidi...Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar
Soma Zaidi...