Maana ya sadaqat
Nguzo za imani, maana ya sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Maana ya Sadaqat:
Kilugha: Neno ‘sadaqat’ linatokana na neno “sidiq” lenye maana ya ukweli.
Kisheria: Sadaqat maana yake ni mali au huduma inayotolewa kwa mtu yeyote
anayohitajia.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 kitabu cha Simulizi ๐2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐5 Kitau cha Fiqh ๐6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Hatua za kinga za ugumba na Utasa.
Ugumba ni รขโฌลugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasaรย kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.
Soma Zaidi...Mambo yaliyo haramu kwa mwenye hedhi na nifasi
Katika post hii utakwenda kujifunza mambo ambayo ni haramu kwa mwanamke aliye na hedhi na nifasi
Soma Zaidi...Uislamu unavyokemea tabia ya ombaomba
Uislamu umekataza tabia ya kuombaomba kama ndio njia ya kuendesha maisha. Pia ukaweka suluhisho la kukomesha tabia hiyo
Soma Zaidi...Nini maana ya funga na ni lipi lengo lake
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la funga na maana yake katika uislamu.
Soma Zaidi...darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam.
Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh.
Soma Zaidi...