Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Kitabu cha Qur’an |
Vitabu Vingine vya Mwenyezi Mungu |
1. Neno la Asili. Qur’an imebakia katika lugha yake ya asili ya kiarabu fasaha pamoja nakutafsiriwa katika lugha tofauti. |
Vitabu vingine lugha zao za asili zilizoshushiwa zimepotea na kutojulikana. |
2. Lugha zilizoshushiwa Vitabu. Lugha ya Qur’an ni hai kwani mpaka leo inatumika na kufahamika na walimwengu wengi. |
Lugha za vitabu vilivyotangulia ni mfu, zimefutika zamani na hazijulikani na watu. Rejea Qur’an (14:4). |
3. Kuhifadhiwa na Kulindwa Vitabu. Qur’an imebaki katika asili yake kama ilivyoteremsha bila kubadilishwa chochote na wanaadamu ndani yake. Rejea Qur’an (15:9) na (41:42) |
Vitabu vingine vimepotea katika asili yake kwa kupunguzwa, kuongezwa na kupotoshwa asili ya ujumbe wake na mikono ya wanaadamu.. |
4. Hitoria ya Kushushwa Vitabu. Historia ya kushushwa Qur’an inajulikana vyema mfano; namna, sehemu, muda/kipindi na sababu ya kuteremshwa kila aya. |
Vitabu vingine historia ya kushushwa kwao haijulikani, mfano; muda, nama, sababu au sehemu. |
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nuzo 6 za imani ya uislamu na pia utajifunz akuhusu mafunzo yanayoweza kupatikana kwenye Nguzo hizi.
Soma Zaidi...Dhana ya faradh kwa muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Dhana ya faradh kwa muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Hii ni njia ambayo mwanaadamu huongeleshwa moja kwa moja na Allah (s.
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Allah hutumia maandishi kuwafundisha wanadamu. Mfano mzuri ni nabii Musa ambaye alipewa vibao vya maandishi.
Soma Zaidi...Kwa hakika binaadamu ameumbwa, hali ya kuwa mwenye pap atiko.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...