Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
|
Kitabu cha Qur’an |
Vitabu Vingine vya Mwenyezi Mungu |
|
1. Neno la Asili. Qur’an imebakia katika lugha yake ya asili ya kiarabu fasaha pamoja nakutafsiriwa katika lugha tofauti. |
Vitabu vingine lugha zao za asili zilizoshushiwa zimepotea na kutojulikana. |
|
2. Lugha zilizoshushiwa Vitabu. Lugha ya Qur’an ni hai kwani mpaka leo inatumika na kufahamika na walimwengu wengi. |
Lugha za vitabu vilivyotangulia ni mfu, zimefutika zamani na hazijulikani na watu. Rejea Qur’an (14:4). |
|
3. Kuhifadhiwa na Kulindwa Vitabu. Qur’an imebaki katika asili yake kama ilivyoteremsha bila kubadilishwa chochote na wanaadamu ndani yake. Rejea Qur’an (15:9) na (41:42) |
Vitabu vingine vimepotea katika asili yake kwa kupunguzwa, kuongezwa na kupotoshwa asili ya ujumbe wake na mikono ya wanaadamu.. |
|
4. Hitoria ya Kushushwa Vitabu. Historia ya kushushwa Qur’an inajulikana vyema mfano; namna, sehemu, muda/kipindi na sababu ya kuteremshwa kila aya. |
Vitabu vingine historia ya kushushwa kwao haijulikani, mfano; muda, nama, sababu au sehemu. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Na katika watu, wako (wanafiki) wasemao: "Tumemwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho"; na hali ya kuwa wao si wenye kuamini.
Soma Zaidi...Huwaoni wale wanafiki wanawaambia ndugu zao walio makafiri miongoni mwa watu waliopewa Kitabu (kabla yenu) Mayahudi (Wanawaambia): "Kama mkitolewa, (mkifukuzwa hapa) tutaondoka pamoja nanyi, wala hat utamtii yoyote kabisa juu yenu.
Soma Zaidi...Katika Uislamu imani inanguzo kuu 6.Pia muumini anatakiwa ajipambe na sifa za waumini. Posti hii itakufundisha kuhusu imani katika Uislamu.
Soma Zaidi...Elimu imepewa kipaumbele kikubwa kwenye uislamu. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nafasi ya Elimu katika uislamu.
Soma Zaidi...Katika Qur'an tunakumbushwa neema mbali mbali walizotunukiwa Bani Israil (Mayahudi) na Mola wao ili kuwawezesha kusimamisha Ufalme wa Allah(s.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu
Soma Zaidi...Ni mgawanyo upi wa elimu haukubaliki. Ni ipi elimul akhera na elimu dunia? (Edk form 1 Dhana ya elimu)
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...