Tofauti kati ya Quran na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Tofauti kati ya Qur’an na Vitabu vingine vya Mwenyezi Mungu (s.w).
|
Kitabu cha Qur’an |
Vitabu Vingine vya Mwenyezi Mungu |
|
1. Neno la Asili. Qur’an imebakia katika lugha yake ya asili ya kiarabu fasaha pamoja nakutafsiriwa katika lugha tofauti. |
Vitabu vingine lugha zao za asili zilizoshushiwa zimepotea na kutojulikana. |
|
2. Lugha zilizoshushiwa Vitabu. Lugha ya Qur’an ni hai kwani mpaka leo inatumika na kufahamika na walimwengu wengi. |
Lugha za vitabu vilivyotangulia ni mfu, zimefutika zamani na hazijulikani na watu. Rejea Qur’an (14:4). |
|
3. Kuhifadhiwa na Kulindwa Vitabu. Qur’an imebaki katika asili yake kama ilivyoteremsha bila kubadilishwa chochote na wanaadamu ndani yake. Rejea Qur’an (15:9) na (41:42) |
Vitabu vingine vimepotea katika asili yake kwa kupunguzwa, kuongezwa na kupotoshwa asili ya ujumbe wake na mikono ya wanaadamu.. |
|
4. Hitoria ya Kushushwa Vitabu. Historia ya kushushwa Qur’an inajulikana vyema mfano; namna, sehemu, muda/kipindi na sababu ya kuteremshwa kila aya. |
Vitabu vingine historia ya kushushwa kwao haijulikani, mfano; muda, nama, sababu au sehemu. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 ai web app 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 web hosting 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Sifa za waumini zilizotajwa katika surat As-Sajida
Nao husema (kwa maskhara): "Je, tutakapopotea katika ardhi, (tukageuka mchanga) ndio tutarudishwa katika umbo jipya?
Soma Zaidi...Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu Ni upi? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu)
Soma Zaidi...Kujielimisha kwa Ajili ya Allah (s.w).
Elimu ndiyo zana aliyotunukiwa mwanadamu ili aitumie kutekeleza majukumu yake kama Khalifa wa Allah (s.
Soma Zaidi...Kwanini mwanadamu hawezi kuishi bila ya dini?
Mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...