Tofauti kati ya Quran na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu


image


Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)


  • Tofauti kati ya Qur’an na Vitabu vingine vya Mwenyezi Mungu (s.w).

Kitabu cha Qur’an 

Vitabu Vingine vya Mwenyezi Mungu

 

1. Neno la Asili.

Qur’an imebakia katika lugha yake                    ya asili ya kiarabu fasaha pamoja nakutafsiriwa katika lugha tofauti.

 

Vitabu vingine lugha zao za asili                                                       zilizoshushiwa zimepotea na kutojulikana.

 

2. Lugha zilizoshushiwa Vitabu.

Lugha ya Qur’an ni hai kwani mpaka leo inatumika na kufahamika na walimwengu wengi. 

 

Lugha za vitabu vilivyotangulia ni mfu, zimefutika zamani na hazijulikani na watu.

Rejea Qur’an (14:4).

 

3. Kuhifadhiwa na Kulindwa Vitabu.

Qur’an imebaki katika asili yake kama ilivyoteremsha bila kubadilishwa chochote na wanaadamu ndani yake.

Rejea Qur’an (15:9) na (41:42)

 

Vitabu vingine vimepotea katika asili yake kwa kupunguzwa, kuongezwa na kupotoshwa asili ya ujumbe wake na mikono ya wanaadamu..

 

4. Hitoria ya Kushushwa Vitabu.

Historia ya kushushwa Qur’an inajulikana vyema mfano; namna, sehemu, muda/kipindi na sababu ya kuteremshwa kila aya.

 

Vitabu vingine historia ya kushushwa kwao haijulikani, mfano; muda, nama, sababu au sehemu.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Vita vya badri
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Zoezi la 5
Maswali mbalimbali kuhusu fiqih Soma Zaidi...

image Zoezi la 6 kusimamisha swala
Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala. Soma Zaidi...

image Kuwapa wanaostahiki
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Namna lengo la zakat linavyofikiwa
Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kutoa kati kwa kati
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mwenendo wa mwenye kunuia hijjah na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Makundi ya dini za wanaadamu
Kwenye kipengele hichi tutajifunza makundi ya dini za watu. Na makundi hayo ni matatu. Soma Zaidi...

image Maana ya kusimamisha uislamu katika dini
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mbinu na njia walizotumia maadui wa uislamu dhidi ya waislamu na dola ya kiislamu madinah
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...