Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?
Mwanamke atapata Ugonjwa huu kupitia Mambo Yafuatayo;
1.kupitia ngono zembe, yaani mwanamke anapojamiina anatakiwa kuwa makini kwani ngono nyingine hupelekea kupata Magonjwa hivyo Ni vyema kujikinga na kuhakikisha usalama Kati yake na mwenza wake.
2.kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja, pia hupelekea Maambukizi kutokana na kujamiina na wanaume wengi, hivyo wanawake wanatakiwa kuwa angalau na mtu mmoja kipenzi.
3.kupitia Magonjwa ya zinaa Kama vile kisonono, kaswende na yenyewe husababishwa na ngono zembe.
4.kupitia kunyonywa ukeni Mara kwa Mara.
5.kuweka vitu ukeni ili kuufanya uke ubane au upendeze ili kumfurahisha mpenzi wako.
6.utoaji wa mimba alaf kukosa isafishaji mzuri baada ya kutoa mimba.
7.kupitia Njia ya kujifungua Kama wakunga hawakuwa vizuri au makini.
8.kutumia madawa na Njia ya Kuzuia mimba kwa vijiti na sindano.
9.kupitia UTI sugu.pia huweza kusababisha Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke .
10.kufanya mapenzi bila kuitumia kondomu.
Mwisho; wanawake wanatakiwa kuwa makini wakiona Dalili za Maambukizi ya mfumo wa Uzazi na wajikinge na vitu au vishawishi vinavyopelekea kupata Ugonjwa huu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasip
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
Soma Zaidi...Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...