Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?
Mwanamke atapata Ugonjwa huu kupitia Mambo Yafuatayo;
1.kupitia ngono zembe, yaani mwanamke anapojamiina anatakiwa kuwa makini kwani ngono nyingine hupelekea kupata Magonjwa hivyo Ni vyema kujikinga na kuhakikisha usalama Kati yake na mwenza wake.
2.kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja, pia hupelekea Maambukizi kutokana na kujamiina na wanaume wengi, hivyo wanawake wanatakiwa kuwa angalau na mtu mmoja kipenzi.
3.kupitia Magonjwa ya zinaa Kama vile kisonono, kaswende na yenyewe husababishwa na ngono zembe.
4.kupitia kunyonywa ukeni Mara kwa Mara.
5.kuweka vitu ukeni ili kuufanya uke ubane au upendeze ili kumfurahisha mpenzi wako.
6.utoaji wa mimba alaf kukosa isafishaji mzuri baada ya kutoa mimba.
7.kupitia Njia ya kujifungua Kama wakunga hawakuwa vizuri au makini.
8.kutumia madawa na Njia ya Kuzuia mimba kwa vijiti na sindano.
9.kupitia UTI sugu.pia huweza kusababisha Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke .
10.kufanya mapenzi bila kuitumia kondomu.
Mwisho; wanawake wanatakiwa kuwa makini wakiona Dalili za Maambukizi ya mfumo wa Uzazi na wajikinge na vitu au vishawishi vinavyopelekea kupata Ugonjwa huu.
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2022/01/13/Thursday - 12:42:44 pm Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1247
Vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya kibofu Cha nyongo
Saratani ya kibofu cha nyongo ni Saratani inayoanzia kwenye kibofu cha nyongo.
Nyongo yako ni kiungo kidogo, chenye umbo la peari upande wa kulia wa tumbo lako, chini ya ini lako. Kibofu cha nyongo huhifadhi nyongo, Kioevu cha usagaji chakula kinachozalishwa na ini lako.
Saratani ya kibofu cha nyongo si kawaida. Saratani ya nyongo inapogunduliwa katika hatua zake za awali, uwezekano wa kupona ni mzuri sana. Lakini saratani nyingi za kibofu cha nyongo hugunduliwa katika hatua ya mwisho, wakati ubashiri mara nyingi huwa mbaya sana. Soma Zaidi...
Aina za swala..
Nguzo za uislamu,aina za swala (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa. Soma Zaidi...
Njia za maambukizi ya Homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano. Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi Soma Zaidi...
Viwango vitatu vya kuungua.
Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali Soma Zaidi...
Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe
Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao. Soma Zaidi...
Zijue Dalili za hatari kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajionyesha. Soma Zaidi...
Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe.
Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya kuzuia maambukizi haya ni kuepuka kuumwa na kupe. Dawa za kuua tiki, ukaguzi wa kina wa mwili baada ya kuwa nje na uondoaji sahihi wa kupe hukupa nafasi nzuri ya kuepuka Maambukizi ya bakteria huyu. Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake. Soma Zaidi...