Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?
Mwanamke atapata Ugonjwa huu kupitia Mambo Yafuatayo;
1.kupitia ngono zembe, yaani mwanamke anapojamiina anatakiwa kuwa makini kwani ngono nyingine hupelekea kupata Magonjwa hivyo Ni vyema kujikinga na kuhakikisha usalama Kati yake na mwenza wake.
2.kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja, pia hupelekea Maambukizi kutokana na kujamiina na wanaume wengi, hivyo wanawake wanatakiwa kuwa angalau na mtu mmoja kipenzi.
3.kupitia Magonjwa ya zinaa Kama vile kisonono, kaswende na yenyewe husababishwa na ngono zembe.
4.kupitia kunyonywa ukeni Mara kwa Mara.
5.kuweka vitu ukeni ili kuufanya uke ubane au upendeze ili kumfurahisha mpenzi wako.
6.utoaji wa mimba alaf kukosa isafishaji mzuri baada ya kutoa mimba.
7.kupitia Njia ya kujifungua Kama wakunga hawakuwa vizuri au makini.
8.kutumia madawa na Njia ya Kuzuia mimba kwa vijiti na sindano.
9.kupitia UTI sugu.pia huweza kusababisha Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke .
10.kufanya mapenzi bila kuitumia kondomu.
Mwisho; wanawake wanatakiwa kuwa makini wakiona Dalili za Maambukizi ya mfumo wa Uzazi na wajikinge na vitu au vishawishi vinavyopelekea kupata Ugonjwa huu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
Soma Zaidi...DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.
Soma Zaidi...Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
Soma Zaidi...Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.
Soma Zaidi...