Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?
Mwanamke atapata Ugonjwa huu kupitia Mambo Yafuatayo;
1.kupitia ngono zembe, yaani mwanamke anapojamiina anatakiwa kuwa makini kwani ngono nyingine hupelekea kupata Magonjwa hivyo Ni vyema kujikinga na kuhakikisha usalama Kati yake na mwenza wake.
2.kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja, pia hupelekea Maambukizi kutokana na kujamiina na wanaume wengi, hivyo wanawake wanatakiwa kuwa angalau na mtu mmoja kipenzi.
3.kupitia Magonjwa ya zinaa Kama vile kisonono, kaswende na yenyewe husababishwa na ngono zembe.
4.kupitia kunyonywa ukeni Mara kwa Mara.
5.kuweka vitu ukeni ili kuufanya uke ubane au upendeze ili kumfurahisha mpenzi wako.
6.utoaji wa mimba alaf kukosa isafishaji mzuri baada ya kutoa mimba.
7.kupitia Njia ya kujifungua Kama wakunga hawakuwa vizuri au makini.
8.kutumia madawa na Njia ya Kuzuia mimba kwa vijiti na sindano.
9.kupitia UTI sugu.pia huweza kusababisha Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke .
10.kufanya mapenzi bila kuitumia kondomu.
Mwisho; wanawake wanatakiwa kuwa makini wakiona Dalili za Maambukizi ya mfumo wa Uzazi na wajikinge na vitu au vishawishi vinavyopelekea kupata Ugonjwa huu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .
Soma Zaidi...Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito.
Soma Zaidi...