Malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano

Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.

Malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano.

1.lengo la kwanza ni kuzuia vifo kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano.

Hili ni mojawapo ya lengo ambalo limeweza kuwepo kwa sababu hapo mwanzoni palikuwepo na vifo vingi vya watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa sababu ya kutokuwepo kwa chanjo na baada ya kuwepo kwa chuo Magonjwa mengi yamepungua kama vile kifua kikuu, kifadulo, Surua na magonjwa mengine mengi.

 

2.Lengo la pili ni  kupunguza magonjwa.

Kuanzia malengo yalipoanza na mpaka sasa hivi magonjwa mengi yamepungua ambapo watoto Upata chanjo mapema na pia akina mama uweza kupata chanjo na dawa ili kuwakinga watoto wadogo na pia mahudhurio ya kliniki kila mwezi ambayo uangalia maendeleo ya mtoto.

 

3. Kuondoa aina yoyote ya ulemavu kwa watoto.

Hapo mwanzoni palikuwepo na ulemavu mbalimbali kwa watoto na sasa hivi ulemavu huo umetoweka kwa sababu ya kuwepo kwa dawa na maelekezo mbalimbali ya wataalamu wa afya kwa kufanya hivyo ulemavu kwa watoto wadogo umepungua kwa kiasi kikubwa.

 

4. Lengo lingine ni kuona maendeleo mazuri na ukuaji wa watoto kwa wakati, kufuatana na lengo hili watoto wengi wameweza kuangaliwa kuanzia miaka sifuri mpaka miaka mitano na pia mahudhurio ya kliniki yanafanyika ili kuweza kuangalia maendeleo ya mtoto kwa kutumia vigezo mbalimbali ambavyo ni uzito na kuangalia maendeleo ya kwa ujumla.

 

5. Kwa hiyo tunaona malengo haya ni mazuri na yameleta faida kubwa kwa watoto kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka watoto kupata chanjo na mahudhurio ya kliniki ili kuweza kutokomeza maradhi yanayowapata watoto na kuzuia vifo kwa watoto wadogo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 972

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kushusha homoni za kiume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.

Soma Zaidi...
Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa jamii

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.

Soma Zaidi...
mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka

Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za kutumia uzazi wa mpango

Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.

Soma Zaidi...
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba

Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.

Soma Zaidi...
je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo

Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali

Soma Zaidi...
Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?

Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.

Soma Zaidi...
tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba

Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?

Soma Zaidi...