picha

Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba

Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia

Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa Nimonia ni mojawapo ya ugonjwa unaowasumbua sana watoto wadogo chini ya miaka mitano, hasa ugonjwa huu ushambulia sehemu za upumuaji, pia uweza kumfanya mtoto kupumua vibaya au kukoroma kwa mtoto kwa hiyo tunaweza kumtambua mtoto kwa njia zifuatazo.

 

2. Kwanza kabisa tunapaswa kuangalia Dalili za habtari kwa mtoto ambazo ni pamoja na kushindwa kula au kunyonya na pia kutapika kila kitu, pia unapaswa kuangalia kama mtoto ana kihozi au anapumua kwa shida kwa kufanya hivyo unaweza kugundua kwamba mtoto ana Nimonia au la.

 

3. Pia unapaswa kuangalia kama mtoto anapumua kawaida? Au anatumia mda mrefu kufuta hewa? Au kuangalia kama mtoto ana homa au vipi? Pia inaangalia kama mtoto anaweza kula au kunyonya.

 

4.Kama mtoto anakoroma wakati wa kupumua anapaswa kupata huduma za haraka na pia ukiona na kupumua kwake ni kwa shida mpatie dawa zinazofaa kwa Nimonia dawa ambayo anapaswa kutumia ni amoxicillin na pia matumizi yake ni kwa maagizo ya daktari kufuatana na umri pamoja na uzito wa mtoto.

 

5.Kwa hiyo wazazi na walezi wanapaswa kutambua ugonjwa wa Nimonia na Dalili zake ili waweze kutibu na pia wanapaswa kuhakikisha kuwa watoto wao wanapata tiba kadri ya hali ya ugonjwa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2240

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu mapacha wanaofanana

Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.

Soma Zaidi...
Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu kuharisha kwa mtoto ukiwa nyumbani.

Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Nguzo kuu za umama katika umri wa kupata watoto na kulea watoto

Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k

Soma Zaidi...