Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba

Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba

Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa Nimonia ni mojawapo ya ugonjwa unaowasumbua sana watoto wadogo chini ya miaka mitano, hasa ugonjwa huu ushambulia sehemu za upumuaji, pia uweza kumfanya mtoto kupumua vibaya au kukoroma kwa mtoto kwa hiyo tunaweza kumtambua mtoto kwa njia zifuatazo.

 

2. Kwanza kabisa tunapaswa kuangalia Dalili za habtari kwa mtoto ambazo ni pamoja na kushindwa kula au kunyonya na pia kutapika kila kitu, pia unapaswa kuangalia kama mtoto ana kihozi au anapumua kwa shida kwa kufanya hivyo unaweza kugundua kwamba mtoto ana Nimonia au la.

 

3. Pia unapaswa kuangalia kama mtoto anapumua kawaida? Au anatumia mda mrefu kufuta hewa? Au kuangalia kama mtoto ana homa au vipi? Pia inaangalia kama mtoto anaweza kula au kunyonya.

 

4.Kama mtoto anakoroma wakati wa kupumua anapaswa kupata huduma za haraka na pia ukiona na kupumua kwake ni kwa shida mpatie dawa zinazofaa kwa Nimonia dawa ambayo anapaswa kutumia ni amoxicillin na pia matumizi yake ni kwa maagizo ya daktari kufuatana na umri pamoja na uzito wa mtoto.

 

5.Kwa hiyo wazazi na walezi wanapaswa kutambua ugonjwa wa Nimonia na Dalili zake ili waweze kutibu na pia wanapaswa kuhakikisha kuwa watoto wao wanapata tiba kadri ya hali ya ugonjwa

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1671

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Madhara ya kupungua kwa homoni ya projestron
Madhara ya kupungua kwa homoni ya projestron

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia

Soma Zaidi...
Tiba ya awali  kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID
Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID

Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kabla ya kupata hedhi
Maumivu ya tumbo kabla ya kupata hedhi

Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.

Soma Zaidi...
Dalili za Ujauzito mchanga Siku Saba Baada ya Ovulation
Dalili za Ujauzito mchanga Siku Saba Baada ya Ovulation

Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation).

Soma Zaidi...
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

Soma Zaidi...
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama mwenye mimba Inayotishia kutoka.
Huduma kwa mama mwenye mimba Inayotishia kutoka.

Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.

Soma Zaidi...
Madhara ya kufanya tendo la ndoa na mwanamke akiwa katika siku zake.
Madhara ya kufanya tendo la ndoa na mwanamke akiwa katika siku zake.

Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia mimba zisiharibike.
Njia za kuzuia mimba zisiharibike.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik

Soma Zaidi...