Bara arabu enzi za jahiliyyah, jiografia ya bara arabu


image


Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)


BARA ARAB ZAMA ZA JAHILIYYAH, KARNE YA 6 A.D.

      7.1 Hali ya Bara Arab zama za Jahiliyyah.

  • Jiografia ya Bara Arab.

-  Bara Arabu imezungukwa na bahari katika tatu, Magharibi kuna bahari ya Shamu, 

    Mashariki kuna Ghuba ya Uajemi na Oman, Kusini kuna bahari ya  Uarabuni na  

    Kaskazini ni Jangwa la Syria.

 

        -  Bara Arabu liko kati kati ya mabara matatu; Asia, Ulaya na Afrika.

                 -  Saudi Arabia ndio nchi kubwa kuliko zote Bara Arabu ambamo kuna miji mitakatifu 

                     ya Makkah na Madinah.

 

  • Hali ya Maadili na ushirikina katika jamii wakati wa kuzaliwa Mtume (s.a.w).

          -  Wakati anazaliwa Mtume mwaka 570 A.D (karne ya 6 A.D) dunia nzima ilikuwa 

                      katika giza totoro la ujahili.

          

        -  Maisha ya jamii yalikuwa yanaendeshwa kibabe na kibinafsi kwa kufuata matashi 

                      ya nafsi zao.

         

        -  Ubabe, ukandamizaji, unyonyaji, uporaji na dhuluma katika maisha yalionekana 

                     kama matendo ya kishujaa na kujivunia.

 

        -  Walizama katika ushirikina kiasi cha watu kuweza kutembea na miungu mifukoni 

                     mwao.

        -  Hali hii ya giza totoro ilienea pia nchi na mabara mbali mbali ulimwenguni kote.

 

        -  Dini kubwa zilizokuwepo muda huo zilikuwa ni Uyahudi na Ukristo lakini 

                     hazikuweza kumkomboa mwanaadamu kwa lolote hata kidogo.

 

        -  Hapakuwa na serikali, kila kabila lilikuwa na kiongozi na taratibu zake katika 

                    kuendeshea maisha. 

 

        -  Unyanyasaji wa wanawake kila nyanja, mauwaji ya watoto wa kike wakiwa hai 

            ilikuwa ni desturi ya kawaida katika maisha ya jamii ya Waarabu.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)..
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Haki za binadamu kwa ujumla (basic human rights)
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Madhumuni ya dola ya uislamu
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kutoa zakat
Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kuandaliwa kwa Muhammad kabla ya kupewa utume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kujiepusha na ria na masimbulizi
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Shirk na aina zake
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kwanini lengo la funga halifikiwi na wafungaji wengi
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kutoa kati kwa kati
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Maswali juu ya nguzo za Imani
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...