picha

Maelekezo muhimu kwa Mama au mlezi wa mtoto mgonjwa

Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa dawa kwa mtoto.

Maelekezo muhimu kwa Mama au mlezi wa mtoto mgonjwa.

1.Kwanza kabisa watoto wadogo wanapaswa kuwa karibu sana na walezi wao ili waweze kupata huduma muhimu na za msingi kwa hiyo mtoto akiwa mgonjwa na akaleta hospitalini Mama au mlezi wanapaswa kupewa maelekezo yafuatayo ili kuweza kuwafanya wampatie Mtoto dawa sahihi na kwa wakati wake.

 

2. Kwanza mama au mlezi wanapaswa kujua dozi na dawa ipi  mtoto anapaswa kupewa, na pia wanapaswa kuambiwa wazi sababu ya kupewa dawa hizo, kwa hiyo akina mama wakiwa wanaenda hospitalini ni muhimu kuuliza sababu ya kupewa dawa, mtoto anapaswa kupata dozi ipi na kwa mda gani kwa hiyo ni haki kuuliza na kupewa jibu.

 

3. Pia Mama anapaswa kuonyeshwa kwa vitendo namna ya kumpatia mtoto dawa na pia ikiwezekana anaweza nkujarubisha akiwa anaangaliwa na kama mtoto hajapewa dawa dozi ya kwanza inaweza kutolewa ili kumfanya Mama aweze kupata uzoefu wakati wa kutoa dawa.

 

4. Na kama dawa ni zaidi ya moja ni lazima kuziweka alama ili zisije kuchanganywa na pia mama anapaswa kujua kuwa lazima dawa zitolewe kwa mtoto mpaka ziishe hata kama mtoto amepona kwa hiyo ni lazima kumalizia dawa zote ili kuepuka hali ambayo siyo nzuri ikitokea dawa haijaisha.

 

5.Kwa hiyo ni vizuri kwa akina mama na walezi wa watoto kubwa makini pindi mnapokuwa hospitalini hakikisha kuwa dawa unazopewa unajua wazi matumizi yake na unaweza kujisimamia mwenyewe na kumpatia mtoto kwa mda mwafaka na akapona kwa hiyo kama hauwezi au haujui matumizi uliza kwa sababu unayo haki ya kupata matibabu kwa wakati na kwa mda wake

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/19/Saturday - 11:21:32 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 898

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 web hosting    👉6 ai web app   

Post zinazofanana:

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke

Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo

Soma Zaidi...
Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba

Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fangasi za ukeni

Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.

Soma Zaidi...
SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.

Soma Zaidi...
Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.

Soma Zaidi...
Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoa

Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu. Lakini kwa nini hali kama hii itokee. Posti hii itakwwnda mujibu swali hili.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.

Soma Zaidi...
Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Soma Zaidi...
Dalili za mimba katika mwezi wa kwanza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba katika mwezi was kwanza

Soma Zaidi...