Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa Mama

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.

Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa akina Mama.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ni huduma ambayo inatolewa kwa jamii ili kuweza kupata idadi ya watoto wanaohitajika na kuwapatia nafasi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama.

 

2.Akina mama wanapata afya nzuri na kupumzika kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine.

Ni wazi kabisa mama akiwa na mimba uweza kupata uchovu na masumbuko mbalimbali na kwa wakati mwingine kuna ambao wakati wa mimba wanaweza kuugua na kukosa nguvu mda wote lakini wakijifungua wanakuwa kawaida kwa hiyo na wakati wa kujifungua mama Upata uchungu na kuangaika sana wengine hata kutoa damu nyingi kwa hiyo wakipata mda wa kupumzika kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine watakuwa na afya njema kuliko kubeba mimba kila mara na afya udhoofika.

 

3.Uzazi wa mpango uzuia vifo vya akina Mama ambavyo utokea wakati wa kujifungua.

Ni kweli Mama akina mama wengi wanaweza kuingia kwenye hatari ya kufariki  wakati wa kujifungua kwa hiyo kutokana na kuwepo kwa uzazi wa mpango kumefanya kupunguza vifo vya akina Mama kwa sababu ya kujifungua kwa mda kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine kuliko kujifungua karibu kila mwaka na viungo vya mwili vinakuwa bado na hali hiyo usababisha kuvuja damu nyingi au kupasuka wakati wa kujifungua na Mama anaweza kupoteza maisha.

 

4.Uzazi wa mpango umesaidia akina mama ushiriki kwenye kazi mbalimbali za kiuchumi kwa sababu Mama anakuwa na nguvu za kutosha kuweza kuleta maendeleo kuliko kukaa katika kulea watoto ambao wamefuata na kama mapacha kwa hiyo kutokana na kuwepo kwa uzazi wa mpango akina Mama wengi wameweza kushiriki kazi mbalimbali za kiuchumi.

 

5.Uzazi wa mpango umefanya akina mama kubwa na idadi ya watoto wanaowapenda na kuwatunza na wameweza kuwa na nafasi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine na pia watoto wenyewe wanaweza kuleana na kusaidiana kwa sababu ya kuwepo kwa nafasi kubwa kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine.

 

6.Kwa hiyo tunaona wazi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa akina Mama kwa hiyo kama jamii tunapaswa kuwahimiza akina mama kushiriki kwenye uzazi wa mpango ili kuweza kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka kutumia mda mwingi kulea watoto wanaofuatana na kufanya kushuka kwa uchumi.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1106

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Sababu za kupata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.

Soma Zaidi...
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba

Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.

Soma Zaidi...
Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Soma Zaidi...
Dalili na sababu za Kukosa hedhi

Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz

Soma Zaidi...
Niharisha siku ya pili baada ya tendo. Jana hadi leo sijapata choo inawezakua nimeshika ujauzito?

Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?

Soma Zaidi...
Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?

Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.

Soma Zaidi...