Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.
Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa akina Mama.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ni huduma ambayo inatolewa kwa jamii ili kuweza kupata idadi ya watoto wanaohitajika na kuwapatia nafasi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama.
2.Akina mama wanapata afya nzuri na kupumzika kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine.
Ni wazi kabisa mama akiwa na mimba uweza kupata uchovu na masumbuko mbalimbali na kwa wakati mwingine kuna ambao wakati wa mimba wanaweza kuugua na kukosa nguvu mda wote lakini wakijifungua wanakuwa kawaida kwa hiyo na wakati wa kujifungua mama Upata uchungu na kuangaika sana wengine hata kutoa damu nyingi kwa hiyo wakipata mda wa kupumzika kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine watakuwa na afya njema kuliko kubeba mimba kila mara na afya udhoofika.
3.Uzazi wa mpango uzuia vifo vya akina Mama ambavyo utokea wakati wa kujifungua.
Ni kweli Mama akina mama wengi wanaweza kuingia kwenye hatari ya kufariki wakati wa kujifungua kwa hiyo kutokana na kuwepo kwa uzazi wa mpango kumefanya kupunguza vifo vya akina Mama kwa sababu ya kujifungua kwa mda kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine kuliko kujifungua karibu kila mwaka na viungo vya mwili vinakuwa bado na hali hiyo usababisha kuvuja damu nyingi au kupasuka wakati wa kujifungua na Mama anaweza kupoteza maisha.
4.Uzazi wa mpango umesaidia akina mama ushiriki kwenye kazi mbalimbali za kiuchumi kwa sababu Mama anakuwa na nguvu za kutosha kuweza kuleta maendeleo kuliko kukaa katika kulea watoto ambao wamefuata na kama mapacha kwa hiyo kutokana na kuwepo kwa uzazi wa mpango akina Mama wengi wameweza kushiriki kazi mbalimbali za kiuchumi.
5.Uzazi wa mpango umefanya akina mama kubwa na idadi ya watoto wanaowapenda na kuwatunza na wameweza kuwa na nafasi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine na pia watoto wenyewe wanaweza kuleana na kusaidiana kwa sababu ya kuwepo kwa nafasi kubwa kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine.
6.Kwa hiyo tunaona wazi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa akina Mama kwa hiyo kama jamii tunapaswa kuwahimiza akina mama kushiriki kwenye uzazi wa mpango ili kuweza kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka kutumia mda mwingi kulea watoto wanaofuatana na kufanya kushuka kwa uchumi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.
Soma Zaidi...Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa
Soma Zaidi...Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?
Soma Zaidi...