Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa Mama

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.

Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa akina Mama.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ni huduma ambayo inatolewa kwa jamii ili kuweza kupata idadi ya watoto wanaohitajika na kuwapatia nafasi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama.

 

2.Akina mama wanapata afya nzuri na kupumzika kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine.

Ni wazi kabisa mama akiwa na mimba uweza kupata uchovu na masumbuko mbalimbali na kwa wakati mwingine kuna ambao wakati wa mimba wanaweza kuugua na kukosa nguvu mda wote lakini wakijifungua wanakuwa kawaida kwa hiyo na wakati wa kujifungua mama Upata uchungu na kuangaika sana wengine hata kutoa damu nyingi kwa hiyo wakipata mda wa kupumzika kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine watakuwa na afya njema kuliko kubeba mimba kila mara na afya udhoofika.

 

3.Uzazi wa mpango uzuia vifo vya akina Mama ambavyo utokea wakati wa kujifungua.

Ni kweli Mama akina mama wengi wanaweza kuingia kwenye hatari ya kufariki  wakati wa kujifungua kwa hiyo kutokana na kuwepo kwa uzazi wa mpango kumefanya kupunguza vifo vya akina Mama kwa sababu ya kujifungua kwa mda kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine kuliko kujifungua karibu kila mwaka na viungo vya mwili vinakuwa bado na hali hiyo usababisha kuvuja damu nyingi au kupasuka wakati wa kujifungua na Mama anaweza kupoteza maisha.

 

4.Uzazi wa mpango umesaidia akina mama ushiriki kwenye kazi mbalimbali za kiuchumi kwa sababu Mama anakuwa na nguvu za kutosha kuweza kuleta maendeleo kuliko kukaa katika kulea watoto ambao wamefuata na kama mapacha kwa hiyo kutokana na kuwepo kwa uzazi wa mpango akina Mama wengi wameweza kushiriki kazi mbalimbali za kiuchumi.

 

5.Uzazi wa mpango umefanya akina mama kubwa na idadi ya watoto wanaowapenda na kuwatunza na wameweza kuwa na nafasi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine na pia watoto wenyewe wanaweza kuleana na kusaidiana kwa sababu ya kuwepo kwa nafasi kubwa kutoka kwa mtoto mmoja kwenda mwingine.

 

6.Kwa hiyo tunaona wazi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa akina Mama kwa hiyo kama jamii tunapaswa kuwahimiza akina mama kushiriki kwenye uzazi wa mpango ili kuweza kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka kutumia mda mwingi kulea watoto wanaofuatana na kufanya kushuka kwa uchumi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1319

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
UUME KUWASHA

Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.

Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.

Soma Zaidi...
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma

Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.

Soma Zaidi...
Madhara ya tumbaku na sigara

Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji

Soma Zaidi...
Njia za kutibu mbegu dhaifu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.

Soma Zaidi...
Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn

Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma

Soma Zaidi...