Sababu za kutoona hedhi kwa wakati

Sababu za kutoona hedhi kwa wakati

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Sababu za kukosa hedhi kwa mda ambao msichana anapaswa kuingia kwenye siku zake tayari.

1.Hili ni tatizo ambalo uwakumba wasichana wachache sana kwenye jamii, kwa wasichana huanza kuona hedhi kuanzia kwenye miaka kumi na miwili na kuendelea na kuna wengine ambao hawaoni na hali hii uwafanya kujisikia vibaya na kwa hiyo tunapaswa kujua sababu hizo kama ifuatavyo.

 

2. Kuwepo kwa Kiriba tumbo au kwa kitaalamu huitwa obesity hali hiyo ni kwa sababu ya kuwepo kwa mafuta mengi kila mahali ambayo yanasababisha vitu vingine kwenye mwili kwenda vibaya na kusababisha yai kushindwa kutoka kwenye kasha lake na hatimaye msichana hawezi kupata hedhi, kwa hiyo wazazi mnapaswa kuchagua aina nzuri ya vyakula vya kuwapa watoto wenu ili kuepuka matatizo kama haya.

 

3.Kuwepo kwa Mazoezi makali.

Mazoezi makali yakiwepo yanaweza kusababisha sehemu za via vya uzazi kutofanya kazi zake za kawaida au mazoezi hayo yanasababisha baadhi ya sehemu kuaribika na hatimaye Msichana anashindwa kupata hedhi kwa hiyo wale wanaofanya mazoezi makali jaribuni kutapunguza ili kuepuka matatizo haya,

 

4.Kuwepo kwa kiwango kidogo cha mafuta mwilini,

Kitendo cha kuwepo kwa mafuta kidogo mwilini nacho usababisha msichana kukosa hedhi kwa sababu mafuta ni mojawapo ya kitu kinachohitajika wakati wa ukuaji wa mtoto.kwa hiyo mafuta yakiwa chini ya asilimia kumi na tano mpaka kumi na saba msichana hawezi kupata hedhi maana ni kidogo mno.

 

5. Kutozalishwa au kuwepo kwa matatizo ya homoni ambazo usaidia kwenye makuzi ya mtoto, kwa hiyo kama homoni hazipo kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au pengine kwa sababu amezaliwa hivyo ni vigumu sana kupata hedhi, kwa hiyo wazazi wanapaswa kuwalea watoto wao kwenye misingi kizuri ili waweze kuepukakana na Magonjwa na wanapaswa kula vyakula muhimu sio vyakula ambavyo usababisha kuwepo kwa matatizo kwenye maisha yake

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1391

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Utaratibu kwa wajawazito na wanaonyonshesha wakiwa na virusi vya ukimwi na ukimwi
Utaratibu kwa wajawazito na wanaonyonshesha wakiwa na virusi vya ukimwi na ukimwi

Je kuna madhara kwa mwenye virusi vya ukimwi kunyonyesha ama kubeba mimba, na nini afyanye kama ameshabeba mimba ama kama ananyonyesha

Soma Zaidi...
Signs and symptoms of pregnancy.
Signs and symptoms of pregnancy.

In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi

Soma Zaidi...
 VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA NA NGUVU ZA KIUME
VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA NA NGUVU ZA KIUME

Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.

Soma Zaidi...
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?

Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.
Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.

Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kunyonyesha mtoto
Umuhimu wa kunyonyesha mtoto

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka

Soma Zaidi...
Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...