picha

Sababu za kutoona hedhi kwa wakati

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.

Sababu za kukosa hedhi kwa mda ambao msichana anapaswa kuingia kwenye siku zake tayari.

1.Hili ni tatizo ambalo uwakumba wasichana wachache sana kwenye jamii, kwa wasichana huanza kuona hedhi kuanzia kwenye miaka kumi na miwili na kuendelea na kuna wengine ambao hawaoni na hali hii uwafanya kujisikia vibaya na kwa hiyo tunapaswa kujua sababu hizo kama ifuatavyo.

 

2. Kuwepo kwa Kiriba tumbo au kwa kitaalamu huitwa obesity hali hiyo ni kwa sababu ya kuwepo kwa mafuta mengi kila mahali ambayo yanasababisha vitu vingine kwenye mwili kwenda vibaya na kusababisha yai kushindwa kutoka kwenye kasha lake na hatimaye msichana hawezi kupata hedhi, kwa hiyo wazazi mnapaswa kuchagua aina nzuri ya vyakula vya kuwapa watoto wenu ili kuepuka matatizo kama haya.

 

3.Kuwepo kwa Mazoezi makali.

Mazoezi makali yakiwepo yanaweza kusababisha sehemu za via vya uzazi kutofanya kazi zake za kawaida au mazoezi hayo yanasababisha baadhi ya sehemu kuaribika na hatimaye Msichana anashindwa kupata hedhi kwa hiyo wale wanaofanya mazoezi makali jaribuni kutapunguza ili kuepuka matatizo haya,

 

4.Kuwepo kwa kiwango kidogo cha mafuta mwilini,

Kitendo cha kuwepo kwa mafuta kidogo mwilini nacho usababisha msichana kukosa hedhi kwa sababu mafuta ni mojawapo ya kitu kinachohitajika wakati wa ukuaji wa mtoto.kwa hiyo mafuta yakiwa chini ya asilimia kumi na tano mpaka kumi na saba msichana hawezi kupata hedhi maana ni kidogo mno.

 

5. Kutozalishwa au kuwepo kwa matatizo ya homoni ambazo usaidia kwenye makuzi ya mtoto, kwa hiyo kama homoni hazipo kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au pengine kwa sababu amezaliwa hivyo ni vigumu sana kupata hedhi, kwa hiyo wazazi wanapaswa kuwalea watoto wao kwenye misingi kizuri ili waweze kuepukakana na Magonjwa na wanapaswa kula vyakula muhimu sio vyakula ambavyo usababisha kuwepo kwa matatizo kwenye maisha yake

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2123

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.

Soma Zaidi...
Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi

Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.

Soma Zaidi...
Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?

Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.

Soma Zaidi...
Sababu za kupata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea ugumba.

Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...