Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
عن Ø£ÙÙ…Ù‘Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ¤Ù…Ùنينَ Ø£Ùمّ٠عَبْد٠الله Ø¹Ø§Ø¦ÙØ´ÙŽØ©ÙŽ Ø±ÙŽØ¶ÙŠ الله٠عنها قالَتْ: قالَ رسÙول٠الله صلى الله عليه وسلم: (( مَنْ Ø£ÙŽØÙ’دَثَ ÙÙŠ أَمْرÙنا هذا ما لَيْسَ منه٠ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَد)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙÙŠÙ‘Ù ÙˆÙŽÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
ÙˆÙŽÙÙÙŠ رÙوَايَة٠لÙÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ù : ((Ù…ÙŽÙ† عَمÙÙ„ÙŽ عَمَلاً لَيْسَ عَلَيْه٠أَمْرÙنَا ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَدٌّ ))
Imepokelewa kutoka kwa Mama wa Waumini Ummu Abdillaah ‘Aishah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Atakayezusha katika jambo letu hili (la Dini) lolote ambalo halimo humo litarudishwa.” [Al-Bukhaariy na Muslim]
Na katika riwaayah ya Muslim: ”Atakayetenda kitendo kisichokuwa chetu (katika Dini) basi kitarudishwa.”
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
hii ni damna ya kuomba dua ukubaliwe, dua ya kuomba jambo ufanikiwe
Soma Zaidi...