Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
عن Ø£ÙÙ…Ù‘Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ¤Ù…Ùنينَ Ø£Ùمّ٠عَبْد٠الله Ø¹Ø§Ø¦ÙØ´ÙŽØ©ÙŽ Ø±ÙŽØ¶ÙŠ الله٠عنها قالَتْ: قالَ رسÙول٠الله صلى الله عليه وسلم: (( مَنْ Ø£ÙŽØÙ’دَثَ ÙÙŠ أَمْرÙنا هذا ما لَيْسَ منه٠ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَد)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙÙŠÙ‘Ù ÙˆÙŽÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
ÙˆÙŽÙÙÙŠ رÙوَايَة٠لÙÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ù : ((Ù…ÙŽÙ† عَمÙÙ„ÙŽ عَمَلاً لَيْسَ عَلَيْه٠أَمْرÙنَا ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَدٌّ ))
Imepokelewa kutoka kwa Mama wa Waumini Ummu Abdillaah ‘Aishah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Atakayezusha katika jambo letu hili (la Dini) lolote ambalo halimo humo litarudishwa.” [Al-Bukhaariy na Muslim]
Na katika riwaayah ya Muslim: ”Atakayetenda kitendo kisichokuwa chetu (katika Dini) basi kitarudishwa.”
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika makala hii utajifunza faida za kuwa na udhu
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha dua za kuomba wakati wa kuwa na maumivu kwenye mwili wako.
Soma Zaidi...Tanzu za Hadith(1) Tanzu ya UsahihiKulingana na kiwango cha usahihi wa Hadith, Hadith zimegawanywa katika makundi makuu manne:(a) Sahihi (b) Hasan/Nzuri.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...عَنْ ابْنِ عُمَرَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم قَالَ: "أُمِرْتُ أَنْ أُقَاتِلَ النَّاسَ حَتَّى ?...
Soma Zaidi...Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?
Soma Zaidi...