Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
عن Ø£ÙÙ…Ù‘Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ¤Ù…Ùنينَ Ø£Ùمّ٠عَبْد٠الله Ø¹Ø§Ø¦ÙØ´ÙŽØ©ÙŽ Ø±ÙŽØ¶ÙŠ الله٠عنها قالَتْ: قالَ رسÙول٠الله صلى الله عليه وسلم: (( مَنْ Ø£ÙŽØÙ’دَثَ ÙÙŠ أَمْرÙنا هذا ما لَيْسَ منه٠ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَد)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙÙŠÙ‘Ù ÙˆÙŽÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
ÙˆÙŽÙÙÙŠ رÙوَايَة٠لÙÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ù : ((Ù…ÙŽÙ† عَمÙÙ„ÙŽ عَمَلاً لَيْسَ عَلَيْه٠أَمْرÙنَا ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَدٌّ ))
Imepokelewa kutoka kwa Mama wa Waumini Ummu Abdillaah ‘Aishah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Atakayezusha katika jambo letu hili (la Dini) lolote ambalo halimo humo litarudishwa.” [Al-Bukhaariy na Muslim]
Na katika riwaayah ya Muslim: ”Atakayetenda kitendo kisichokuwa chetu (katika Dini) basi kitarudishwa.”
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?
Soma Zaidi...HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake
Soma Zaidi...Historia ya uandishi wa hadithibwakati wa Matabiina, yaani wafuasi wa maswahaba
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha dua ambazo ni muhimu kuzisoma wakayi wa shida na taabu.
Soma Zaidi...