Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
عن Ø£ÙÙ…Ù‘Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ¤Ù…Ùنينَ Ø£Ùمّ٠عَبْد٠الله Ø¹Ø§Ø¦ÙØ´ÙŽØ©ÙŽ Ø±ÙŽØ¶ÙŠ الله٠عنها قالَتْ: قالَ رسÙول٠الله صلى الله عليه وسلم: (( مَنْ Ø£ÙŽØÙ’دَثَ ÙÙŠ أَمْرÙنا هذا ما لَيْسَ منه٠ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَد)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙÙŠÙ‘Ù ÙˆÙŽÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
ÙˆÙŽÙÙÙŠ رÙوَايَة٠لÙÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ù : ((Ù…ÙŽÙ† عَمÙÙ„ÙŽ عَمَلاً لَيْسَ عَلَيْه٠أَمْرÙنَا ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَدٌّ ))
Imepokelewa kutoka kwa Mama wa Waumini Ummu Abdillaah ‘Aishah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Atakayezusha katika jambo letu hili (la Dini) lolote ambalo halimo humo litarudishwa.” [Al-Bukhaariy na Muslim]
Na katika riwaayah ya Muslim: ”Atakayetenda kitendo kisichokuwa chetu (katika Dini) basi kitarudishwa.”
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Elimu, pamoja na ubora wake, hainufaishi bila ya kutumiwa kwa hekima.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha maana ya neno sunnah katika Uislamu. Pia utajifunza maana ya neno hadithi katika uislamu
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...