Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
عن Ø£ÙÙ…Ù‘Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ¤Ù…Ùنينَ Ø£Ùمّ٠عَبْد٠الله Ø¹Ø§Ø¦ÙØ´ÙŽØ©ÙŽ Ø±ÙŽØ¶ÙŠ الله٠عنها قالَتْ: قالَ رسÙول٠الله صلى الله عليه وسلم: (( مَنْ Ø£ÙŽØÙ’دَثَ ÙÙŠ أَمْرÙنا هذا ما لَيْسَ منه٠ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَد)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙÙŠÙ‘Ù ÙˆÙŽÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
ÙˆÙŽÙÙÙŠ رÙوَايَة٠لÙÙ…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ù : ((Ù…ÙŽÙ† عَمÙÙ„ÙŽ عَمَلاً لَيْسَ عَلَيْه٠أَمْرÙنَا ÙÙŽÙ‡ÙÙˆÙŽ رَدٌّ ))
Imepokelewa kutoka kwa Mama wa Waumini Ummu Abdillaah ‘Aishah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Atakayezusha katika jambo letu hili (la Dini) lolote ambalo halimo humo litarudishwa.” [Al-Bukhaariy na Muslim]
Na katika riwaayah ya Muslim: ”Atakayetenda kitendo kisichokuwa chetu (katika Dini) basi kitarudishwa.”
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha dua ambazo ni muhimu kuzisoma wakayi wa shida na taabu.
Soma Zaidi...Hapa tutajifunza maana ya hadithi sahihi na hadithi Quds na tofaiti zao.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kukusanyika katika kuomba dua.
Soma Zaidi...