Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya vitamini B, kazi za vitamini B na chanzo cha vitaini B. Pia utajifunza makundi ya vitamini B
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula tangawizi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kitunguu maji
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya zakula maboga. Utajifunza virutubisho vinavyopatikana kwenye maboga.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za asali mwilini
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kitunguu ssaumu - garlic
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kunywa chai. Hapa tunazungumzia chai yenye majani ya chai
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza faidaza kiafya za kula njegere
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula spinach
Soma Zaidi...