Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula zaituni
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya za kula tunda tufaha - apple
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza faida za kiafya za kula tunda la chungwa na chenza.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vitamini A, chanzo chake, upungufu wake na faida zinazopatikana kwenye mwili kutokana na vitamini A
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu faida za kiafya za lula kungumanga
Soma Zaidi...Kkatika somo hil utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza namna ambavyo matembele yanaweza kuboresha afya ya mwili wako.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza faida za kiafya za kula karoti
Soma Zaidi...Katia post hii utakwend akujifunza namna ambavyo tunaweza kufaidika kwa kula mbegu za mafenesi mwilini. Fenesi ama jackfruit ni moja katika matunda yanayopatikana katika maeneo ya kitropic.
Soma Zaidi...