Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hiliutakwenda kujifunza faida za kiafya za kula karoti
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kunde
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya z akula mboga ya mronge. Pia tutaangalia kwa namna gani mboga ya mronge inasaidia afya.
Soma Zaidi...katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vitamini K, kazi zake mwilini, athari za upungufu wake, na vyakula vyenye vitamini K kwa wingi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz afaida za kiafya za kula supu ya kuku.
Soma Zaidi...Kkatika somo hil utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...