Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kjifunza faida za kiafya za kula njugumawe
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vitmini C, kazi zake mwilini, na vyakula vya vitamini C.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwedna kujifunz afaida z akiafya zinzopatikana kwneye supu ya pweza.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kunywa chai. Hapa tunazungumzia chai yenye majani ya chai
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula tunda embe
Soma Zaidi...