Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Mbegu za papai zina faida nyingi za kiafya ambazo zinaweza kuboresha afya yako kwa njia nyingi. Kutoka kuboresha mmeng'enyo wa chakula hadi kupambana na saratani, mbegu hizi ni chanzo kikubwa cha virutubisho na viambata vya asili
Soma Zaidi...Somo letu la leo litazungumzia njia sahihi za kupika mboga ili zisipoteze virutubisho vyake muhimu. Tutajifunza makosa yanayofanywa na watu wengi wakati wa kupika, namna ya kuyaepuka, na mbinu bora za kuhifadhi ubora wa mboga hadi mezani.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz afaida za kiafya za kula supu ya kuku.
Soma Zaidi...Kkatika somo hil utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza ni kwa namna gani rangi ya matunda ama mboga inaweza kueleza ni virutubisho gani hupatikana humo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza faida za kiafya za kula mbaazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...