Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula viazi vitamu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mboga inayotokana na mihogo inayoitwa kisamvu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula stafeli
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula tikiti
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza ni kwa namna gani rangi ya matunda ama mboga inaweza kueleza ni virutubisho gani hupatikana humo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vitmini C, kazi zake mwilini, na vyakula vya vitamini C.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...