Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula magimbi. Magimbi ni vyakula aina ya mihogo na viazi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vitamini E, kazi zake mwilini, vyakula vyenye vitamini E pamoja na madhara ya kutokuwa na vitamini E vya kutosha mwilini
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kunywa chai. Hapa tunazungumzia chai yenye majani ya chai
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vitamini A, chanzo chake, upungufu wake na faida zinazopatikana kwenye mwili kutokana na vitamini A
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya za kula tunda tufaha - apple
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kunde
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula stafeli
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza faida z akiafya za kula dagaa.
Soma Zaidi...Somo letu la leo litazungumzia kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu, ambacho ni chakula cha asili kinachopatikana kwa urahisi katika maeneo mengi ya Afrika Mashariki. Tutajadili virutubisho vilivyomo kwenye kisamvu, namna kinavyosaidia mwili, na jinsi bora ya kukitayarisha ili kupata faida zote za kiafya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kitunguu ssaumu - garlic
Soma Zaidi...