Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.
Wanga ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fati na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati au nguvu. Wanga ni aina ya sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini, athari zinazoweza kutokea ni:
Kwa ujumla, wanga ni sehemu muhimu ya lishe bora na inapaswa kujumuishwa katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa ili kuhakikisha mwili unapata nishati ya kutosha na kuweza kufanya kazi zake vyema.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwedna kujifunz afaida z akiafya zinzopatikana kwneye supu ya pweza.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kutumia ndimu na limao
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula stafeli
Soma Zaidi...Katia post hii utakwend akujifunza namna ambavyo tunaweza kufaidika kwa kula mbegu za mafenesi mwilini. Fenesi ama jackfruit ni moja katika matunda yanayopatikana katika maeneo ya kitropic.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula zaituni
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula viazi vitamu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza faida z akiafya za kula dagaa.
Soma Zaidi...