SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database...
Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla....
Soma MakalaKatika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form....
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya......
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia...
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable...
Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP...
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo...
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa...
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column...
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML...
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html...
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi...
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html...
Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML...
Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza......
Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.