Je! inajuzu wanawake kuzuru makaburi?

As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, nauliza inajuzu wanawake kuzuru makaburi?

Je! inajuzu wanawake kuzuru makaburi?

As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, nauliza inajuzu wanawake kuzuru makaburi?



Namba ya swali 005

Waalykum salaam warahmatullah wabarakaatuh . Ndio inajuzu kwa mwanamke kuzuru makaburi



Namba ya swali 005

Shukran, Je unaweza nielekeza Dua ya kuzuru makaburu?



Namba ya swali 005

Dua ya kuzuru Makaburi

Dua ya kuzuru kaburi ู„ุณู‘ูŽู„ุงู…ู ุนูŽู„ูŽู€ูŠู’ูƒูู…ู’ ุฃูŽู‡ู’ู„ูŽ ุงู„ุฏู‘ููŠุงุฑู ู…ูู†ูŽ ุงู„ู…ุคู’ู…ูู†ูŠู€ู†ูŽ ูˆูŽุงู„ู’ู…ูุณู’ู„ูู…ูŠู†ูŽุŒ ูˆูŽุฅูู†ู‘ุง ุฅูู†ู’ ุดุงุกูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุจููƒูู€ู…ู’ ู„ุงุญูู‚ูู€ูˆู†ูŽุŒ (ูˆูŽูŠูŽุฑู’ุญูŽู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ู’ู…ูุณู’ุชูŽู‚ู’ุฏูู…ููŠู†ูŽ ู…ูู†ู‘ูŽุง ูˆูŽุงู„ู’ู…ูุณู’ุชูŽุฃู’ุฎูุฑููŠู†ูŽ) ุฃูŽุณู’ู€ุงูŽู„ู ุงู„ู„ู‡ูŽ ู„ูŽู†ูŽู€ุง ูˆูŽู„ูŽูƒูู€ู…ู’ ุงู„ุนูŽู€ุงูููŠูŽุฉูŽ.

Assalaamu โ€™alaykum ahlad-diyaar minal Mu-uminiyna wal Muslimiyn, wainnaa In Shaa Allaahu bikum laahiquwn. (Wa yarhamu-Allaahu al-mustaqdimiyna minnaa wal musta-akhiriyna). As-alu-Allaaha lanaa walakumul-โ€™aafiyah

Amani ishuke juu yenu watu wa nyumba za Waumini na Waislamu, nasi apendapo Allaah tutakutana nanyi (Na Allaah Awarehemu wa mwanzo na wa mwisho). Namuomba Allaah Atupe sisi nanyi Al-โ€™Aafiyah al-hidaayah.com



Namba ya swali 005

Shukran



Namba ya swali 005

Karibu tena. Pia kwa utaratibu mzima tafadhali boya hapa



Namba ya swali 005
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 1004

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰3 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

KUKUSANYIKA KATIKA DUA

KUKUSANYIKA KATIKA DUA.

Soma Zaidi...
Dua za kuomba wakati unapokuwa na hasira ama ukiwa umekasirika

Post hii itakueleza ni dua gani unatakiwa uzisome wakati unapokiwa na hasira ama pale unapokasirika.

Soma Zaidi...
DUA YA MUUMINI NA DUA YA KAFIRI

DUA YA KAFIRI NA DUA YA MUUMINI.

Soma Zaidi...
Muangalie aliye chini yako na usimuangalie aliye juu

Katika hadithi hii utakwenda kujifunza hekma ya kuangalia watu walio chini yako na sio walio juu yako

Soma Zaidi...
KAMA HUNA HAYA BASI FAJA UNACHOTAKA

ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ู…ูŽุณู’ุนููˆุฏู ุนูู‚ู’ุจูŽุฉูŽ ุจู’ู†ู ุนูŽู…ู’ุฑููˆ ุงู„ู’ุฃูŽู†ู’ุตูŽุงุฑููŠูู‘ ุงู„ู’ุจูŽุฏู’ุฑููŠูู‘ ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ู ู‚ูŽุงู„ูŽ: ู‚ูŽุงู„ูŽ ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„?...

Soma Zaidi...