Je! inajuzu wanawake kuzuru makaburi?

As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, nauliza inajuzu wanawake kuzuru makaburi?

Je! inajuzu wanawake kuzuru makaburi?

As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, nauliza inajuzu wanawake kuzuru makaburi?



Namba ya swali 005

Waalykum salaam warahmatullah wabarakaatuh . Ndio inajuzu kwa mwanamke kuzuru makaburi



Namba ya swali 005

Shukran, Je unaweza nielekeza Dua ya kuzuru makaburu?



Namba ya swali 005

Dua ya kuzuru Makaburi

Dua ya kuzuru kaburi ู„ุณู‘ูŽู„ุงู…ู ุนูŽู„ูŽู€ูŠู’ูƒูู…ู’ ุฃูŽู‡ู’ู„ูŽ ุงู„ุฏู‘ููŠุงุฑู ู…ูู†ูŽ ุงู„ู…ุคู’ู…ูู†ูŠู€ู†ูŽ ูˆูŽุงู„ู’ู…ูุณู’ู„ูู…ูŠู†ูŽุŒ ูˆูŽุฅูู†ู‘ุง ุฅูู†ู’ ุดุงุกูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุจููƒูู€ู…ู’ ู„ุงุญูู‚ูู€ูˆู†ูŽุŒ (ูˆูŽูŠูŽุฑู’ุญูŽู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ู’ู…ูุณู’ุชูŽู‚ู’ุฏูู…ููŠู†ูŽ ู…ูู†ู‘ูŽุง ูˆูŽุงู„ู’ู…ูุณู’ุชูŽุฃู’ุฎูุฑููŠู†ูŽ) ุฃูŽุณู’ู€ุงูŽู„ู ุงู„ู„ู‡ูŽ ู„ูŽู†ูŽู€ุง ูˆูŽู„ูŽูƒูู€ู…ู’ ุงู„ุนูŽู€ุงูููŠูŽุฉูŽ.

Assalaamu โ€™alaykum ahlad-diyaar minal Mu-uminiyna wal Muslimiyn, wainnaa In Shaa Allaahu bikum laahiquwn. (Wa yarhamu-Allaahu al-mustaqdimiyna minnaa wal musta-akhiriyna). As-alu-Allaaha lanaa walakumul-โ€™aafiyah

Amani ishuke juu yenu watu wa nyumba za Waumini na Waislamu, nasi apendapo Allaah tutakutana nanyi (Na Allaah Awarehemu wa mwanzo na wa mwisho). Namuomba Allaah Atupe sisi nanyi Al-โ€™Aafiyah al-hidaayah.com



Namba ya swali 005

Shukran



Namba ya swali 005

Karibu tena. Pia kwa utaratibu mzima tafadhali boya hapa



Namba ya swali 005

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 1334

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰2 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰3 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰4 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Maana ya dua na fadhila zake

Dua ni moja ya Ibada ambazo tunatakiwa kuziganya kila siku. Kuna fadhila nyingi sana za kuomba dua. Post hiibitakwenda kukujuza fadhila za kuomba dua.

Soma Zaidi...
DUA na Adhkar kutoka kwenye quran

hii ni orodha ya dua mbalimbali kutoka kwenye quran. Unaweza kuzitumia dua hizi kujipendekeza kwa Allah na kupata msamaha, neema na mengineyo.

Soma Zaidi...
Hadithi inayokataza bidaa (bid's) uzushi katika dini

ุนูŽู†ู’ ุฃูู…ูู‘ ุงู„ู’ู…ูุคู’ู…ูู†ููŠู†ูŽ ุฃูู…ูู‘ ุนูŽุจู’ุฏู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุนูŽุงุฆูุดูŽุฉูŽ ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ูŽุงุŒ ู‚ูŽุงู„ูŽุชู’: ู‚ูŽุงู„ูŽ: ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆ ุณู„ู… "...

Soma Zaidi...
(ii)Hum cha Allah (s.w) kwa kutekeleza amri zake

Anapotajwa Mwenyezi Mungu au wanapokumbushwa juu ya maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu, nyoyo zao hunyenyekea na kufuata kama walivyokumbushwa.

Soma Zaidi...
Al-Arba-uwn An-Nawawiyyah hadithi ya 5: kujiepusha na uzushi katika dini

Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini

Soma Zaidi...
kuwa na ikhlas

Ikhlas ni kufanya kila jambo jema kwa ajili ya Allah (s.

Soma Zaidi...
DUA 85 - 93

SWALA YA MTUME 85.

Soma Zaidi...