Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama
TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, kwa Kiingereza ICT – Information and Communication Technology). Hii ni dhana inayojumuisha teknolojia zote zinazotumika kusimamia, kuhifadhi, kuchakata, na kusambaza habari kupitia vifaa vya kielektroniki na mifumo ya mawasiliano.
Kompyuta na Vifaa vya Kielektroniki:
Mifumo ya Mawasiliano:
Programu na Programu tumizi (Software):
Mitandao (Networks):
Data na Usimamizi wa Taarifa:
TEHAMA inatumika katika nyanja nyingi kama vile:
TEHAMA ni sehemu muhimu ya dunia ya sasa, inayochangia maendeleo katika nyanja zote za maisha, ikiwa ni pamoja na uchumi, jamii, na utamaduni.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Soma Zaidi...hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.
Soma Zaidi...Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
Soma Zaidi...Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani
Soma Zaidi...Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant
Soma Zaidi...Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App
Soma Zaidi...