Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama
TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, kwa Kiingereza ICT – Information and Communication Technology). Hii ni dhana inayojumuisha teknolojia zote zinazotumika kusimamia, kuhifadhi, kuchakata, na kusambaza habari kupitia vifaa vya kielektroniki na mifumo ya mawasiliano.
Kompyuta na Vifaa vya Kielektroniki:
Mifumo ya Mawasiliano:
Programu na Programu tumizi (Software):
Mitandao (Networks):
Data na Usimamizi wa Taarifa:
TEHAMA inatumika katika nyanja nyingi kama vile:
TEHAMA ni sehemu muhimu ya dunia ya sasa, inayochangia maendeleo katika nyanja zote za maisha, ikiwa ni pamoja na uchumi, jamii, na utamaduni.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo
Soma Zaidi...Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Soma Zaidi...Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani
Soma Zaidi...Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.
Soma Zaidi...Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App
Soma Zaidi...Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
Soma Zaidi...Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.
Soma Zaidi...