Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama
TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, kwa Kiingereza ICT – Information and Communication Technology). Hii ni dhana inayojumuisha teknolojia zote zinazotumika kusimamia, kuhifadhi, kuchakata, na kusambaza habari kupitia vifaa vya kielektroniki na mifumo ya mawasiliano.
Kompyuta na Vifaa vya Kielektroniki:
Mifumo ya Mawasiliano:
Programu na Programu tumizi (Software):
Mitandao (Networks):
Data na Usimamizi wa Taarifa:
TEHAMA inatumika katika nyanja nyingi kama vile:
TEHAMA ni sehemu muhimu ya dunia ya sasa, inayochangia maendeleo katika nyanja zote za maisha, ikiwa ni pamoja na uchumi, jamii, na utamaduni.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Soma Zaidi...Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.
Soma Zaidi...Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.
Soma Zaidi...hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.
Soma Zaidi...Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
Soma Zaidi...Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant
Soma Zaidi...Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani
Soma Zaidi...