image

Simulizi za Hadithi EP 4 Part 18: Binti wa pili mwimba mashahiri mwenye makovu

Mwendelezo wa hadithi kutoka kwenye kitabu cha kwanza cha hadithi za HALIF LELA U LELA......

HADITHI YA BINTI WA PILI MWIMBA MASHAIRI MWENYE MAKOVU.

 

basi juwa ewe mfalme wetu kuwa nilikuwa naishi na wazazi wangu na hatimaye wakanitoka na kuniwacha peke yangu. Niliachiwa mali za kunitosheleza kuishi kwa muda mrefu bila ya kuomba. Wate wengi walinisifi kwa uzuri nilio nao ijapokuwa nilihisi wananitania tuu siku nilipokuta na na Zubeidah kwa hakika alikuwa mzuri zaidi. Nili kaa pale nyumbani kwa muda mrefu niliwa peke yangu bila ya mume.

 

Sikumoja alikuja bib mmoja na kuniambia kuwa mjukuu wake anashuhuli na hakuna mtu wa kumsimamia shuhuli yake hivyo akanitaka niwe kama msimamizi wa mambo ya wananwake kwenye shuhulu hiyo. Basi niliongozana na bibi yule hata tukafika mwenye shuhuili ile na mambo yakaenda salama. Ilikuwa ni shuhuli ya kuwakumbuka walotanguluia kufa kama kawaida ya waislamau wanavyoifanya mjini pale. Basi shuhuli ilipokwisha yule bibi akaniita katika chumba cha ndani na bila ya kuwa na wasiwasi nikaenda. Kufika kule ndani nikakutana na kijana mmoja aliyekuwa mtanashati na katika mazungumzo akaniposa na mimi nikakubali. Kumbe lile ndo lilikuwa lengo la yule bibi toka mwanzo.

 

Basi maandalizi ya harusi yalifanyika na nikaolewa mwezi ulofata. Kwa hakika ndoa yetu ilikuwa ni njema na haina migigoro kwa muda wa miezi sita ya mwanzoi. Ama mimi sikuruhusiwa kutoka nje, hata sikuhiyo niikaomba ruhusa ya kuenda sikoni kununua mahitaji yangu binafsi na mume wangu akaniruhusu. Kule sokoni wakati narudi anilikutana na mlevi mmoja na tulipokuwa tunapishana akaning’ata kwenye shavu. Kumbe alikuwa ni mmtoto wa baba yangu mdogo ambaye nilimkatalia kunioa aliponiposa.

 

Wakati haya yote yanafanyika mume wangu alikuwa amejibanza na alikuwa anaona. Na pia alitambua pika kuwa yule alikuwa nai mtoto wa baba yangu mdogo. Na alidhani kuwa ni mzinifu mwenzangu nilipokuwa naishi peke yangu kumbe sivyo. Basi niliporudi nyumbani akaniuliza sababu ya kidonda kwenye shavu langu nikamjibu nimegongana na mkokoteni, basi akasema nitamtafuta huyo mwenye mkokoteni na nitamua, nikamwambia usimuue mtu asiye na hatia kwani ni ajali tu.

 

Basi akanikaba shingoni na kuniuliza kwa zaidi sababu ya kidonda kule na kunmbia anajua nimeng’atwa na mzuiinifu mwenzangu wa zamani basi akaamrisha nikakamatwa vizuri na na akaanza kinipiga fimbo za mijeledi mpkaka nikapoteza fahamu. Nilipozinduka akanifukuza na pale kwake na kufika nyumbani kikakuta nyumba yangu ameobomoa bomoa a nikakutana na Zubeidah kwa mara nyingine na kukubaliana kuishi pamoja. Niliendelea kuuguza vidonda vyangu hata nikapona na kubakia makovu ndio uloyaona. Hii ndia hadithi yangu ewe mfalme.

 

Basi mfalme akamgeukia Sadie na kumwambia azungumze hadithi yake na kusema kuwa yeye alikuwa ni mtoto yatima ombaomba ambaye alikutana na Zubeidah na kumkirimu kama dada yake na nikamkuta min anaishi nae pia, hatukuwahi kuzungumza hadithizetu kama hivi. Hivyo hii ndio hadithi yangu ewe mtukufu muadilifu mfalme wa Baghdad; harun Rashid.

 

Baada ya kusikiliza hadithi za mabinti hawa, Mfalme nae akaamua kufungua mdomo wake kwa kuwauliza maswali “hivi mnafikiri kuwa kila mtu ana hadithi za kusisimua katika yale yalowapata kwenye maisha?” Zubeidah akajibu “naam kwa hakika ana kila mmoja hadithi ya kusisimua katika maisha yake, aaanhaa nadiriki kusema hata wewe Mfalme unayo yako ijapo hatuwezi kukwambia utueleze”. Mfalme alimuangalia sana Zubeidah kisha akasema “naam hata mimi na waziri wangu tuna hadithi yetu, na leo nitaisimulia kwenu hadithi ambayo katu hatujawahi lkuisimulia.” basi Mfalme nae akaanza kufungua mdomo kwa kusimulia hadithi yake.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Mankaa Tarehe 2024-09-10 09:07:13 Topic: Simulizi za Hadithi Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 27


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Simulizi za Hadithi EP 1 Part 1: Simulizi ya kiapo cha Sultan
Simulizi hii inatoka kwenye kitabu cha kwanza cha hadidhi za HALIF LELA U LELA. Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 15: Hadithi ya safari ya Sinbad
Hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza muendelezo.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 17: Ufupisho wa ALIFU LELA U LELA KITABU CHA KWANZA
Huu ni ufupisho mfupi kuhusiana na kitabu cha kwanza cha hadithi za HALIF LELA U LELA... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 7 Part 1: Aladini na taa ya mshumaa wa ajabu
Hii ni simulizi iliyopo ndani ya kitabu cha pili cha hadithi za HALIF LELA U LELA...... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 6 Part 9: Hadithi ya deni la mapenzi
Muendelezo wa hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha pili.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 4  Part 13: Simulizi ya nyani kibadilika kuwa chongo
Mwendelezo wa hadithi zetu nzuri na za kusisimua kutoka katika kitabu cha kwanza cha hadithi za HALIF LELA U LELA..... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP7  Part 17: Jaribio la tatu kwa Aladini
Muendelezo.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 3 Part 5: Simulizi ya samaki wa ajabu
Simulizii hii inapatikana kwenye hadhithi za HALIF LELA U LELA katika kitabu cha kwanza.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 8 Part 2: Siri ya kifo
Simulizi hii pia inapatikana kwenye kitabu cha pili cha hadithi za HALIF LELA U LELA... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 3: Uokozi kwenye kisiwa
Hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza...... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 11: Hadithi ya kisiwa cha mawe yanayolia
Muendelezo wa hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 6 Part 18: Hadithi ya fundi cherehani
Hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha pili..... Soma Zaidi...