Navigation Menu



Zijue kazi za madini ya chuma mwilini

Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.

1. Madini ya chuma usaidia kusafilisha gasi ya oxygeni kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kwenda sehemu nyingine za mwili ambapo oxgeni inahitajika.

 

2. Madini ya chuma usaidia katika kazi za haemoglobini ambayo ubeba gasi ya oxygeni kutoka kwenye mapafu kwenda sehemu mbalimbali za mwili na pia haemoglobini hiyo ubeba carbon dioxide kutoka kutoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili mpaka kwenye mapafu kwa ajili ya kutafuta oxgeni kwa hiyo kazi ya kusafilisha hizi gasi mbili usaidia na madini ya chuma.

 

3. Madini ya chuma usaidia kusafilisha damu ya oxgeni kwenye misuli ambapo kitendo hiki kwa kitaalamu huitwa myoglobin ambayo ni sehemu ya protein kwenye misuli,kwa hiyo myoglobini asili yake ni protini ambayo inaweza kusafilisha gasi ya oksijeni kwenye misuli, hii kazi usaidiwa na madini ya chuma.

 

4. Madini ya chuma yanasaidia katika upumuaji kwa sababu ya kuwepo kwa cytochrome ambayo ni sehemu ya madini ya chuma, cytochrome usaidia katika kusafirisha hewa wakati wa kupumua, kwa sababu cytochrome imetengenezwa na madini ya chuma, ndo maana tunaaweza kusema kuwa madini ya chuma usaidia katika upumuaji.

 

5. Madini ya chuma usaidia katika kuzalisha protini hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa baadhi ya vitu ambavyo vimetengenezwa kwa madini ya chuma ambayo usaidia kutengeneza protein kwa kitaalamu huitwa xanthine oxidase - enzyme ambayo ni sehemu ya madini ya chuma.

 

6.Madini ya chuma ni sehemu ya enzyme, tunajua kuwa enzyme ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, kwa hiyo madini ya chuma ni sehemu ya enzyme ambazo kwa kitaalamu huitwa peroxide, catalase na enzyme nyingine nyingi ambazo ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.

 

7.Madini ya chuma usaidia katika kuzalisha homoni ambazo utumika kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama vile kuhakikisha kiwango Cha sukari kipo sawa kwenye mwili, kutengeneza protini kwenye mwili, kukua na kuzaliana na kazi zote mwilini ambazo utengenezwa na homoni.

 

Wapi tunaaweza kupata madini ya chuma?

1. Madini ya chuma tunaaweza kuyapata katika sehemu mbalimbali kama vile nyama, samaki, vyakula kama vile njegere, maharage,soya beans, njugu Mawe na vyakula vyote ambavyo ni jamii ya kuunde hivi vyote tunaviita kwa kitaalamu heme - iron .Kuna vyakula vingine ambavyo tunaviita non- heme iron kama vile vyakula vinavyopatikans kwenye mboga za majani, mayai na maziwa.

 

Nini madhara ya kukosa madini ya chuma mwilini.

1. Madini ya chuma yakikosa mwilini mtu anaweza kupata upungufu wa damu mwilini ambapo kwa kitaalamu huitwa Anaemia, ambayo upelekea mwili kuchoka, kizunguzungu, kichwa kuuma na mwili una kiss kinga mwilini  kwa hiyo unaweza kupata magonjwa nyemelezi .

 

2. Madini ya chuma yakikosa mwilini mtu anaweza kupata ugonjwa wa kuvimba matezi ambao kwa kitaamu huitwa goitre yaani ni kuvimba kwenye shingo ambapo ugonjwa huu usababisha madhara makubwa kwa watu wengi, kwa hiyo tunapaswa kula vyakula vyenye wingi wa madini ya chuma usaidia sana katika shughuli mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.

 

 

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 3455


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...

Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate. Soma Zaidi...

JITIBU KWA TANGAIZI: faida za kiafya za tangaizi
Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China. Soma Zaidi...

Dalili za ukosefu wa madini ya iodini (goiter)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j Soma Zaidi...

Vyakula vya wanga na faida zake
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula karanga
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Mbegu za mronge
Soma Zaidi...

Faida za kula Ukwaju
Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako Soma Zaidi...

Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi
Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga. Soma Zaidi...

Vyakula salama kwa mwenye kisukari
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari Soma Zaidi...