Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,

Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake.

1.vyakula vya wanga.

Ni Aina mojawapo ya vyakula ambayo kazi yake kuu ni kuongeza nguvu kwenye mwili,maana mwili bila vyakula vyenye wanga ni matatizo makubwa yanayoweza kujitokeza, vyakula vya ni Kama vile,  mihogo, mahindi, viazi vitamu na viazi vikuu, maharage , mahindi na vyakula vingine vingi.

 

Ukosefu wa vyakula vya wanga mtu anaweza kupata magonjwa yafuatayo kama vile mwili kukosa nguvu, kukosa mafuta kwenye ngozi ya juu, misuli kulegea, kukonda na kukosa nguvu mwilini kwa hiyo ni muhimu kula sana vyakula vya wanga Ili kupata mwili nguvu.

 

3. Vyakula vya mafuta.

Hivi ni vyakula ambavyo utumika kuongezeka nguvu kwenye mwili ikiwa kiasi Cha wanga ni kidogo kwa hiyo mtu akikosa wanga anaanza kutumia vyakula vya mafuta na pia vyakula vya mafuta usaidia kuongeza nguvu kwenye mwili.na pia vyakula vya mafuta usaidia kusafirisha vitamini D, vitamini A, vitamini E, na Vitamini K kwenye mwili.

 

Vyakula vya mafuta upatikana kwenye wanyama kama vile mafuta ya ngombe na kwenye mimea kama vile mafuta kutoka kwenye alizeti, pamba na mimea mwingine mingi ambayo utoa mafuta.ukosefu wa mafuta mtu anaweza kuwa na kinga mibaya kwenye mwili na mwili kuwa na makovu pengine nywele kuisha kwenye kichwa kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vyenye mafuta Ila kwa kiwango kidogo ukiulinganisha na vyakula vingine.

 

5. Vyakula vya protein

hivi ni vyakula ambavyo ufanya kazi kubwa mwilini kama vile, kusaidia katika makuzi hasa kwa watoto wadogo na pia kusaidia kuponyesha kwa viungo vilivyoharibika na pia usaidia kutengeneza enzyme, homoni, na pia ni asili ya nguvu kwenye mwili.

 

proteini upatikana kwenye wanyama kama vile nyama, maini , maziwa na cheese na pia Kuna wadudu kama vile senene na kumbikumbi nao pia usababisha kuongezeka kwa protini mwilini.ukosefu wa protein usababisha kudumaa hasa kwa watoto na kinga kuwa ndogo kwenye mwili na pia kuvimba miguu na sehemu nyingine za mwili ambapo kwa kitaalamu huitwa (oedema).

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2737

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula nyama

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama

Soma Zaidi...
Kazi za vitamini B na vyakula vya vitamini B

Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kwa ujumla wake.

Soma Zaidi...
Fahamau protini na kazi zake, vyakula vya protini, na athari za upungufu wake.

unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo

Soma Zaidi...
Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
AINA KUU ZA VYAKULA: vyakula vya protini, wanga, fat na mafuta, vitamini, madini na maji

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...