Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini.
1.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kiwango kikubwa Cha damu mwilini, tunajua kuwa madini ya Shaba usaidia kutengeneza chembechembe za damu kwa hiyo upungufu wa madini ya Shaba ufanya damu kupungua mwilini.
2.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa nguvu ya mifupa kwenye mwili,kwa sababu tunajua kuwa kazi ya madini ya Shaba mwilini ni kuimarisha mifupa,kwa hiyo Ukosefu wa madini ya Shaba usababisha mifupa kulegea na maumivu ya mgongo na kiuno uongezeka.
3.Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kinga mwilini, kwa maana pasipokuwa na madini ya Shaba mwilini kunakuwepo na Maambukizi mbalimbali kwenye mwili kwa sababu kinga ya mwili upungua.
4.Upungufu wa Madini ya Shaba mwilini usababisha matatizo mbalimbali kwenye ubongo, moyo na nerve kwa sababu madini ya Shaba ya nakuwepo kwa kiwango kikubwa kwenye moyo, nerve na ubongo, tunajua kazi kubwa za hizi ogani ni kubwa mno.
5.Upungufu wa Madini ya Shaba usababisha maambukizi kwenye ngozi maana ulinzi wa maambukizi kwenye ngozi utegemea na madini ya Shaba,
Kwa hiyo madini ya Shaba mwilini yanapaswa kuwa sawia Ili kuleta ufanisi mkubwa katika shughuli mbalimbali za mwili.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...