Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini


image


Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.


Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini.

1.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kiwango kikubwa Cha damu mwilini, tunajua kuwa madini ya Shaba usaidia kutengeneza chembechembe za damu kwa hiyo upungufu wa madini ya Shaba ufanya damu kupungua mwilini.

 

2.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa nguvu ya mifupa kwenye mwili,kwa sababu tunajua kuwa kazi ya madini ya Shaba mwilini ni kuimarisha mifupa,kwa hiyo Ukosefu wa madini ya Shaba usababisha mifupa kulegea na maumivu ya mgongo na kiuno uongezeka.

 

3.Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kinga mwilini, kwa maana pasipokuwa na madini ya Shaba mwilini kunakuwepo na Maambukizi mbalimbali kwenye mwili kwa sababu kinga ya mwili upungua.

 

4.Upungufu wa Madini ya Shaba mwilini usababisha matatizo mbalimbali kwenye ubongo, moyo na nerve kwa sababu madini ya Shaba ya nakuwepo kwa kiwango kikubwa kwenye moyo, nerve na ubongo, tunajua kazi kubwa za hizi ogani ni kubwa mno.

 

5.Upungufu wa Madini ya Shaba usababisha maambukizi kwenye ngozi maana ulinzi wa maambukizi kwenye ngozi utegemea na madini ya Shaba, 

 

Kwa hiyo madini ya Shaba mwilini yanapaswa kuwa sawia Ili kuleta ufanisi mkubwa katika shughuli mbalimbali za mwili.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji. Soma Zaidi...

image Ajali ya jicho
Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho Soma Zaidi...

image Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda. Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya ini.
posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphragm yako na juu ya tumbo lako. Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula karanga
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga Soma Zaidi...

image Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani. Soma Zaidi...

image Uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga manii nje.
Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba. Soma Zaidi...

image Huduma kwa wanaotoa damu yenye mabonge
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

image Madhara ya fangasi ukeni.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema. Soma Zaidi...

image Fahamu Ugonjwa wa hepatitis C
Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini uonekane. Soma Zaidi...