Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini

Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.

Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini.

1.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kiwango kikubwa Cha damu mwilini, tunajua kuwa madini ya Shaba usaidia kutengeneza chembechembe za damu kwa hiyo upungufu wa madini ya Shaba ufanya damu kupungua mwilini.

 

2.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa nguvu ya mifupa kwenye mwili,kwa sababu tunajua kuwa kazi ya madini ya Shaba mwilini ni kuimarisha mifupa,kwa hiyo Ukosefu wa madini ya Shaba usababisha mifupa kulegea na maumivu ya mgongo na kiuno uongezeka.

 

3.Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kinga mwilini, kwa maana pasipokuwa na madini ya Shaba mwilini kunakuwepo na Maambukizi mbalimbali kwenye mwili kwa sababu kinga ya mwili upungua.

 

4.Upungufu wa Madini ya Shaba mwilini usababisha matatizo mbalimbali kwenye ubongo, moyo na nerve kwa sababu madini ya Shaba ya nakuwepo kwa kiwango kikubwa kwenye moyo, nerve na ubongo, tunajua kazi kubwa za hizi ogani ni kubwa mno.

 

5.Upungufu wa Madini ya Shaba usababisha maambukizi kwenye ngozi maana ulinzi wa maambukizi kwenye ngozi utegemea na madini ya Shaba, 

 

Kwa hiyo madini ya Shaba mwilini yanapaswa kuwa sawia Ili kuleta ufanisi mkubwa katika shughuli mbalimbali za mwili.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1375

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 web hosting    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Faida za kula limao

Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo

Soma Zaidi...
Fahamau protini na kazi zake, vyakula vya protini, na athari za upungufu wake.

unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo

Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula korosho

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili

Soma Zaidi...
Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa maziwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa

Soma Zaidi...
FAIDA ZA VITAMINI C NA UMUHIMU WA VITAMINI C MWILINI

Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C

Soma Zaidi...