Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.

Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo.

1.Mwenye matatizo ya uti wa mgongo wanapaswa kutumia vyakula vyenye magnesium Ili kufyonza calsiumu ambayo utokea kwenye mifupa, calcium kwenye mifupa ni nzuri Ila ikiwa nyingi usababisha maumivu makali kwenye uti wa mgongo,kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa magnesium ambavyo ni mboga za majani, matunda nyama, maziwa hivi vyakula vinapunguza makali ya calcium kwenye mifupa.

 

2. Mgonjwa mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa  vitamin D ambavyo vinaweza kufyonza calsiumu kwenye mwili na kufanya mifupa iweze kutanuka vizuri bila shida vyakula vyenyewe ni kama vile samaki, mayai, nyama hasa main,maziwa na cheese hivi vyakula vyote vina wingi wa vitamin D ambavyo vina uwezo wa kufyonza calcium kwenye mifupa.

 

3. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E vyakula hivi vina kazi ya  kulegeza mifupa kama inakuwa imebana na kusababisha maumivu kwenye uti wa mgongo, kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E kama vile  mboga mboga za majani, maharage,njugu Mawe na kunde usababisha faida kubwa kwenye mwili na kusababisha mifupa kulegea na kuwa kawaida na mifupa ulegea na maumivu kwenye uti wa mgongo upungua.

 

4. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin C maana vyakula vyenye wingi wa vitamin C upunguza  maambukizi kwenye uti wa mgongo,kama Kuna maambukizi yoyote utoka na na maumivu upungua kwenye uti wa mgongo, vyakula vyenyewe ni kama ifuatavyo kama vile matunda,mboga za majani, ndizi, madini, maziwa, viazi, mahindi ambayo hatyajakomaa, na vyakula vyote vya mbegumbegu usaidia kupunguza maambukizi kwenye mifupa.

 

5. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia sana vyakula vyenye protini kwa wingi Ili kuweza kujenga upya mifupa iliyohsribika au iliyokosa nguvu, tunajua kuwa kazi za protini kwenye mwili ni kujenga upya mifupa na vitu vilivyoharibika kwenye mwilini , vyakula vya protein ni kama vile  nyama , mayai na baadhi ya wadudu kama vile senene na kumbikumbi wanakuwa na protini nyingi kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein  mifupa uweza kuimarika kwa kiwango fulani, kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein kwa wingi.

 

6. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia mafuta ya lotion yanayokutwa ( hot lotion ) mafuta haya yana Tabia ya kuondoa maumivu makali kwenye uti wa mgongo na hasa mwilini  na pia kutumia sana mafuta Aina ya Aloevero nayo pia upunguza mafuta mwilini, kwa kufanya hivyo maumivu yanaweza kuisha kwenye mwili baada ya kutumia mafuta ya Aina hii.

 

7, pamoja na kutumia vyakula mbalimbali mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kuacha mawazo mengi hii usababisha kupunguza madini mwilini kwa hiyo stress uharibu afya ya mtu kwa hiyo amani ni kitu Cha muhimu kwa wenye matatizo ya uti wa mgongo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 4124

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 web hosting    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Faida za limao au ndimu

Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya

Soma Zaidi...
Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe

Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.

Soma Zaidi...
Kazi kuu tatu za vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...
Faida za pilipili

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za pilipili

Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA NA MBOGA MBALIMBALI KWA AFYA

FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya.

Soma Zaidi...
Faida za juice ya tende.

Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal

Soma Zaidi...
Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...