Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo.
1.Mwenye matatizo ya uti wa mgongo wanapaswa kutumia vyakula vyenye magnesium Ili kufyonza calsiumu ambayo utokea kwenye mifupa, calcium kwenye mifupa ni nzuri Ila ikiwa nyingi usababisha maumivu makali kwenye uti wa mgongo,kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa magnesium ambavyo ni mboga za majani, matunda nyama, maziwa hivi vyakula vinapunguza makali ya calcium kwenye mifupa.
2. Mgonjwa mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin D ambavyo vinaweza kufyonza calsiumu kwenye mwili na kufanya mifupa iweze kutanuka vizuri bila shida vyakula vyenyewe ni kama vile samaki, mayai, nyama hasa main,maziwa na cheese hivi vyakula vyote vina wingi wa vitamin D ambavyo vina uwezo wa kufyonza calcium kwenye mifupa.
3. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E vyakula hivi vina kazi ya kulegeza mifupa kama inakuwa imebana na kusababisha maumivu kwenye uti wa mgongo, kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E kama vile mboga mboga za majani, maharage,njugu Mawe na kunde usababisha faida kubwa kwenye mwili na kusababisha mifupa kulegea na kuwa kawaida na mifupa ulegea na maumivu kwenye uti wa mgongo upungua.
4. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin C maana vyakula vyenye wingi wa vitamin C upunguza maambukizi kwenye uti wa mgongo,kama Kuna maambukizi yoyote utoka na na maumivu upungua kwenye uti wa mgongo, vyakula vyenyewe ni kama ifuatavyo kama vile matunda,mboga za majani, ndizi, madini, maziwa, viazi, mahindi ambayo hatyajakomaa, na vyakula vyote vya mbegumbegu usaidia kupunguza maambukizi kwenye mifupa.
5. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia sana vyakula vyenye protini kwa wingi Ili kuweza kujenga upya mifupa iliyohsribika au iliyokosa nguvu, tunajua kuwa kazi za protini kwenye mwili ni kujenga upya mifupa na vitu vilivyoharibika kwenye mwilini , vyakula vya protein ni kama vile nyama , mayai na baadhi ya wadudu kama vile senene na kumbikumbi wanakuwa na protini nyingi kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein mifupa uweza kuimarika kwa kiwango fulani, kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein kwa wingi.
6. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia mafuta ya lotion yanayokutwa ( hot lotion ) mafuta haya yana Tabia ya kuondoa maumivu makali kwenye uti wa mgongo na hasa mwilini na pia kutumia sana mafuta Aina ya Aloevero nayo pia upunguza mafuta mwilini, kwa kufanya hivyo maumivu yanaweza kuisha kwenye mwili baada ya kutumia mafuta ya Aina hii.
7, pamoja na kutumia vyakula mbalimbali mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kuacha mawazo mengi hii usababisha kupunguza madini mwilini kwa hiyo stress uharibu afya ya mtu kwa hiyo amani ni kitu Cha muhimu kwa wenye matatizo ya uti wa mgongo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...