Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.

Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo.

1.Mwenye matatizo ya uti wa mgongo wanapaswa kutumia vyakula vyenye magnesium Ili kufyonza calsiumu ambayo utokea kwenye mifupa, calcium kwenye mifupa ni nzuri Ila ikiwa nyingi usababisha maumivu makali kwenye uti wa mgongo,kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa magnesium ambavyo ni mboga za majani, matunda nyama, maziwa hivi vyakula vinapunguza makali ya calcium kwenye mifupa.

 

2. Mgonjwa mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa  vitamin D ambavyo vinaweza kufyonza calsiumu kwenye mwili na kufanya mifupa iweze kutanuka vizuri bila shida vyakula vyenyewe ni kama vile samaki, mayai, nyama hasa main,maziwa na cheese hivi vyakula vyote vina wingi wa vitamin D ambavyo vina uwezo wa kufyonza calcium kwenye mifupa.

 

3. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E vyakula hivi vina kazi ya  kulegeza mifupa kama inakuwa imebana na kusababisha maumivu kwenye uti wa mgongo, kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E kama vile  mboga mboga za majani, maharage,njugu Mawe na kunde usababisha faida kubwa kwenye mwili na kusababisha mifupa kulegea na kuwa kawaida na mifupa ulegea na maumivu kwenye uti wa mgongo upungua.

 

4. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin C maana vyakula vyenye wingi wa vitamin C upunguza  maambukizi kwenye uti wa mgongo,kama Kuna maambukizi yoyote utoka na na maumivu upungua kwenye uti wa mgongo, vyakula vyenyewe ni kama ifuatavyo kama vile matunda,mboga za majani, ndizi, madini, maziwa, viazi, mahindi ambayo hatyajakomaa, na vyakula vyote vya mbegumbegu usaidia kupunguza maambukizi kwenye mifupa.

 

5. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia sana vyakula vyenye protini kwa wingi Ili kuweza kujenga upya mifupa iliyohsribika au iliyokosa nguvu, tunajua kuwa kazi za protini kwenye mwili ni kujenga upya mifupa na vitu vilivyoharibika kwenye mwilini , vyakula vya protein ni kama vile  nyama , mayai na baadhi ya wadudu kama vile senene na kumbikumbi wanakuwa na protini nyingi kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein  mifupa uweza kuimarika kwa kiwango fulani, kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein kwa wingi.

 

6. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia mafuta ya lotion yanayokutwa ( hot lotion ) mafuta haya yana Tabia ya kuondoa maumivu makali kwenye uti wa mgongo na hasa mwilini  na pia kutumia sana mafuta Aina ya Aloevero nayo pia upunguza mafuta mwilini, kwa kufanya hivyo maumivu yanaweza kuisha kwenye mwili baada ya kutumia mafuta ya Aina hii.

 

7, pamoja na kutumia vyakula mbalimbali mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kuacha mawazo mengi hii usababisha kupunguza madini mwilini kwa hiyo stress uharibu afya ya mtu kwa hiyo amani ni kitu Cha muhimu kwa wenye matatizo ya uti wa mgongo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 4129

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Tango (cucumber)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa afya ya moyo

Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.

Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA VITAMINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
FAIDA ZA MAJI MWILINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...