Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo.
1.Mwenye matatizo ya uti wa mgongo wanapaswa kutumia vyakula vyenye magnesium Ili kufyonza calsiumu ambayo utokea kwenye mifupa, calcium kwenye mifupa ni nzuri Ila ikiwa nyingi usababisha maumivu makali kwenye uti wa mgongo,kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa magnesium ambavyo ni mboga za majani, matunda nyama, maziwa hivi vyakula vinapunguza makali ya calcium kwenye mifupa.
2. Mgonjwa mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin D ambavyo vinaweza kufyonza calsiumu kwenye mwili na kufanya mifupa iweze kutanuka vizuri bila shida vyakula vyenyewe ni kama vile samaki, mayai, nyama hasa main,maziwa na cheese hivi vyakula vyote vina wingi wa vitamin D ambavyo vina uwezo wa kufyonza calcium kwenye mifupa.
3. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E vyakula hivi vina kazi ya kulegeza mifupa kama inakuwa imebana na kusababisha maumivu kwenye uti wa mgongo, kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin E kama vile mboga mboga za majani, maharage,njugu Mawe na kunde usababisha faida kubwa kwenye mwili na kusababisha mifupa kulegea na kuwa kawaida na mifupa ulegea na maumivu kwenye uti wa mgongo upungua.
4. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa vitamin C maana vyakula vyenye wingi wa vitamin C upunguza maambukizi kwenye uti wa mgongo,kama Kuna maambukizi yoyote utoka na na maumivu upungua kwenye uti wa mgongo, vyakula vyenyewe ni kama ifuatavyo kama vile matunda,mboga za majani, ndizi, madini, maziwa, viazi, mahindi ambayo hatyajakomaa, na vyakula vyote vya mbegumbegu usaidia kupunguza maambukizi kwenye mifupa.
5. Mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kutumia sana vyakula vyenye protini kwa wingi Ili kuweza kujenga upya mifupa iliyohsribika au iliyokosa nguvu, tunajua kuwa kazi za protini kwenye mwili ni kujenga upya mifupa na vitu vilivyoharibika kwenye mwilini , vyakula vya protein ni kama vile nyama , mayai na baadhi ya wadudu kama vile senene na kumbikumbi wanakuwa na protini nyingi kwa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein mifupa uweza kuimarika kwa kiwango fulani, kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vyenye wingi wa protein kwa wingi.
6. Mwenye tatizo la uti wa mgongo anapaswa kutumia mafuta ya lotion yanayokutwa ( hot lotion ) mafuta haya yana Tabia ya kuondoa maumivu makali kwenye uti wa mgongo na hasa mwilini na pia kutumia sana mafuta Aina ya Aloevero nayo pia upunguza mafuta mwilini, kwa kufanya hivyo maumivu yanaweza kuisha kwenye mwili baada ya kutumia mafuta ya Aina hii.
7, pamoja na kutumia vyakula mbalimbali mwenye matatizo ya uti wa mgongo anapaswa kuacha mawazo mengi hii usababisha kupunguza madini mwilini kwa hiyo stress uharibu afya ya mtu kwa hiyo amani ni kitu Cha muhimu kwa wenye matatizo ya uti wa mgongo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download Nowzijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni
Soma Zaidi...vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...