Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Zifuatazo Ni Faida za kula papai katika mwili wa binadamu.
1.lina vitamini C; ambayo husaidia kuboresha na kulinda Kinga ya mwili.
2.lin vitamini A; ambayo husaidia afya ya macho, macho kuona vizuri bila shida.
3.kupunguza uvimbe ulio sababishwa na Magonjwa au jeraha
.
4.kuboresha mmeng'enyo wa chakula.
5.kuua na kuondoa mazalia ya minyoo tumboni.
6.husaidia kutibu au Kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo (ulcers) kwasababu ya ulaini wake huenda kulainisha michubuko au mikwaruzo iliyotokea Hadi kupelekea vidonda vya tumbo.
7.huboresha Uwezo wa kufikiria.
8.huborosha misuli na Neva mwilini.
9.kuboresha na kuimarisha Kinga ya mwili.
10.husaidia kulainisha choo (constipation)
Mwisho; papai Ni zuri endapo likitumiwa kwa Usafi lakini ukila papai kwa uchafu bila kuosha, bila kunawa mikono, nakuliandaa kwa Usafi hupelekea mtu kupata Tena matatizo Kama Kuhara,kutapika, kichefuchefu na tumbo kuuma.Hivyo basi hakikisha unaandaa papai kwa Usafi na usalama.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii
Soma Zaidi...Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C
Soma Zaidi...Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...