Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Zifuatazo Ni Faida za kula papai katika mwili wa binadamu.
1.lina vitamini C; ambayo husaidia kuboresha na kulinda Kinga ya mwili.
2.lin vitamini A; ambayo husaidia afya ya macho, macho kuona vizuri bila shida.
3.kupunguza uvimbe ulio sababishwa na Magonjwa au jeraha
.
4.kuboresha mmeng'enyo wa chakula.
5.kuua na kuondoa mazalia ya minyoo tumboni.
6.husaidia kutibu au Kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo (ulcers) kwasababu ya ulaini wake huenda kulainisha michubuko au mikwaruzo iliyotokea Hadi kupelekea vidonda vya tumbo.
7.huboresha Uwezo wa kufikiria.
8.huborosha misuli na Neva mwilini.
9.kuboresha na kuimarisha Kinga ya mwili.
10.husaidia kulainisha choo (constipation)
Mwisho; papai Ni zuri endapo likitumiwa kwa Usafi lakini ukila papai kwa uchafu bila kuosha, bila kunawa mikono, nakuliandaa kwa Usafi hupelekea mtu kupata Tena matatizo Kama Kuhara,kutapika, kichefuchefu na tumbo kuuma.Hivyo basi hakikisha unaandaa papai kwa Usafi na usalama.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...