picha

Asili ya Madini ya shaba

Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama

Asili ya madini ya Shaba.

1. Madini ya Shaba tunaweza kuyapata kwenye mbegu mbalimbali kama vie maharage, mahindi,soya beans, njegere,njugu Mawe,na mbegu mbalimbali ambazo uwepo kwenye jamii pote umo tunaweza kupata madini ya Shaba.

 

2.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye viazi mbalimbali kama vie viazi vitamu, viazi, vikuu na viazi ulaya , kwa hiyo kila Aina ya viazi tunaweza kukuta madini ya Shaba kwa hiyo tule viazi kwa wingi Ili tuweze kupata madini ya Shaba kwa wingi

 

3.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye mboga za majani na kwenye matunda mbalimbali kwa mfano mboga mbamoga zote za kijani kama vile mchicha, kabegi,kisambu,Chinese tunaweza kupata madini ya chuma na matunda kama Vila nabasi, machungwa, maembe na matunda mengine yote tunaweza kupata madini ya Shaba.

 

4.Vivile kama mtu ana upungufu wa madini ya Shaba mwilini anaweza kwenda hospitalini Kuna dawa anaweza kutumia na madini ya Shaba yakaongezeka mwilini na hali ikawa kawaida kwahiyo tunapaswa kuwashauri ndugu zetu wenye tatizo Ilo kwenda hospitali na kutumia vyakula kama dawa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2770

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 ai web app     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula tunda pera

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera

Soma Zaidi...
Vyakula salama na vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo

Kamala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Maji pia yanawezakuwa dawa kwa akili

Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.

Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata

Soma Zaidi...