picha

Asili ya Madini ya shaba

Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama

Asili ya madini ya Shaba.

1. Madini ya Shaba tunaweza kuyapata kwenye mbegu mbalimbali kama vie maharage, mahindi,soya beans, njegere,njugu Mawe,na mbegu mbalimbali ambazo uwepo kwenye jamii pote umo tunaweza kupata madini ya Shaba.

 

2.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye viazi mbalimbali kama vie viazi vitamu, viazi, vikuu na viazi ulaya , kwa hiyo kila Aina ya viazi tunaweza kukuta madini ya Shaba kwa hiyo tule viazi kwa wingi Ili tuweze kupata madini ya Shaba kwa wingi

 

3.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye mboga za majani na kwenye matunda mbalimbali kwa mfano mboga mbamoga zote za kijani kama vile mchicha, kabegi,kisambu,Chinese tunaweza kupata madini ya chuma na matunda kama Vila nabasi, machungwa, maembe na matunda mengine yote tunaweza kupata madini ya Shaba.

 

4.Vivile kama mtu ana upungufu wa madini ya Shaba mwilini anaweza kwenda hospitalini Kuna dawa anaweza kutumia na madini ya Shaba yakaongezeka mwilini na hali ikawa kawaida kwahiyo tunapaswa kuwashauri ndugu zetu wenye tatizo Ilo kwenda hospitali na kutumia vyakula kama dawa.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2800

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 ai web app     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?

Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia, sababu zake na dalili zzake

Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kula Nanasi

Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kitunguu maji

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji

Soma Zaidi...