Asili ya Madini ya shaba

Asili ya Madini ya shaba

Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama

Asili ya madini ya Shaba.

1. Madini ya Shaba tunaweza kuyapata kwenye mbegu mbalimbali kama vie maharage, mahindi,soya beans, njegere,njugu Mawe,na mbegu mbalimbali ambazo uwepo kwenye jamii pote umo tunaweza kupata madini ya Shaba.

 

2.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye viazi mbalimbali kama vie viazi vitamu, viazi, vikuu na viazi ulaya , kwa hiyo kila Aina ya viazi tunaweza kukuta madini ya Shaba kwa hiyo tule viazi kwa wingi Ili tuweze kupata madini ya Shaba kwa wingi

 

3.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye mboga za majani na kwenye matunda mbalimbali kwa mfano mboga mbamoga zote za kijani kama vile mchicha, kabegi,kisambu,Chinese tunaweza kupata madini ya chuma na matunda kama Vila nabasi, machungwa, maembe na matunda mengine yote tunaweza kupata madini ya Shaba.

 

4.Vivile kama mtu ana upungufu wa madini ya Shaba mwilini anaweza kwenda hospitalini Kuna dawa anaweza kutumia na madini ya Shaba yakaongezeka mwilini na hali ikawa kawaida kwahiyo tunapaswa kuwashauri ndugu zetu wenye tatizo Ilo kwenda hospitali na kutumia vyakula kama dawa.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/12/08/Wednesday - 11:03:43 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1754


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Kitunguu saumu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Viazi mbatata
Soma Zaidi...

Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee
Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo? Soma Zaidi...

Faida za tangawizi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi Soma Zaidi...

Faida za kula karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti Soma Zaidi...

Faida za kula kabichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi Soma Zaidi...

Vyakula muhimu kwa afya ya uzazi wa mwanaume
Vyakula vya kuongeza Nguvu za kiume Soma Zaidi...

Dawa ya kiungulia na njia za kuzuia kiungulia
utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu Soma Zaidi...

UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula nyama
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama Soma Zaidi...

Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali
Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu. Soma Zaidi...