Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama
Asili ya madini ya Shaba.
1. Madini ya Shaba tunaweza kuyapata kwenye mbegu mbalimbali kama vie maharage, mahindi,soya beans, njegere,njugu Mawe,na mbegu mbalimbali ambazo uwepo kwenye jamii pote umo tunaweza kupata madini ya Shaba.
2.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye viazi mbalimbali kama vie viazi vitamu, viazi, vikuu na viazi ulaya , kwa hiyo kila Aina ya viazi tunaweza kukuta madini ya Shaba kwa hiyo tule viazi kwa wingi Ili tuweze kupata madini ya Shaba kwa wingi
3.Madini ya Shaba yanaweza kukutwa kwenye mboga za majani na kwenye matunda mbalimbali kwa mfano mboga mbamoga zote za kijani kama vile mchicha, kabegi,kisambu,Chinese tunaweza kupata madini ya chuma na matunda kama Vila nabasi, machungwa, maembe na matunda mengine yote tunaweza kupata madini ya Shaba.
4.Vivile kama mtu ana upungufu wa madini ya Shaba mwilini anaweza kwenda hospitalini Kuna dawa anaweza kutumia na madini ya Shaba yakaongezeka mwilini na hali ikawa kawaida kwahiyo tunapaswa kuwashauri ndugu zetu wenye tatizo Ilo kwenda hospitali na kutumia vyakula kama dawa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Soma Zaidi...