picha

Asili ya vyakula vya madini ya zinki

Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.

Asili ya madini ya zinki

1.Madini ya zinki tunaaweza kuyapata kutoka sehemu mbalimbali kama vile kwenye mimea na wanyama,kiasi kikubwa Cha madini ya zinki tunakipata kwenye vyakula vya protein kama Vile kwenye mayai,nyama,na vyakula vyote vya mbegumbegu kama maharage njugu Mawe karanga na kwenye njegere na Aina nyingine kama hizo.

 

2. Pia tunaaweza kupata madini ya chuma kwenye vyakula kama vile mboga mboga za majani, matunda na vyakula vyote vyenye asili ya rangi yakijani tunaaweza kupata vyakula Aina ya zinki na tukaweza kuvitumia kwa sababu Kuna faida kubwa kwenye vyakula vya zinki.

 

Madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo Kuna Ukosefu wa madini ya zinki?

1. Ukosefu wa Madini ya zinki usababisha harufu mbaya mdomoni ambayo uambatana na kukosa hamu ya chakula, hii utokea sana hasa baada ya kukosa madini ya zinki au madini yakiwemo kidogo kwa sababu kinga ya mwili ushuka na bakteria ushambulia sehemu za kinywa.

 

2.Upungufu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa upungufu wa damu mwilini ambapo kwa kitaalamu huitwa Anemia, hii utokea as kwa sababu zinki Ina sehemu ambayo ushughilika na usambazaji wa hewa na damu mwilini, kwa hiyo zinki ikikosa Kuna uwezekano wa upungufu wa damu mwilini.

 

3. Ukosefu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa kudumaa hasa kwa upande wa watoto kwa sababu zinki usaidia katika kukua na maendeleo ya mtoto hasa chini ya miaka mitano.

 

4.Ukosefu wa madini ya chuma usababisha kuenea kwa maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu madini ya zinki usaidia kama kinga mwilini,kama hakuna madini ya zinki kinga mwilini upungua.

 

5.Upungufu wa madini ya zinki usababisha vidonda kuchukua mda kupima kwa sababu kupona kwa vidonda uendana na kiwango Cha madini kwenye mwili kama kiwango ni kidogo kiasi Cha kupona kitapungua kama kiwango ni kikubwa vidonda vitapona haraka.

 

 

 

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1791

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 ai web app     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

VYAKULA VYA VITAMIN NA MAJI

Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako

Soma Zaidi...
Faida za kula Nazi

Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
Faida kula fenesi

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula fenesi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula spinach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula samaki

Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.

Soma Zaidi...
RANGI ZA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...