Asili ya vyakula vya madini ya zinki
Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Asili ya madini ya zinki
1.Madini ya zinki tunaaweza kuyapata kutoka sehemu mbalimbali kama vile kwenye mimea na wanyama,kiasi kikubwa Cha madini ya zinki tunakipata kwenye vyakula vya protein kama Vile kwenye mayai,nyama,na vyakula vyote vya mbegumbegu kama maharage njugu Mawe karanga na kwenye njegere na Aina nyingine kama hizo.
2. Pia tunaaweza kupata madini ya chuma kwenye vyakula kama vile mboga mboga za majani, matunda na vyakula vyote vyenye asili ya rangi yakijani tunaaweza kupata vyakula Aina ya zinki na tukaweza kuvitumia kwa sababu Kuna faida kubwa kwenye vyakula vya zinki.
Madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo Kuna Ukosefu wa madini ya zinki?
1. Ukosefu wa Madini ya zinki usababisha harufu mbaya mdomoni ambayo uambatana na kukosa hamu ya chakula, hii utokea sana hasa baada ya kukosa madini ya zinki au madini yakiwemo kidogo kwa sababu kinga ya mwili ushuka na bakteria ushambulia sehemu za kinywa.
2.Upungufu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa upungufu wa damu mwilini ambapo kwa kitaalamu huitwa Anemia, hii utokea as kwa sababu zinki Ina sehemu ambayo ushughilika na usambazaji wa hewa na damu mwilini, kwa hiyo zinki ikikosa Kuna uwezekano wa upungufu wa damu mwilini.
3. Ukosefu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa kudumaa hasa kwa upande wa watoto kwa sababu zinki usaidia katika kukua na maendeleo ya mtoto hasa chini ya miaka mitano.
4.Ukosefu wa madini ya chuma usababisha kuenea kwa maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu madini ya zinki usaidia kama kinga mwilini,kama hakuna madini ya zinki kinga mwilini upungua.
5.Upungufu wa madini ya zinki usababisha vidonda kuchukua mda kupima kwa sababu kupona kwa vidonda uendana na kiwango Cha madini kwenye mwili kama kiwango ni kidogo kiasi Cha kupona kitapungua kama kiwango ni kikubwa vidonda vitapona haraka.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 ai web app 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Athari za kula vitamin C kupitiliza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...Kitabu cha Afya 02
Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Upungufu wa protini na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Virutubisho vya mwili
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Faida 5 za asali na matumizi yake.
Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.
Soma Zaidi...