Asili ya vyakula vya madini ya zinki

Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.

Asili ya madini ya zinki

1.Madini ya zinki tunaaweza kuyapata kutoka sehemu mbalimbali kama vile kwenye mimea na wanyama,kiasi kikubwa Cha madini ya zinki tunakipata kwenye vyakula vya protein kama Vile kwenye mayai,nyama,na vyakula vyote vya mbegumbegu kama maharage njugu Mawe karanga na kwenye njegere na Aina nyingine kama hizo.

 

2. Pia tunaaweza kupata madini ya chuma kwenye vyakula kama vile mboga mboga za majani, matunda na vyakula vyote vyenye asili ya rangi yakijani tunaaweza kupata vyakula Aina ya zinki na tukaweza kuvitumia kwa sababu Kuna faida kubwa kwenye vyakula vya zinki.

 

Madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo Kuna Ukosefu wa madini ya zinki?

1. Ukosefu wa Madini ya zinki usababisha harufu mbaya mdomoni ambayo uambatana na kukosa hamu ya chakula, hii utokea sana hasa baada ya kukosa madini ya zinki au madini yakiwemo kidogo kwa sababu kinga ya mwili ushuka na bakteria ushambulia sehemu za kinywa.

 

2.Upungufu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa upungufu wa damu mwilini ambapo kwa kitaalamu huitwa Anemia, hii utokea as kwa sababu zinki Ina sehemu ambayo ushughilika na usambazaji wa hewa na damu mwilini, kwa hiyo zinki ikikosa Kuna uwezekano wa upungufu wa damu mwilini.

 

3. Ukosefu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa kudumaa hasa kwa upande wa watoto kwa sababu zinki usaidia katika kukua na maendeleo ya mtoto hasa chini ya miaka mitano.

 

4.Ukosefu wa madini ya chuma usababisha kuenea kwa maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu madini ya zinki usaidia kama kinga mwilini,kama hakuna madini ya zinki kinga mwilini upungua.

 

5.Upungufu wa madini ya zinki usababisha vidonda kuchukua mda kupima kwa sababu kupona kwa vidonda uendana na kiwango Cha madini kwenye mwili kama kiwango ni kidogo kiasi Cha kupona kitapungua kama kiwango ni kikubwa vidonda vitapona haraka.

 

 

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1497

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Faida za kula embe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuoambana na mafua

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua

Soma Zaidi...
Aina 20 za Vitamini, kazi zake, vyanzo vyeke na madhara ya upungufu wake

Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA WANGA NA MADINI

Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin C mwilini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu

Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi

Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...