Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Asili ya madini ya zinki
1.Madini ya zinki tunaaweza kuyapata kutoka sehemu mbalimbali kama vile kwenye mimea na wanyama,kiasi kikubwa Cha madini ya zinki tunakipata kwenye vyakula vya protein kama Vile kwenye mayai,nyama,na vyakula vyote vya mbegumbegu kama maharage njugu Mawe karanga na kwenye njegere na Aina nyingine kama hizo.
2. Pia tunaaweza kupata madini ya chuma kwenye vyakula kama vile mboga mboga za majani, matunda na vyakula vyote vyenye asili ya rangi yakijani tunaaweza kupata vyakula Aina ya zinki na tukaweza kuvitumia kwa sababu Kuna faida kubwa kwenye vyakula vya zinki.
Madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo Kuna Ukosefu wa madini ya zinki?
1. Ukosefu wa Madini ya zinki usababisha harufu mbaya mdomoni ambayo uambatana na kukosa hamu ya chakula, hii utokea sana hasa baada ya kukosa madini ya zinki au madini yakiwemo kidogo kwa sababu kinga ya mwili ushuka na bakteria ushambulia sehemu za kinywa.
2.Upungufu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa upungufu wa damu mwilini ambapo kwa kitaalamu huitwa Anemia, hii utokea as kwa sababu zinki Ina sehemu ambayo ushughilika na usambazaji wa hewa na damu mwilini, kwa hiyo zinki ikikosa Kuna uwezekano wa upungufu wa damu mwilini.
3. Ukosefu wa madini ya zinki usababisha kuwepo kwa kudumaa hasa kwa upande wa watoto kwa sababu zinki usaidia katika kukua na maendeleo ya mtoto hasa chini ya miaka mitano.
4.Ukosefu wa madini ya chuma usababisha kuenea kwa maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu madini ya zinki usaidia kama kinga mwilini,kama hakuna madini ya zinki kinga mwilini upungua.
5.Upungufu wa madini ya zinki usababisha vidonda kuchukua mda kupima kwa sababu kupona kwa vidonda uendana na kiwango Cha madini kwenye mwili kama kiwango ni kidogo kiasi Cha kupona kitapungua kama kiwango ni kikubwa vidonda vitapona haraka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi
Soma Zaidi...