Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification
Ugonjwa wa ini sio kila wakati husababisha dalili zinazoonekana. Ikiwa ishara na dalili za ugonjwa wa ini hutokea, zinaweza kujumuisha:
1. Ngozi na macho yanayoonekana kuwa ya manjano (jaundice) Ina maanisha kuwa Kuna upungufu wa Damu mwili.
2. Maumivu ya tumbo na uvimbe; ini linaposhindwa kutoa sumu sumu hubakia mwilini na huleta madhara kwenye tumbo Kama maumivu na uvimbe kwenye tumbo.
3. Kuvimba kwa miguu na vifundoni
4.Ngozi inayowaka
5. Rangi ya mkojo wa giza
6. Rangi ya kinyesi iliyofifia
7. Uchovu wa kudumu; kuchoka Sana kujiona mdhafu kwa sababu ya sumu iliyo has mwili pale ambapo ini linashindwa kuiondoa
8. Kichefuchefu au kutapika; uchafu au sumu ukijaa mwilini Sana hupelekea kutapika na kichefuchefu
9. Kupoteza hamu ya kula;kutokana na kichefuchefu au kutapika mtu hupoteza kabisa hamu ya kula na pia mwili hudhoofika.
10. Tabia ya kuumiza kwa urahisi
Sababu za Maambukizi ya ini
1.kujamiiana bila Kinga
2.kuchangia taulo au nguo au kukumbatiana na kushikana na mtu mwenye Ugonjwa wa ini hii kupitia majasho au majimaji.
3.kuchangia vitu vyenye ncha Kali Kama vile sindani nyembe n.k
4.kuchangia Damu na mtu mwenye Ugonjwa wa ini
5.mama mwenye Ugonjwa huu kumwambukiza Mtoto wakati wa kujifungua.
6.kunyonyana ndimi (kissing)
7.kushea miswaki
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya watu walio hatarini kupata fangasi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Brucellosis ni maambukizi ya bakteria ambayo huenea kutoka kwa wanyama hadi kwa watu mara nyingi kupitia maziwa ambayo hayajasafishwa au kuchemshwa vizuri na bidhaa zingine za maziwa. Mara chache zaidi, ba
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Maumivu ya kifuwa yanaweza kutokea baada ya kubeba kitu kizito, ama kupata mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. maumivu ya viungo na hata vidonda vya tumbo. Lakini sasa umesha wahi fikiria maumivu ya kifuwa kwa katikati?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.
Soma Zaidi...