picha

Dalili za madhara ya ini

Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification

Ugonjwa wa ini sio kila wakati husababisha dalili zinazoonekana.  Ikiwa ishara na dalili za ugonjwa wa ini hutokea, zinaweza kujumuisha:

 

1. Ngozi na macho yanayoonekana kuwa ya manjano (jaundice) Ina maanisha kuwa Kuna upungufu wa Damu mwili.

 

2. Maumivu ya tumbo na uvimbe; ini linaposhindwa kutoa sumu sumu hubakia mwilini na huleta madhara kwenye tumbo Kama maumivu na uvimbe kwenye tumbo.

 

3. Kuvimba kwa miguu na vifundoni

 4.Ngozi inayowaka

5. Rangi ya mkojo wa giza

6. Rangi ya kinyesi iliyofifia

 

7. Uchovu wa kudumu; kuchoka Sana kujiona mdhafu kwa sababu ya sumu iliyo has mwili pale ambapo ini linashindwa kuiondoa 

 

8. Kichefuchefu au kutapika; uchafu au sumu ukijaa mwilini Sana hupelekea kutapika na kichefuchefu

 

9. Kupoteza hamu ya kula;kutokana na kichefuchefu au kutapika mtu hupoteza kabisa hamu ya kula na pia mwili hudhoofika.

 

10. Tabia ya kuumiza kwa urahisi

 

    Sababu za Maambukizi ya ini

1.kujamiiana bila Kinga

2.kuchangia taulo au nguo au kukumbatiana na kushikana na mtu mwenye Ugonjwa wa ini hii kupitia majasho au majimaji.

3.kuchangia vitu vyenye ncha Kali Kama vile sindani nyembe n.k

4.kuchangia Damu na mtu mwenye Ugonjwa wa ini

5.mama mwenye Ugonjwa huu kumwambukiza Mtoto wakati wa kujifungua.

6.kunyonyana ndimi (kissing)

7.kushea miswaki

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2534

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Dalili za malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Fangasi aina ya Candida

Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida.

Soma Zaidi...
Aina za kisukari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za kisukari

Soma Zaidi...
Sababu za mtu kuwa na mfadhaiko au wasiwasi

Post hii inahusu sababu za mtu kuwa na mfadhaiko na wasiwasi, mfadhaiko ni nguvu fulani anayoisikia ndani mwake kwa sababu ya tukio la kushutushwa linalomfanya afikilie sana,

Soma Zaidi...