Dalili za madhara ya ini

Dalili za madhara ya ini

Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Ugonjwa wa ini sio kila wakati husababisha dalili zinazoonekana.  Ikiwa ishara na dalili za ugonjwa wa ini hutokea, zinaweza kujumuisha:

 

1. Ngozi na macho yanayoonekana kuwa ya manjano (jaundice) Ina maanisha kuwa Kuna upungufu wa Damu mwili.

 

2. Maumivu ya tumbo na uvimbe; ini linaposhindwa kutoa sumu sumu hubakia mwilini na huleta madhara kwenye tumbo Kama maumivu na uvimbe kwenye tumbo.

 

3. Kuvimba kwa miguu na vifundoni

 4.Ngozi inayowaka

5. Rangi ya mkojo wa giza

6. Rangi ya kinyesi iliyofifia

 

7. Uchovu wa kudumu; kuchoka Sana kujiona mdhafu kwa sababu ya sumu iliyo has mwili pale ambapo ini linashindwa kuiondoa 

 

8. Kichefuchefu au kutapika; uchafu au sumu ukijaa mwilini Sana hupelekea kutapika na kichefuchefu

 

9. Kupoteza hamu ya kula;kutokana na kichefuchefu au kutapika mtu hupoteza kabisa hamu ya kula na pia mwili hudhoofika.

 

10. Tabia ya kuumiza kwa urahisi

 

    Sababu za Maambukizi ya ini

1.kujamiiana bila Kinga

2.kuchangia taulo au nguo au kukumbatiana na kushikana na mtu mwenye Ugonjwa wa ini hii kupitia majasho au majimaji.

3.kuchangia vitu vyenye ncha Kali Kama vile sindani nyembe n.k

4.kuchangia Damu na mtu mwenye Ugonjwa wa ini

5.mama mwenye Ugonjwa huu kumwambukiza Mtoto wakati wa kujifungua.

6.kunyonyana ndimi (kissing)

7.kushea miswaki

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1928

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Sababu za mwanamke kuumwa tumbo y chini ya kitovu.
Sababu za mwanamke kuumwa tumbo y chini ya kitovu.

Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Njia za kuondokana na fangasi
Njia za kuondokana na fangasi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.

Soma Zaidi...
Madhara ya minyoo
Madhara ya minyoo

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa
Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa

Soma Zaidi...
Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.

Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo

Soma Zaidi...
Vyanzo vya sumu mwilini.
Vyanzo vya sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?
Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?

Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.

Soma Zaidi...
Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?

je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
 Mambo ambayo yanaweza kuongeza hatari ya Ugonjwa wa Homa ya ini yenye sumu.
Mambo ambayo yanaweza kuongeza hatari ya Ugonjwa wa Homa ya ini yenye sumu.

Posti hii inazungumzia zaidi kuhusiana na Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuguswa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, madawa ya kulevya au virutubisho vya lis

Soma Zaidi...