Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification
Ugonjwa wa ini sio kila wakati husababisha dalili zinazoonekana. Ikiwa ishara na dalili za ugonjwa wa ini hutokea, zinaweza kujumuisha:
1. Ngozi na macho yanayoonekana kuwa ya manjano (jaundice) Ina maanisha kuwa Kuna upungufu wa Damu mwili.
2. Maumivu ya tumbo na uvimbe; ini linaposhindwa kutoa sumu sumu hubakia mwilini na huleta madhara kwenye tumbo Kama maumivu na uvimbe kwenye tumbo.
3. Kuvimba kwa miguu na vifundoni
4.Ngozi inayowaka
5. Rangi ya mkojo wa giza
6. Rangi ya kinyesi iliyofifia
7. Uchovu wa kudumu; kuchoka Sana kujiona mdhafu kwa sababu ya sumu iliyo has mwili pale ambapo ini linashindwa kuiondoa
8. Kichefuchefu au kutapika; uchafu au sumu ukijaa mwilini Sana hupelekea kutapika na kichefuchefu
9. Kupoteza hamu ya kula;kutokana na kichefuchefu au kutapika mtu hupoteza kabisa hamu ya kula na pia mwili hudhoofika.
10. Tabia ya kuumiza kwa urahisi
Sababu za Maambukizi ya ini
1.kujamiiana bila Kinga
2.kuchangia taulo au nguo au kukumbatiana na kushikana na mtu mwenye Ugonjwa wa ini hii kupitia majasho au majimaji.
3.kuchangia vitu vyenye ncha Kali Kama vile sindani nyembe n.k
4.kuchangia Damu na mtu mwenye Ugonjwa wa ini
5.mama mwenye Ugonjwa huu kumwambukiza Mtoto wakati wa kujifungua.
6.kunyonyana ndimi (kissing)
7.kushea miswaki
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
Soma Zaidi...Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya kama ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa.
Soma Zaidi...Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.
Soma Zaidi...Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako.
Soma Zaidi...Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu
Soma Zaidi...Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar
Soma Zaidi...ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa
Soma Zaidi...