Sababu za maumivu ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo.

Sababu za maumivu katika uti wa mgongo.

1. Kubeba vitu vizito.

Hii ni sababu ya kwanza ya uti wa mgongo hasahasa utokea pale mtu akianza kubeba vitu vizito katika umri mdogo, pingili za mgongo uanza kulegea na baadae umri ukienda kumbuka kwamba na viungo vinaanza kuishiwa nguvu kwa hiyo maumivu uanza na baadae tatizo ugundulika kwamba lipo kwenye uti wa mgongo.

 

2. Pingili kuishiwa mafuta.

Katika mwili wa binadamu Kuna pingili thelathini na tatu kila pingili Ina kazi yake, pengine pingili hizi uhishiwa mafuta kwa sababu ya maambukizi au kwa sababu ya kutokuwa na mlo kamili wa vyakula vya kuongeza mafuta mwilini hali hii usababisha mafuta mwilini kuisha na pengine pingili usuguana hali hii upelekea maumivu makali kwenye uti wa mgongo kwa sababu ya msuguano wa pingili.

 

3. Mikao na miondiko mibaya.

Pengine maumivu makali kwenye mgongo usababishwa na kukaa vibaya na miondoko mibaya, hii utokea pale ambapo vijana wengi katika umri wa ujana uanza kuiga miondiko mbalimbali ambayo ufanya pingili kupinda na baadae maumivu makali kwenye mgongo utokea. Na pengine mikao mibaya ambayo haiendani na pingili za mgongo usababisha maumivu.

 

4. Kupata ajali.

Pengine maumivu ya mgongo usababishwa na kupata ajali na kuvunjika kwa baadhi ya pingili, hali hii usababisha maumivu ya mgongo hata kama mtu alitibiwa kama Kuna sehemu ilibaki na jeraha Kuna kipindi maumivu utokea hasa wakati wa baridi.

 

5. Uzito wa mwili kuwa mkubwa, ukiulinganisha na mifupa na nyama, pengine maumivu ya mgongo usababishwa na kuongeza kwa uzito wa mwili, pale ambapo mifupa uelemewa kubeba nyama za mwili kwa hiyo pingili uelemewa na uzito kwa hiyo maumivu ya mgongo uongezeka na kusababisha hali ya mtu kuwa mbaya.

 

 

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/12/06/Monday - 04:36:18 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1400

Post zifazofanana:-

Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)
Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi'hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida. Soma Zaidi...

Saratani zinazowasumbua watoto.
Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao. Soma Zaidi...

Namna ya kumfanyia usafi Mgonjwa kwa mwili mzima.
Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani
Posti hii inaonyesha dalili,Sababu,na namna ya kujikinga na ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani ambao kitaalamu hujulikana Kama orchitis. Soma Zaidi...

Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu
Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutumia kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Mambo yanayosababisha kuharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu Soma Zaidi...

Tufanyeje ili kuepuka kuaribika kwa figo?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili. Soma Zaidi...

Hatua tatu anazozipitia mgonjwa wa tauni
Posti hii inahusu zaidi njia au hatua tatu muhimu anazopitia Mgonjwa wa gauni, kuanzia kwa Maambukizi mpaka kwenye hatua ya mwisho hasa kama Ugonjwa huu haujatibiwa mapema. Soma Zaidi...

Umuhimu wa kuvaa nguo za upasuaji.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa nguo za upasuaji, tunajua wazi kuwa, wakati wa upasuaji tunapaswa kusafisha chumba na mazingira yake lengo ni kuhakikisha kuwa tunazuia wadudu wasisambae au kuingia kwenye mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.
Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Dalili za kuvimba kwa ovari.
' Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke. Soma Zaidi...