image

Sababu za maumivu ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo.

Sababu za maumivu katika uti wa mgongo.

1. Kubeba vitu vizito.

Hii ni sababu ya kwanza ya uti wa mgongo hasahasa utokea pale mtu akianza kubeba vitu vizito katika umri mdogo, pingili za mgongo uanza kulegea na baadae umri ukienda kumbuka kwamba na viungo vinaanza kuishiwa nguvu kwa hiyo maumivu uanza na baadae tatizo ugundulika kwamba lipo kwenye uti wa mgongo.

 

2. Pingili kuishiwa mafuta.

Katika mwili wa binadamu Kuna pingili thelathini na tatu kila pingili Ina kazi yake, pengine pingili hizi uhishiwa mafuta kwa sababu ya maambukizi au kwa sababu ya kutokuwa na mlo kamili wa vyakula vya kuongeza mafuta mwilini hali hii usababisha mafuta mwilini kuisha na pengine pingili usuguana hali hii upelekea maumivu makali kwenye uti wa mgongo kwa sababu ya msuguano wa pingili.

 

3. Mikao na miondiko mibaya.

Pengine maumivu makali kwenye mgongo usababishwa na kukaa vibaya na miondoko mibaya, hii utokea pale ambapo vijana wengi katika umri wa ujana uanza kuiga miondiko mbalimbali ambayo ufanya pingili kupinda na baadae maumivu makali kwenye mgongo utokea. Na pengine mikao mibaya ambayo haiendani na pingili za mgongo usababisha maumivu.

 

4. Kupata ajali.

Pengine maumivu ya mgongo usababishwa na kupata ajali na kuvunjika kwa baadhi ya pingili, hali hii usababisha maumivu ya mgongo hata kama mtu alitibiwa kama Kuna sehemu ilibaki na jeraha Kuna kipindi maumivu utokea hasa wakati wa baridi.

 

5. Uzito wa mwili kuwa mkubwa, ukiulinganisha na mifupa na nyama, pengine maumivu ya mgongo usababishwa na kuongeza kwa uzito wa mwili, pale ambapo mifupa uelemewa kubeba nyama za mwili kwa hiyo pingili uelemewa na uzito kwa hiyo maumivu ya mgongo uongezeka na kusababisha hali ya mtu kuwa mbaya.

 

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1592


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A
Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi. Soma Zaidi...

Matibabu ya vidonda vya tumbo
Makala hii inakwenda kukufundisha kuhusu matibabu ya vidonda vyatumbo. Pia utajifunza kwa nini kunakuwa na vidonda vya tumbo sugu. Soma Zaidi...

Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)
joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo. Soma Zaidi...

Dalili za Kufunga kwa ulimi (tongue tie)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kufunga kwa ulimi (Tongue-tie) kuanzia Mtoto anavyo zalia mpaka navyokua ni hali inayotokea wakati wa kuzaliwa ambayo kitaalamu hujulikana kama ankyloglossia. Soma Zaidi...

Maajabu ya damu na mzunguuko wake mwilini.
Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu Soma Zaidi...

Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara
postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kisukari
Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu kwa afya yako kwa sababu ni chanzo muhimu cha nishati kwa seli zinazounda misuli na tishu zako. Pia ndio chanzo ki Soma Zaidi...

Njia za maambukizi ya Homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano. Soma Zaidi...

Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika. Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, Soma Zaidi...

Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga
Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke. Soma Zaidi...

Visababishi vya maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari. Soma Zaidi...