Sababu za maumivu ya uti wa mgongo

Sababu za maumivu ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Sababu za maumivu katika uti wa mgongo.

1. Kubeba vitu vizito.

Hii ni sababu ya kwanza ya uti wa mgongo hasahasa utokea pale mtu akianza kubeba vitu vizito katika umri mdogo, pingili za mgongo uanza kulegea na baadae umri ukienda kumbuka kwamba na viungo vinaanza kuishiwa nguvu kwa hiyo maumivu uanza na baadae tatizo ugundulika kwamba lipo kwenye uti wa mgongo.

 

2. Pingili kuishiwa mafuta.

Katika mwili wa binadamu Kuna pingili thelathini na tatu kila pingili Ina kazi yake, pengine pingili hizi uhishiwa mafuta kwa sababu ya maambukizi au kwa sababu ya kutokuwa na mlo kamili wa vyakula vya kuongeza mafuta mwilini hali hii usababisha mafuta mwilini kuisha na pengine pingili usuguana hali hii upelekea maumivu makali kwenye uti wa mgongo kwa sababu ya msuguano wa pingili.

 

3. Mikao na miondiko mibaya.

Pengine maumivu makali kwenye mgongo usababishwa na kukaa vibaya na miondoko mibaya, hii utokea pale ambapo vijana wengi katika umri wa ujana uanza kuiga miondiko mbalimbali ambayo ufanya pingili kupinda na baadae maumivu makali kwenye mgongo utokea. Na pengine mikao mibaya ambayo haiendani na pingili za mgongo usababisha maumivu.

 

4. Kupata ajali.

Pengine maumivu ya mgongo usababishwa na kupata ajali na kuvunjika kwa baadhi ya pingili, hali hii usababisha maumivu ya mgongo hata kama mtu alitibiwa kama Kuna sehemu ilibaki na jeraha Kuna kipindi maumivu utokea hasa wakati wa baridi.

 

5. Uzito wa mwili kuwa mkubwa, ukiulinganisha na mifupa na nyama, pengine maumivu ya mgongo usababishwa na kuongeza kwa uzito wa mwili, pale ambapo mifupa uelemewa kubeba nyama za mwili kwa hiyo pingili uelemewa na uzito kwa hiyo maumivu ya mgongo uongezeka na kusababisha hali ya mtu kuwa mbaya.

 

 

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2006

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Je wiki 1 dalili zinaonyesha za maambukizi ya ukimwi na  wiki 3  vipimo vinaweza kuonyesha Kama umeasilika
Je wiki 1 dalili zinaonyesha za maambukizi ya ukimwi na wiki 3 vipimo vinaweza kuonyesha Kama umeasilika

Muda ambao maambukizi ya virusi vya ukimwi kuonyesha dalili unaweza kutofautiana kutika mtu hadi mwingine.

Soma Zaidi...
Aina za saratani ( cancer)
Aina za saratani ( cancer)

Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.

Soma Zaidi...
Je minyoo inaweza kusababisha mmeng'enyo wa chakula kuwa dhaifu?
Je minyoo inaweza kusababisha mmeng'enyo wa chakula kuwa dhaifu?

Mfumo wa chakula unaweza kuwa dhaifu kwa sababu nyingi ikiwepo vyakula vyenyewe, vinywaji ama maradhi. Vipi kuhusu minyoo? Endelea na makala hii utajifunza zaidi.

Soma Zaidi...
 Fahamu Ugonjwa wa mshtuko wa sumu.
Fahamu Ugonjwa wa mshtuko wa sumu.

Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Saratani (cancer)
Saratani (cancer)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani

Soma Zaidi...
Je unaweza sex na mwanamke mwenye HIV na ukaenda kupima wiki moja na ukagundurika kwa vipimo vya maabara
Je unaweza sex na mwanamke mwenye HIV na ukaenda kupima wiki moja na ukagundurika kwa vipimo vya maabara

Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.

Soma Zaidi...
Njia za maambukizi ya Homa ya inni
Njia za maambukizi ya Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake
Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake

Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi

Soma Zaidi...
Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.
Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.

Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...