Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo.
Zifuatazo ni dalili za uti wa mgongo.
1. Maumivu makali wakati wa kukaa.
Dalili mojawapo ya uti ni kushindwa kukaa, hii utokea pale mtu anapotaka kukaa usikia maumivu,hii ni kwa sababu pingili uuma pale mtu anapokuwa kukaa, hii dalili inapotokea Mara nyingi ni Dalili mojawapo ya uti wa mgongo.
2.Maumivu makali wakati wa kusimama kwa mda mrefu.
Hii utokea pale mtu anaposimama mda mrefu kwa sababu ya kuchoka kwa pingili,mtu anaposimama mda mrefu pingili uanza kuuma na pengine kuanza kutokea maumivu kwenye sehemu mbalimbali kama vile kiuno na kifua, hapo mpaka mtu apumzike ndo mgongo unaweza kutumia.
3.maumivu wakati wa kubeba vitu vizito.
Dalili nyingine ambayo inaweza kujitokeza ni pale mtu anaposikia maumivu pale anapobeba vitu vizito hiii ni kwa sababu ya kuchoka kwa pingili na pengine ni kwa sababu pingili zinakuwa zimechoka ndo maana mtu anaanza kusikia maumivu.
4.Maumivu wakati wa kuinama.
Mtu mwenye maumivu ya uti wa mgongo usikia maumivu makali wakati wa kuinama hii ni kwa sababu ya sababu ya kuchoka kwa pingili, kwa hiyo mtu akiinama maumivu uanza na kuenea sehemu mbalimbali.
5.Maumivu wakati wa baridi.
Mtu mwenye matatizo ya mgongo usikia maumivu wakati wa baridi kwa sababu ya kusinyaa kw a mifupa wakati wa baridi Ili kutengeneza joto mwilini,kwa sababu ya udhaifu wa pingili maumivu utokea hasa mgongoni kwa sababu ya kuwepo kwa baridi.
6.Maumivu wakati wa kutembea kwa mda mrefu.
Maumivu makali wakati wa kutembea kwa mda mrefu,hii utokea pale mtu anapotembea kwa mda mrefu na kusababisha mifupa kusuguana na kusababisha maumivu makali kwenye uti wa Mgongo maumivu yanaweza kuwa ya mda mrefu au ya mda mfupi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi.
Soma Zaidi...Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.
Soma Zaidi...Vidonda kwenye uume vinaweza kusababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) kama kaswende na herpes, maambukizi ya fangasi au bakteria, majeraha madogo, mzio (allergy), au usafi duni. Uchunguzi wa kitabibu ni muhimu ili kutambua chanzo na kupata tiba sahihi.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..
Soma Zaidi...Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu
Soma Zaidi...Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.
Soma Zaidi...