Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo.
Zifuatazo ni dalili za uti wa mgongo.
1. Maumivu makali wakati wa kukaa.
Dalili mojawapo ya uti ni kushindwa kukaa, hii utokea pale mtu anapotaka kukaa usikia maumivu,hii ni kwa sababu pingili uuma pale mtu anapokuwa kukaa, hii dalili inapotokea Mara nyingi ni Dalili mojawapo ya uti wa mgongo.
2.Maumivu makali wakati wa kusimama kwa mda mrefu.
Hii utokea pale mtu anaposimama mda mrefu kwa sababu ya kuchoka kwa pingili,mtu anaposimama mda mrefu pingili uanza kuuma na pengine kuanza kutokea maumivu kwenye sehemu mbalimbali kama vile kiuno na kifua, hapo mpaka mtu apumzike ndo mgongo unaweza kutumia.
3.maumivu wakati wa kubeba vitu vizito.
Dalili nyingine ambayo inaweza kujitokeza ni pale mtu anaposikia maumivu pale anapobeba vitu vizito hiii ni kwa sababu ya kuchoka kwa pingili na pengine ni kwa sababu pingili zinakuwa zimechoka ndo maana mtu anaanza kusikia maumivu.
4.Maumivu wakati wa kuinama.
Mtu mwenye maumivu ya uti wa mgongo usikia maumivu makali wakati wa kuinama hii ni kwa sababu ya sababu ya kuchoka kwa pingili, kwa hiyo mtu akiinama maumivu uanza na kuenea sehemu mbalimbali.
5.Maumivu wakati wa baridi.
Mtu mwenye matatizo ya mgongo usikia maumivu wakati wa baridi kwa sababu ya kusinyaa kw a mifupa wakati wa baridi Ili kutengeneza joto mwilini,kwa sababu ya udhaifu wa pingili maumivu utokea hasa mgongoni kwa sababu ya kuwepo kwa baridi.
6.Maumivu wakati wa kutembea kwa mda mrefu.
Maumivu makali wakati wa kutembea kwa mda mrefu,hii utokea pale mtu anapotembea kwa mda mrefu na kusababisha mifupa kusuguana na kusababisha maumivu makali kwenye uti wa Mgongo maumivu yanaweza kuwa ya mda mrefu au ya mda mfupi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za kupunguza maumivu na kazi zake, ni dawa ambazo upunguza maumivu kwenye mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi.
Soma Zaidi...Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.
Soma Zaidi...