Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo.
Zifuatazo ni dalili za uti wa mgongo.
1. Maumivu makali wakati wa kukaa.
Dalili mojawapo ya uti ni kushindwa kukaa, hii utokea pale mtu anapotaka kukaa usikia maumivu,hii ni kwa sababu pingili uuma pale mtu anapokuwa kukaa, hii dalili inapotokea Mara nyingi ni Dalili mojawapo ya uti wa mgongo.
2.Maumivu makali wakati wa kusimama kwa mda mrefu.
Hii utokea pale mtu anaposimama mda mrefu kwa sababu ya kuchoka kwa pingili,mtu anaposimama mda mrefu pingili uanza kuuma na pengine kuanza kutokea maumivu kwenye sehemu mbalimbali kama vile kiuno na kifua, hapo mpaka mtu apumzike ndo mgongo unaweza kutumia.
3.maumivu wakati wa kubeba vitu vizito.
Dalili nyingine ambayo inaweza kujitokeza ni pale mtu anaposikia maumivu pale anapobeba vitu vizito hiii ni kwa sababu ya kuchoka kwa pingili na pengine ni kwa sababu pingili zinakuwa zimechoka ndo maana mtu anaanza kusikia maumivu.
4.Maumivu wakati wa kuinama.
Mtu mwenye maumivu ya uti wa mgongo usikia maumivu makali wakati wa kuinama hii ni kwa sababu ya sababu ya kuchoka kwa pingili, kwa hiyo mtu akiinama maumivu uanza na kuenea sehemu mbalimbali.
5.Maumivu wakati wa baridi.
Mtu mwenye matatizo ya mgongo usikia maumivu wakati wa baridi kwa sababu ya kusinyaa kw a mifupa wakati wa baridi Ili kutengeneza joto mwilini,kwa sababu ya udhaifu wa pingili maumivu utokea hasa mgongoni kwa sababu ya kuwepo kwa baridi.
6.Maumivu wakati wa kutembea kwa mda mrefu.
Maumivu makali wakati wa kutembea kwa mda mrefu,hii utokea pale mtu anapotembea kwa mda mrefu na kusababisha mifupa kusuguana na kusababisha maumivu makali kwenye uti wa Mgongo maumivu yanaweza kuwa ya mda mrefu au ya mda mfupi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.
Soma Zaidi...DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi.
Soma Zaidi...Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya.
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo
Soma Zaidi...Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
Soma Zaidi...Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI
Soma Zaidi...Anemia ya upungufu wa vitamini ni ukosefu wa seli nyekundu za damu zenye afya unaosababishwa na kiasi kidogo cha vitamini fulani kuliko kawaida.
Soma Zaidi...