Dalili za maumivu ya uti wa Mgongo

Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo.

Zifuatazo ni dalili za uti wa mgongo.

1. Maumivu makali wakati wa kukaa.

Dalili mojawapo ya uti ni kushindwa kukaa, hii utokea pale mtu anapotaka kukaa usikia maumivu,hii ni kwa sababu pingili uuma pale mtu anapokuwa kukaa, hii dalili inapotokea Mara nyingi ni Dalili mojawapo ya uti wa mgongo.

 

2.Maumivu makali wakati wa kusimama kwa mda mrefu.

Hii utokea pale mtu anaposimama mda mrefu kwa sababu ya kuchoka kwa pingili,mtu anaposimama mda mrefu pingili uanza kuuma na pengine kuanza kutokea maumivu kwenye sehemu mbalimbali kama vile kiuno na kifua, hapo mpaka mtu apumzike ndo mgongo unaweza kutumia.

 

3.maumivu wakati wa kubeba vitu vizito.

Dalili nyingine ambayo inaweza kujitokeza ni pale mtu anaposikia maumivu pale anapobeba vitu vizito hiii ni kwa sababu ya kuchoka kwa pingili na pengine ni kwa sababu pingili zinakuwa zimechoka ndo maana mtu anaanza kusikia maumivu.

 

4.Maumivu wakati wa kuinama.

Mtu mwenye maumivu ya uti wa mgongo usikia maumivu makali wakati wa kuinama hii ni kwa sababu ya sababu ya kuchoka kwa pingili, kwa hiyo mtu akiinama maumivu uanza na kuenea sehemu mbalimbali.

 

5.Maumivu wakati wa baridi.

Mtu mwenye matatizo ya mgongo usikia maumivu wakati wa baridi kwa sababu ya kusinyaa kw a mifupa wakati wa baridi Ili kutengeneza joto mwilini,kwa sababu ya udhaifu wa pingili maumivu utokea hasa mgongoni kwa sababu ya kuwepo kwa baridi.

 

6.Maumivu wakati wa kutembea kwa mda mrefu.

Maumivu makali wakati wa kutembea kwa mda mrefu,hii utokea pale mtu anapotembea kwa mda mrefu na kusababisha mifupa kusuguana na kusababisha maumivu makali kwenye uti wa Mgongo maumivu yanaweza kuwa ya mda mrefu au ya mda mfupi.

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/12/06/Monday - 05:01:48 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1385

Post zifazofanana:-

Njia za kutibu saratani
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kuchelewa kuganda kwa Damu unaojulikana Kama hemophilia.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda. Soma Zaidi...

Kazi za homoni katika Mzunguko hedhi.
Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Chakula cha minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya minyoo Soma Zaidi...

Aina za fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya aina za fangasi Soma Zaidi...

Dalili za jipu la jino.
Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti. Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua
Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua. Soma Zaidi...

Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu
Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu. Soma Zaidi...

Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini Soma Zaidi...

Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body) Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa macho.
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu Soma Zaidi...