picha

Kazi za madini ya zinki

Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,

 

Kazi za madini ya zinki.

1. Madini ya zinki ni sehemu ya homone ya insulin ambayo usaidia kuhakikisha kuwa sukari Iko sawa kwenye mwili, kama Kuna sukari nyingi,hii homoni usaidia kupunguza na kukaa kwenye ini, na kama Kuna sukari kidogo kwa kuwepo hii homoni sukari iliyowekwa kama akiba kwenye inni ubadilishwa na kuanza kutumika upya.

 

2.Madini ya zinki ni sehemu ya enzyme mbalimbali,ambayo usaidia kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, kwa mfano wa enzyme ambayo inaitwa kwa kitaalamu carbonic anhydrase ambayo usaidia kusafirisha kusafilisha karbonidioxiside gasi kutoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili mpaka kwenye mapafu kwa ajili ya kusafisha, na enzyme nyingine ambayo inaitwa kwa kitaalamu carboxypeptide kazi yake ni kusaidia katika kumengenya chakula na enzyme nyingine ambayo usaidia kumengenya Alcohol kwenye tumbo huitwa Alcohol dehydrogenase.

 

3.madini ya zinki usaidia kutengeneza nuclear acidi ambazo kwa kitaalamu huitwa DNA na RNA hizi acidi hukaa kwenye nuclear kazi yake kuu ni kutengeneza utu wa mtu kutokana na wazazi wa mtu na kazi nyingine ya hizi asidi ambazo ukaa katika nuclear usaidia katika kutengeneza protini ambayo ufanya shughuli mbalimbali kwenye mwili wa binadamu,kutokana na madini ya chuma tunaona kazi kubwa ya utu wa mwanadamu uchangiwa na madini ya chuma.

 

4.Madini ya chuma pia usaidia katika kuponyesha vidonda  hii ufanyika kwa kuwepo kwa sehemu mojawapo ya madini ya chuma ambayo kwa kitaalamu huitwa synthesis of collagen ambayo usaidia kuwepo kwa uponnyaji wa haraka wa kidonda, kama mtu ana wingi wa madini ya zinki mwilini kidonda chake upona haraka kuliko mtu yule ambaye ana kiasi kidogo Cha madini ya zinki.

 

5.Madini ya zinki  usaidia katika kutengeneza sehemu ya jicho ambayo kwa kitaalamu huitwa chorion membrane ni sehemu ya madini ya zinki sehemu hii ya jicho uzuia wadudu wasiingie kwenye jicho na pia Ina majimaji ambayo ulifanya jicho kupata chakula chake, kwa hiyo madini ya zinki usaidia sana katika shughuli za ulinzi wa jicho.

 

6. Madini ya chuma pia usaidia katika kutengeneza via vya uzazi vya mwanaume ambavyo kwa kitaalamu huitwa prostate gland ambazo usaidia kutengeneza majimaji mazito au Ute ambapo kwa kitaalamu huitwa mucus ambazo uchanganyika na mbegu za kiume na usaidia kusafilisha mbegu za kiume wakati wa kujamiiana.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1785

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 ai web app     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi

Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi

Soma Zaidi...
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi

Soma Zaidi...
Pilipili kali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za pilipili kali

Soma Zaidi...