picha

Maumivu ya kiuno na dalili zake

Posti hii inahusu zaidi maumivu ya kiuno na dalili zake, ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno na kusababisha madhara mbalimbali katika mwili,

Zifuatazo ni dalili za maambukizi kwenye kiuno.

1. Maumivu makali wakati wa kuinama, haya ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno iwapo mtu akiinama chini, hii utokea pale ambapo pingili zinazozunguka kiuno kuanza kutumia ,na hii usababishwa na Maambukizi kwenye kiuno au wakati mwingine ni kwa sababu ya mifupa ya kwenye kiuno kulegea na kusababisha maumivu wakati wa kuinama.

 

2.Maumivu makali kwenye kiuno wakati wa kunyanyua kitu hasa vitu vizito, maumivu ya kiuno utokea hasa pale mtu anaponyanyua vitu vizito, hii utokea kwa sababu kwenye kiuno ambapo maambukizi usababisha mifupa kulegea na kusababisha maumivu wakati wa kubeba vitu vizito kwa hiyo tunapaswa kuachana na hali ya kubeba vitu vizito tuwe na desturi ya kubeba vitu vyenye uzito kidogo.

 

3. Watu wenye matatizo ya maambukizi kwenye kiuno ujikuta Wanakuwa na ganzi kwenye miguu au sehemu nyingine Ila kwenye miguu ni kwa kiasi kikubwa hii ni kwa sababu pingili ambazo zina maambukizi ukandamiza  mishipa ya fahamu na hivyo kusababisha damu kusafiri kwa shida atimaye ganzi uonekana kwenye sehemu za miguu au kwinginekwa kwa sababu ya maambukizi kwenye kiuno.

 

4.Maumivu  makali wakati wa baridi au wakati wa asubuhi, hii utokea wakati wa asubuhi ambapo misuli huwa imebana sana kwa sababu ya kupata joto kwa hiyo na mifupa yenye maambukizi pia uguswa na kusinyaa kw misuli hatimaye mtu usikia maumivu makali wakati wa baridi na hivyo kumpelekea mgonjwa kukosa amani hasa wakati wa baridi.

 

5.Maumuvu wakati wa kusimama na wakati wa kukaa, haya ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno ambapo kwa sababu ya maambukizi kwenye kiuno mifupa ulegea na kusababisha maumivu wakati wa kukaa na kusimama, kwa sababu ya kulegea kwa mifupa iliyomo kwenye kiuno usababisha maumivu makali.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3258

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 web hosting    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu

Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.

Soma Zaidi...
MTAMBUE MDUDU MBU ILI UWEZE KUJIKINGA NA UGONJWA WA MALARIA (yajuwe maajabu makubwa ya mdudu mbu)

Mbu ni katika wadudu wanaopatikana maeneo yenye joto hususan maeneo ynye hali ya hewa ya kitropik.

Soma Zaidi...
Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo

Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.

Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.

Soma Zaidi...
YAMINYOO NA ATHARI ZAO KIAF

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Je daktari hizo dalili zamwanzo za HIV hazioneshi kama mwili kupungua

Dalili za HIV zina utofauti na dalili za UKIMWI. Kwani HIV huwezakuonyesha dalili wiki ya pili hadi ya sita baada ya kuathirika kisha zinapotea, lakini dalili za UKIMWI huwezakutokea baada ya miaka 5 hadi 10.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama

Soma Zaidi...
Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.

Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo

Soma Zaidi...
Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)

Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.

Soma Zaidi...