Maumivu ya kiuno na dalili zake

Posti hii inahusu zaidi maumivu ya kiuno na dalili zake, ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno na kusababisha madhara mbalimbali katika mwili,

Zifuatazo ni dalili za maambukizi kwenye kiuno.

1. Maumivu makali wakati wa kuinama, haya ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno iwapo mtu akiinama chini, hii utokea pale ambapo pingili zinazozunguka kiuno kuanza kutumia ,na hii usababishwa na Maambukizi kwenye kiuno au wakati mwingine ni kwa sababu ya mifupa ya kwenye kiuno kulegea na kusababisha maumivu wakati wa kuinama.

 

2.Maumivu makali kwenye kiuno wakati wa kunyanyua kitu hasa vitu vizito, maumivu ya kiuno utokea hasa pale mtu anaponyanyua vitu vizito, hii utokea kwa sababu kwenye kiuno ambapo maambukizi usababisha mifupa kulegea na kusababisha maumivu wakati wa kubeba vitu vizito kwa hiyo tunapaswa kuachana na hali ya kubeba vitu vizito tuwe na desturi ya kubeba vitu vyenye uzito kidogo.

 

3. Watu wenye matatizo ya maambukizi kwenye kiuno ujikuta Wanakuwa na ganzi kwenye miguu au sehemu nyingine Ila kwenye miguu ni kwa kiasi kikubwa hii ni kwa sababu pingili ambazo zina maambukizi ukandamiza  mishipa ya fahamu na hivyo kusababisha damu kusafiri kwa shida atimaye ganzi uonekana kwenye sehemu za miguu au kwinginekwa kwa sababu ya maambukizi kwenye kiuno.

 

4.Maumivu  makali wakati wa baridi au wakati wa asubuhi, hii utokea wakati wa asubuhi ambapo misuli huwa imebana sana kwa sababu ya kupata joto kwa hiyo na mifupa yenye maambukizi pia uguswa na kusinyaa kw misuli hatimaye mtu usikia maumivu makali wakati wa baridi na hivyo kumpelekea mgonjwa kukosa amani hasa wakati wa baridi.

 

5.Maumuvu wakati wa kusimama na wakati wa kukaa, haya ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno ambapo kwa sababu ya maambukizi kwenye kiuno mifupa ulegea na kusababisha maumivu wakati wa kukaa na kusimama, kwa sababu ya kulegea kwa mifupa iliyomo kwenye kiuno usababisha maumivu makali.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2787

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Sababu za Kuvimba kwa kope.

Post hii inazungumzia kuhusiana na Sababu zinazopelekea kuvimba kwa kope, kawaida huhusisha sehemu ya kope ambapo kope hukua na kuathiri kope zote mbili. Pia hutokea wakati tezi ndogo za mafuta ziko karibu na msingi wa kope huziba. Hii inasababisha kuw

Soma Zaidi...
Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Ikiachwa bila kutibiwa, Kipindupindu kinaweza kusababisha kifo kwa muda wa saa chache, hata kwa watu walioku

Soma Zaidi...
Namna madonda koo yanavyotokea

Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu.

Soma Zaidi...
Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?

Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababu❔

Soma Zaidi...
Dalili za upotevu wa kusikia

posti hii inazungumzia kuhusiana na Upotevu wa kusikia unaotokea hatua kwa hatua kadri umri unavyozeeka (presbycusis) ni jambo la kawaida. T Kwa wale walio na umri wa zaidi ya miaka 75, idadi ya watu walio na  upotezaji wa kusikia inakaribia 1 kati y

Soma Zaidi...
DALILI ZA HOMA YA BONDE LA UFA (RVFD) NA INAVYOSAMBAZWA.

Homa hii inapatikana katika maeneo ya bonde la ufa barani Afrika na na Mashariki ya kati.

Soma Zaidi...
dalili za Uvimbe kwwnye jicho (sty)

Sty ni uvimbe mwekundu, chungu karibu na ukingo wa kope ambalo linaweza kuonekana kama jipu au chunusi. Sties mara nyingi hujazwa na usaha. Mtindo kawaida huunda nje ya kope lako. Lakini wakati mwingine inaweza kuunda kwenye sehemu ya ndani ya kope lak

Soma Zaidi...
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,

Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...