Maumivu ya kiuno na dalili zake

Posti hii inahusu zaidi maumivu ya kiuno na dalili zake, ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno na kusababisha madhara mbalimbali katika mwili,

Zifuatazo ni dalili za maambukizi kwenye kiuno.

1. Maumivu makali wakati wa kuinama, haya ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno iwapo mtu akiinama chini, hii utokea pale ambapo pingili zinazozunguka kiuno kuanza kutumia ,na hii usababishwa na Maambukizi kwenye kiuno au wakati mwingine ni kwa sababu ya mifupa ya kwenye kiuno kulegea na kusababisha maumivu wakati wa kuinama.

 

2.Maumivu makali kwenye kiuno wakati wa kunyanyua kitu hasa vitu vizito, maumivu ya kiuno utokea hasa pale mtu anaponyanyua vitu vizito, hii utokea kwa sababu kwenye kiuno ambapo maambukizi usababisha mifupa kulegea na kusababisha maumivu wakati wa kubeba vitu vizito kwa hiyo tunapaswa kuachana na hali ya kubeba vitu vizito tuwe na desturi ya kubeba vitu vyenye uzito kidogo.

 

3. Watu wenye matatizo ya maambukizi kwenye kiuno ujikuta Wanakuwa na ganzi kwenye miguu au sehemu nyingine Ila kwenye miguu ni kwa kiasi kikubwa hii ni kwa sababu pingili ambazo zina maambukizi ukandamiza  mishipa ya fahamu na hivyo kusababisha damu kusafiri kwa shida atimaye ganzi uonekana kwenye sehemu za miguu au kwinginekwa kwa sababu ya maambukizi kwenye kiuno.

 

4.Maumivu  makali wakati wa baridi au wakati wa asubuhi, hii utokea wakati wa asubuhi ambapo misuli huwa imebana sana kwa sababu ya kupata joto kwa hiyo na mifupa yenye maambukizi pia uguswa na kusinyaa kw misuli hatimaye mtu usikia maumivu makali wakati wa baridi na hivyo kumpelekea mgonjwa kukosa amani hasa wakati wa baridi.

 

5.Maumuvu wakati wa kusimama na wakati wa kukaa, haya ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno ambapo kwa sababu ya maambukizi kwenye kiuno mifupa ulegea na kusababisha maumivu wakati wa kukaa na kusimama, kwa sababu ya kulegea kwa mifupa iliyomo kwenye kiuno usababisha maumivu makali.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3175

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Matatizo ya mapigo ya moyo

posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k

Soma Zaidi...
Dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kuishiwa damu

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.

Soma Zaidi...
Dawa za kutuliza maumivu na kazi zake

Post hii inahusu zaidi dawa za kupunguza maumivu na kazi zake, ni dawa ambazo upunguza maumivu kwenye mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Dalili za tonsillitis (mafindo mafindo)

Tonsillitis kwa kiswahili hujulikana kama mafundomafundo ambayo hutokea pande mbili karibu na Koo na huwa na uvimbe na zikikaa kwa muda bila matibabu hutoa usaha.Dalili na dalili za ugonjwa wa tonsillitis ni pamoja na

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Vyanzo vya sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Kucha langu LA mguu linang'ooka...nini chaweza kuwa tatizo

Je na wewe unasumbukiwa na kunggoka jwa kucha. Tatizo limekunaza una muda gani nalo?

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI huonekana baada ya muda gani

Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo

hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...