PHP somo la 75: Content-Type Header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Content-Type Header
Hii ni aina ya header abayo inatoa taarifa kwenye device ya client kuhusu maudhui (content) yanayotumwa kutoka kwenye http header. Hii ni muhimu kwa sababi kila content inakuna na namna yake jinsi ya kuitumia. Browser zinahitaji kueewa aina ya contente hiyo. Kama ni video, html, image, pdf na zaidi.
Ili kuweza kuangalia ama kutumia content header utatumia header() function. Ndani yake utaweka utaweka keyword Content-Type ambapo kitaalamu inaitwa HTTP header field itafiatailwa na value za hiyo field. Mfano kama ni html itaandikwa header('Content-Type: text/html') tutajifunza zaidi hapo mbele.
Content type headers zinaweza kuwa:-
-
Html document hii huwakilishwa kwa
header('Content-Type: text/html') -
JSON Data huwakilishwa kwa
header('Content-Type: application/json'); -
Plain text huwakilishwa kwa
header('Content-Type: text/plain'); -
XML Data huwakilishwa kwa
header('Content-Type: application/xml'); -
Form Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/x-www-form-urlencoded'); kama ni njia ya post. Na kama Ndani ya form hiyo kuna faili ambalo linakwenda kuwa uploaded, tutatumia
header('Content-Type: multipart/form-data'); -
Images huwakilishwa kwa
header('Content-Type: image/jpeg');
header('Content-Type: image/png'); utaongeza aina ya picha husika.
-
Kwa taarifa za content yinginezo kama pdf, javascript na zaidi ya hapo utatumia tu
header('Content-Type: application/aina ya faili'); mfanoheader('Content-Type: application/zip'); -
Video na audio ni kama huwakilishw akwa
header('Content-Type: video/mp4');auheader('Content-Type: audio/mpeg');
Unaweza kurejea somo lililotangulia kuifunza jinsi ya kupata taarifa za header. Kisha tumia somo hili ili kuweza kujuwa aina ya content...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 web hosting 👉4 ai web app 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php
Soma Zaidi...PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post
Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json
Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...