PHP somo la 75: Content-Type Header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Content-Type Header
Hii ni aina ya header abayo inatoa taarifa kwenye device ya client kuhusu maudhui (content) yanayotumwa kutoka kwenye http header. Hii ni muhimu kwa sababi kila content inakuna na namna yake jinsi ya kuitumia. Browser zinahitaji kueewa aina ya contente hiyo. Kama ni video, html, image, pdf na zaidi.
Ili kuweza kuangalia ama kutumia content header utatumia header() function. Ndani yake utaweka utaweka keyword Content-Type ambapo kitaalamu inaitwa HTTP header field itafiatailwa na value za hiyo field. Mfano kama ni html itaandikwa header('Content-Type: text/html') tutajifunza zaidi hapo mbele.
Content type headers zinaweza kuwa:-
-
Html document hii huwakilishwa kwa
header('Content-Type: text/html') -
JSON Data huwakilishwa kwa
header('Content-Type: application/json'); -
Plain text huwakilishwa kwa
header('Content-Type: text/plain'); -
XML Data huwakilishwa kwa
header('Content-Type: application/xml'); -
Form Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/x-www-form-urlencoded'); kama ni njia ya post. Na kama Ndani ya form hiyo kuna faili ambalo linakwenda kuwa uploaded, tutatumia
header('Content-Type: multipart/form-data'); -
Images huwakilishwa kwa
header('Content-Type: image/jpeg');
header('Content-Type: image/png'); utaongeza aina ya picha husika.
-
Kwa taarifa za content yinginezo kama pdf, javascript na zaidi ya hapo utatumia tu
header('Content-Type: application/aina ya faili'); mfanoheader('Content-Type: application/zip'); -
Video na audio ni kama huwakilishw akwa
header('Content-Type: video/mp4');auheader('Content-Type: audio/mpeg');
Unaweza kurejea somo lililotangulia kuifunza jinsi ya kupata taarifa za header. Kisha tumia somo hili ili kuweza kujuwa aina ya content...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env
Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...