picha

PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Content-Type Header

Hii ni aina ya header abayo inatoa taarifa kwenye device ya client kuhusu maudhui (content) yanayotumwa kutoka kwenye http header. Hii ni muhimu kwa sababi kila content inakuna na namna yake jinsi ya kuitumia. Browser zinahitaji kueewa aina ya contente hiyo. Kama ni video, html, image, pdf na zaidi.

 

Ili kuweza kuangalia ama kutumia content header utatumia header() function. Ndani yake utaweka utaweka keyword Content-Type ambapo kitaalamu inaitwa HTTP header field itafiatailwa na value za hiyo field. Mfano kama ni html itaandikwa header('Content-Type: text/html') tutajifunza zaidi hapo mbele.

 

Content type headers zinaweza kuwa:-

  1. Html document hii huwakilishwa kwa header('Content-Type: text/html')

  2. JSON Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/json');

  3. Plain text huwakilishwa kwa header('Content-Type: text/plain');

  4. XML Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/xml');

  5. Form Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/x-www-form-urlencoded'); kama ni njia ya post. Na kama Ndani ya form hiyo kuna faili ambalo linakwenda kuwa uploaded, tutatumia header('Content-Type: multipart/form-data');

  6. Images huwakilishwa kwa header('Content-Type: image/jpeg');

header('Content-Type: image/png'); utaongeza aina ya picha husika.

  1. Kwa taarifa za content yinginezo kama pdf, javascript na zaidi ya hapo utatumia tu header('Content-Type: application/aina ya faili'); mfano header('Content-Type: application/zip');

  2. Video na audio ni kama huwakilishw akwa header('Content-Type: video/mp4'); au header('Content-Type: audio/mpeg');

 

Unaweza kurejea somo lililotangulia kuifunza jinsi ya kupata taarifa za header. Kisha tumia somo hili ili kuweza kujuwa aina ya content...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-07-10 21:34:55 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 1084

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

Soma Zaidi...
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...