picha

PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Content-Type Header

Hii ni aina ya header abayo inatoa taarifa kwenye device ya client kuhusu maudhui (content) yanayotumwa kutoka kwenye http header. Hii ni muhimu kwa sababi kila content inakuna na namna yake jinsi ya kuitumia. Browser zinahitaji kueewa aina ya contente hiyo. Kama ni video, html, image, pdf na zaidi.

 

Ili kuweza kuangalia ama kutumia content header utatumia header() function. Ndani yake utaweka utaweka keyword Content-Type ambapo kitaalamu inaitwa HTTP header field itafiatailwa na value za hiyo field. Mfano kama ni html itaandikwa header('Content-Type: text/html') tutajifunza zaidi hapo mbele.

 

Content type headers zinaweza kuwa:-

  1. Html document hii huwakilishwa kwa header('Content-Type: text/html')

  2. JSON Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/json');

  3. Plain text huwakilishwa kwa header('Content-Type: text/plain');

  4. XML Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/xml');

  5. Form Data huwakilishwa kwa header('Content-Type: application/x-www-form-urlencoded'); kama ni njia ya post. Na kama Ndani ya form hiyo kuna faili ambalo linakwenda kuwa uploaded, tutatumia header('Content-Type: multipart/form-data');

  6. Images huwakilishwa kwa header('Content-Type: image/jpeg');

header('Content-Type: image/png'); utaongeza aina ya picha husika.

  1. Kwa taarifa za content yinginezo kama pdf, javascript na zaidi ya hapo utatumia tu header('Content-Type: application/aina ya faili'); mfano header('Content-Type: application/zip');

  2. Video na audio ni kama huwakilishw akwa header('Content-Type: video/mp4'); au header('Content-Type: audio/mpeg');

 

Unaweza kurejea somo lililotangulia kuifunza jinsi ya kupata taarifa za header. Kisha tumia somo hili ili kuweza kujuwa aina ya content...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-07-10 21:34:55 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 996

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 web hosting     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...