Vitamini na kazi zake

Vitamini na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.

Download Post hii hapa

Vitamini na kazi zake

1.Vitamini A

Hii ni Aina ya vitamini ambapo kazi yake kubwa usaidia kwenye kuona, kutengeneza Ute, kuungarisha mifupa na meno pia, kuzaliana na kuongeza kinga mwilini.kwa hiyo kazi ya vitamini A ni kubwa sana mwilini kama tulivyoona hapo juu.

 

vitamini A upatikana kwenye wanyama mfano nyama, maini, na maziwa, tena upatikana kwenye matunda na mamboga mboga ya majani, pia kwenye mafuta ya mawese na mizeituni tena upatikana kwenye mahindi ya njano, na kwenye viazi vya njano na vyakula vingine mbalimbali.

 

Ukosefu wa vitamin A usababisha mtu kuwa kopofu, matatizo kwenye lymp node na kwenye ngozi maambukizi ya kila ugonjwa  na kukua kunaleta sihida hasa kwa watoto kudumaa, kwa hiyo tunaona hatari iliyopo kwenye kukosa vitamini A kunavyoweza kuleta matatizo mengi na ya hatari kw hiyo tunapaswa kula vyakula vyenye vitamini A kwa wingi.

 

2. Vitamini D

Vitamini D usaidia katika shughuli mbalimbali kama ifuayavyo, katika kutengeneza na kuimarisha mifupa na meno, kazi ya vitamini D ni kubwa sana hasa kwa mifupa bila vitamini D mifupa uweza kuwa laini na hali hii usababisha magonjwa ya viungo na mgongo kwa sababu ya kuishiwa Vitamini D mwilini.

 

Vitamini D utokana na mwanga wa jua kwenye mwili hasa hasa jua la asubuhi Lina wingi wa vitamini D kuliko jua lingine kwa hiyo ndo maana watu upenda sana kuota jua la asubuhi Ili kuongeza vitamini D mwilini.na samaki,maini,mayai,nyama, cheese na maziwa navyonuongeza kiasi Cha wingi wa vitamini D mwilini.

 

Ukosefu wa vitamin D usababisha mifupa kuwa milaini hali ambayo usababisha maambukizi kwenye mifupa kwa hiyo hali hii upelekea maumivu kwenye kiuno, mgongo na sehey nyingine nyingi za mwili, na pia Ukosefu wa vitamini D usababisha meno kuoza na kusababisha madhara makubwa kwenye  kinywa na Maambukizi mbalimbali ujitokeza.

 

 

3.Vitamini E

Ni vitamini ambavyo usaidia kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo,usababisha watu kuwa na uwezo wa kuzaliana, tena usaidia kutengeneza haemoglobin ambayo usaidia kubeba damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na pia usaidia kama Antioxidant kwenye mwili.

 

vitamini E upatikana kwenye mamboga mboga ya majani kama vile kabeji, mchicha, chainizi,na mboga zote za majani,pia pengine ambapo upatikana kwenye maharage, kunde,njegere, njugu Mawe, karanga na kwenye soya beans pote tunapata vitamini E kwa hiyo kwenye vitu ambapo vitamini E utoka tumeona kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula hivyo.

 

kwa hiyo tusipopata vitamini E tunaaweza kupata magonjwa ya macho ambayo yanaweza kuleta shida katika maisha yetu hasa kwa watoto wadogo wanapaswa kupata vitamini E Ili kuzuia uharibifu wa macho ambao unaweza kuleta shida kwenye maisha yetu.

 

4,Vitamini K 

Ni vitamini ambavyo usaidia katika mwili wa binadamu kama ifuayavyo, kusaidia damu kuganda pale mtu akipata jeraha damu utoka kama Kuna upungufu wa vitamini K damu uendelee kutoka na kusababisha magonjwa nyemelezi kama Vile Anaemia lakini kama Kuna vitamini K damu utoka na baadae vitamini K usaidia damu hiyo kuganda na Mtu hawezi kupata Anaemia.

 

vitamini K upatikana kwa wingi katika vyakula mbalimbali kama vile kwenyemboga za majani na Vitamini K utengenezwa na bakteria kwenye utumbo mkubwa na mdogo Aina hii tunaaweza kusema kwamba mwili ujitengenezea vitamini K kutokana na bakteria kwenye mwili. Kama hakuna vitamini K mtu kwenye mwili wa binadamu mtu ana hatari ya kupoteza damu kwa wingi na kusababisha Anaemia.

 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2003

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kula Palachichi
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)
Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope

Soma Zaidi...
Faida za kula Embe
Faida za kula Embe

Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas
Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas

Soma Zaidi...
Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi
Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi

Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)

Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya

Soma Zaidi...
Faida za kula Faida za kula Boga
Faida za kula Faida za kula Boga

Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za spinachi
Faida za kiafya za spinachi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...
HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI
HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI

Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.

Soma Zaidi...