Vitamini na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.

Vitamini na kazi zake

1.Vitamini A

Hii ni Aina ya vitamini ambapo kazi yake kubwa usaidia kwenye kuona, kutengeneza Ute, kuungarisha mifupa na meno pia, kuzaliana na kuongeza kinga mwilini.kwa hiyo kazi ya vitamini A ni kubwa sana mwilini kama tulivyoona hapo juu.

 

vitamini A upatikana kwenye wanyama mfano nyama, maini, na maziwa, tena upatikana kwenye matunda na mamboga mboga ya majani, pia kwenye mafuta ya mawese na mizeituni tena upatikana kwenye mahindi ya njano, na kwenye viazi vya njano na vyakula vingine mbalimbali.

 

Ukosefu wa vitamin A usababisha mtu kuwa kopofu, matatizo kwenye lymp node na kwenye ngozi maambukizi ya kila ugonjwa  na kukua kunaleta sihida hasa kwa watoto kudumaa, kwa hiyo tunaona hatari iliyopo kwenye kukosa vitamini A kunavyoweza kuleta matatizo mengi na ya hatari kw hiyo tunapaswa kula vyakula vyenye vitamini A kwa wingi.

 

2. Vitamini D

Vitamini D usaidia katika shughuli mbalimbali kama ifuayavyo, katika kutengeneza na kuimarisha mifupa na meno, kazi ya vitamini D ni kubwa sana hasa kwa mifupa bila vitamini D mifupa uweza kuwa laini na hali hii usababisha magonjwa ya viungo na mgongo kwa sababu ya kuishiwa Vitamini D mwilini.

 

Vitamini D utokana na mwanga wa jua kwenye mwili hasa hasa jua la asubuhi Lina wingi wa vitamini D kuliko jua lingine kwa hiyo ndo maana watu upenda sana kuota jua la asubuhi Ili kuongeza vitamini D mwilini.na samaki,maini,mayai,nyama, cheese na maziwa navyonuongeza kiasi Cha wingi wa vitamini D mwilini.

 

Ukosefu wa vitamin D usababisha mifupa kuwa milaini hali ambayo usababisha maambukizi kwenye mifupa kwa hiyo hali hii upelekea maumivu kwenye kiuno, mgongo na sehey nyingine nyingi za mwili, na pia Ukosefu wa vitamini D usababisha meno kuoza na kusababisha madhara makubwa kwenye  kinywa na Maambukizi mbalimbali ujitokeza.

 

 

3.Vitamini E

Ni vitamini ambavyo usaidia kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo,usababisha watu kuwa na uwezo wa kuzaliana, tena usaidia kutengeneza haemoglobin ambayo usaidia kubeba damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na pia usaidia kama Antioxidant kwenye mwili.

 

vitamini E upatikana kwenye mamboga mboga ya majani kama vile kabeji, mchicha, chainizi,na mboga zote za majani,pia pengine ambapo upatikana kwenye maharage, kunde,njegere, njugu Mawe, karanga na kwenye soya beans pote tunapata vitamini E kwa hiyo kwenye vitu ambapo vitamini E utoka tumeona kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula hivyo.

 

kwa hiyo tusipopata vitamini E tunaaweza kupata magonjwa ya macho ambayo yanaweza kuleta shida katika maisha yetu hasa kwa watoto wadogo wanapaswa kupata vitamini E Ili kuzuia uharibifu wa macho ambao unaweza kuleta shida kwenye maisha yetu.

 

4,Vitamini K 

Ni vitamini ambavyo usaidia katika mwili wa binadamu kama ifuayavyo, kusaidia damu kuganda pale mtu akipata jeraha damu utoka kama Kuna upungufu wa vitamini K damu uendelee kutoka na kusababisha magonjwa nyemelezi kama Vile Anaemia lakini kama Kuna vitamini K damu utoka na baadae vitamini K usaidia damu hiyo kuganda na Mtu hawezi kupata Anaemia.

 

vitamini K upatikana kwa wingi katika vyakula mbalimbali kama vile kwenyemboga za majani na Vitamini K utengenezwa na bakteria kwenye utumbo mkubwa na mdogo Aina hii tunaaweza kusema kwamba mwili ujitengenezea vitamini K kutokana na bakteria kwenye mwili. Kama hakuna vitamini K mtu kwenye mwili wa binadamu mtu ana hatari ya kupoteza damu kwa wingi na kusababisha Anaemia.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2068

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za kula Tangawizi

tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi

Soma Zaidi...
Faida za kula Faida za kula Boga

Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
Dawa ya kiungulia na njia za kuzuia kiungulia

utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu

Soma Zaidi...
vitamini B na makundi yake

Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Soma Zaidi...