Kazi za madini ya Shaba mwilini.

Kazi za madini ya Shaba mwilini.

Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kazi za madini ya Shaba mwilini.

1.Madini ya Shaba usaidia kutengeneza chembechembe za damu ambazo usaidia kulinda mwili kutokana na magonjwa kwa hiyo tunapaswa kula vyakula vyenye madini ya chuma Ili tuweze kujenga kinga ya mwili.

 

2.Madini ya Shaba usaidia kupunguza kiasi Cha kolestrol kwenye mwili, tunajua kuwa kuongezeka kwa kolesrol kwenye mwili usababisha madhara mbalimbali yanayoweza kuweka afya ya mwili kwenye hali ngumu kwa kuwepo madini ya Shaba kiasi Cha kolestrol kwenye mwili upungua 

 

3.Madini ya Shaba ulifanya mifupa kuwa Insta na isivunjike, tunajua kuwa kazi ya mifupa kwenye mwili wa binadamu ni kubwa mno, kwa ujumla nyama za mwili wa binadamu zimejishikisha kwenye mifupa kwa hiyo kazi ya mifupa ni kubwa mno katika mwili.

 

4.Madini ya Shaba ufanya kazi sana kwenye Neve za mwilini tunajua kabisa jazi za nerve ni kubwa mno mwilini bila nerve mawasiliano kutoka sehemu Moja kwenda nyingine ni shida kwa hiyo tunaona nerve zilizo na kazi kubwa mwilini so tunapaswa kutumia sana vyakula vya madini ya Shaba mwilini.

 

5. Madini ya chuma usaidia pia kwenye moyo na ubongo , kwa hiyo matumizi ya madini ya Shaba ni makubwa mno kwenye moyo na ubongo, kwa hiyo tunajua wazi kazi kubwa za ubongo na moyo kwa kufanya hivyo tunaweza kufanya system ya mwili kuwa vizuri.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3041

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za kula maini
Faida za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Faida za ubuyu
Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mihogo
Faida za kiafya za kula mihogo

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo

Soma Zaidi...
Faida za mchai chai
Faida za mchai chai

Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.

Soma Zaidi...
Faida za nazi
Faida za nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi
Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua

Soma Zaidi...
Je miwa ina madhara yoyote?
Je miwa ina madhara yoyote?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA
VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...