image

Kazi za madini ya Shaba mwilini.

Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo

Kazi za madini ya Shaba mwilini.

1.Madini ya Shaba usaidia kutengeneza chembechembe za damu ambazo usaidia kulinda mwili kutokana na magonjwa kwa hiyo tunapaswa kula vyakula vyenye madini ya chuma Ili tuweze kujenga kinga ya mwili.

 

2.Madini ya Shaba usaidia kupunguza kiasi Cha kolestrol kwenye mwili, tunajua kuwa kuongezeka kwa kolesrol kwenye mwili usababisha madhara mbalimbali yanayoweza kuweka afya ya mwili kwenye hali ngumu kwa kuwepo madini ya Shaba kiasi Cha kolestrol kwenye mwili upungua 

 

3.Madini ya Shaba ulifanya mifupa kuwa Insta na isivunjike, tunajua kuwa kazi ya mifupa kwenye mwili wa binadamu ni kubwa mno, kwa ujumla nyama za mwili wa binadamu zimejishikisha kwenye mifupa kwa hiyo kazi ya mifupa ni kubwa mno katika mwili.

 

4.Madini ya Shaba ufanya kazi sana kwenye Neve za mwilini tunajua kabisa jazi za nerve ni kubwa mno mwilini bila nerve mawasiliano kutoka sehemu Moja kwenda nyingine ni shida kwa hiyo tunaona nerve zilizo na kazi kubwa mwilini so tunapaswa kutumia sana vyakula vya madini ya Shaba mwilini.

 

5. Madini ya chuma usaidia pia kwenye moyo na ubongo , kwa hiyo matumizi ya madini ya Shaba ni makubwa mno kwenye moyo na ubongo, kwa hiyo tunajua wazi kazi kubwa za ubongo na moyo kwa kufanya hivyo tunaweza kufanya system ya mwili kuwa vizuri.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2478


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Faida za kula Tufaha (epo)
Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya? Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kunywa maziwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa Soma Zaidi...

Dawa ya kiungulia na njia za kuzuia kiungulia
utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia. Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin D
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Zaituni
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...

Kazi za protini mwilini ni zipi?
Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini Soma Zaidi...

Nanasi (pineapple)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula nanasi Soma Zaidi...

Vyakula vyenye protini kwa wingi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi Soma Zaidi...

Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini
vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu Soma Zaidi...

ijuwe namna ya kufanya ihram na Vazi la ihram
Soma Zaidi...