Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Kazi za madini ya Shaba mwilini.
1.Madini ya Shaba usaidia kutengeneza chembechembe za damu ambazo usaidia kulinda mwili kutokana na magonjwa kwa hiyo tunapaswa kula vyakula vyenye madini ya chuma Ili tuweze kujenga kinga ya mwili.
2.Madini ya Shaba usaidia kupunguza kiasi Cha kolestrol kwenye mwili, tunajua kuwa kuongezeka kwa kolesrol kwenye mwili usababisha madhara mbalimbali yanayoweza kuweka afya ya mwili kwenye hali ngumu kwa kuwepo madini ya Shaba kiasi Cha kolestrol kwenye mwili upungua
3.Madini ya Shaba ulifanya mifupa kuwa Insta na isivunjike, tunajua kuwa kazi ya mifupa kwenye mwili wa binadamu ni kubwa mno, kwa ujumla nyama za mwili wa binadamu zimejishikisha kwenye mifupa kwa hiyo kazi ya mifupa ni kubwa mno katika mwili.
4.Madini ya Shaba ufanya kazi sana kwenye Neve za mwilini tunajua kabisa jazi za nerve ni kubwa mno mwilini bila nerve mawasiliano kutoka sehemu Moja kwenda nyingine ni shida kwa hiyo tunaona nerve zilizo na kazi kubwa mwilini so tunapaswa kutumia sana vyakula vya madini ya Shaba mwilini.
5. Madini ya chuma usaidia pia kwenye moyo na ubongo , kwa hiyo matumizi ya madini ya Shaba ni makubwa mno kwenye moyo na ubongo, kwa hiyo tunajua wazi kazi kubwa za ubongo na moyo kwa kufanya hivyo tunaweza kufanya system ya mwili kuwa vizuri.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)
Soma Zaidi...Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...