Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.

Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.

Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.

Download Post hii hapa

Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake.

1. Kwanza kabisa kabisa Maambukizi kwenye ovari usababishwa na bakteria kwa kawaida maambukizi utokea kwenye pelvis ambayo kwa kitaalamu huitwa PID,  haya magonjwa uwakumba sana wanawake na kwa siku hizi ni mengi sana ambapo kwa kiasi kikubwa utokana kwa sababu ya kujamiiana ambapo bakteria utokana na mtu ambaye ana ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa.

 

2. Dalili zake  kubwa ni maumivu chini ya kitovu na kwenye pelvis , hali hii hutokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo usababishwa na bakteria, na pia mgonjwa uhisi maumivu wakati wa kujamiiana na wakati wa kukojoa kwa hiyo Mgonjwa akihisi dalili kama hizo anapaswa kuwahi kwenda hospitalini  mara moja.

 

3. Na Dalili nyingine ni pale  Mgonjwa akifikia siku zake za mwezi damu ambayo utokea ni nzito sana kuliko kawaida na pengine inatoka kama mabonge mabonge na hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi, na pengine mama anaweza kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja kwa mwezi kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizo ni lazima kwenda hospitalini  mara moja.

 

4. Na kwa wakati mwingine uchafu utoka kwenye uke ukiwa na harufu mbaya na  kufanya mama kujisikia vibaya na pengine homa inaweza kushuka au kupanda ambayo uambatana na kutapika na kutetemeka kwa mgonjwa kwa hiyo Mgonjwa hapaswi kunyamazia hali hii ila alitubu mara moja kwa kufuata maagizo ya daktari na wataalamu wengine wa afya.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1290

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?
Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?

Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.

Soma Zaidi...
Madhara ya fangasi ukeni.
Madhara ya fangasi ukeni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema.

Soma Zaidi...
Changamoto za ujauzito
Changamoto za ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu

Soma Zaidi...
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.

Soma Zaidi...
Habari, naomba kuulizia, nimadhara gani atayapata mwanamke akitolewa bikra bila kukusudia
Habari, naomba kuulizia, nimadhara gani atayapata mwanamke akitolewa bikra bila kukusudia

Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?

Soma Zaidi...
Namna ya kumpima mtoto uzito
Namna ya kumpima mtoto uzito

Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.

Soma Zaidi...
Siku za kupata ujauzito
Siku za kupata ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata ujauzito

Soma Zaidi...
Dalili za kifafa cha mimba.
Dalili za kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Dalili za kujifungua hatua kwa hatua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Ni vipi nitagundua kuwa nina ujauzito?
Ni vipi nitagundua kuwa nina ujauzito?

Hali ya ujauzito huanza kutabirika Mara tu ya kujamiana, pia chemikali (hormon) za mwili huanza mchakato wa kuongeza na kupunguza utendaji kazi wa kemikali hizo mfano.follical stimulating hormon (FSH) na lutenazing hormon kuivisha yai tayari kwa kutengen

Soma Zaidi...