Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake.
1. Kwanza kabisa kabisa Maambukizi kwenye ovari usababishwa na bakteria kwa kawaida maambukizi utokea kwenye pelvis ambayo kwa kitaalamu huitwa PID, haya magonjwa uwakumba sana wanawake na kwa siku hizi ni mengi sana ambapo kwa kiasi kikubwa utokana kwa sababu ya kujamiiana ambapo bakteria utokana na mtu ambaye ana ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa.
2. Dalili zake kubwa ni maumivu chini ya kitovu na kwenye pelvis , hali hii hutokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo usababishwa na bakteria, na pia mgonjwa uhisi maumivu wakati wa kujamiiana na wakati wa kukojoa kwa hiyo Mgonjwa akihisi dalili kama hizo anapaswa kuwahi kwenda hospitalini mara moja.
3. Na Dalili nyingine ni pale Mgonjwa akifikia siku zake za mwezi damu ambayo utokea ni nzito sana kuliko kawaida na pengine inatoka kama mabonge mabonge na hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi, na pengine mama anaweza kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja kwa mwezi kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizo ni lazima kwenda hospitalini mara moja.
4. Na kwa wakati mwingine uchafu utoka kwenye uke ukiwa na harufu mbaya na kufanya mama kujisikia vibaya na pengine homa inaweza kushuka au kupanda ambayo uambatana na kutapika na kutetemeka kwa mgonjwa kwa hiyo Mgonjwa hapaswi kunyamazia hali hii ila alitubu mara moja kwa kufuata maagizo ya daktari na wataalamu wengine wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.
Soma Zaidi...Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito, ni ugonjwa unaowapata sana akina mama wajawazito na uisha tu pale Mama anapojifungua kwa hiyo tunapaswa kujua wazi sababu za ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito.
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake.
Soma Zaidi...