Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

MAGONJWA YA KWENYE OVARI NA DALILI ZAKE.


image


Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.


Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake.

1. Kwanza kabisa kabisa Maambukizi kwenye ovari usababishwa na bakteria kwa kawaida maambukizi utokea kwenye pelvis ambayo kwa kitaalamu huitwa PID,  haya magonjwa uwakumba sana wanawake na kwa siku hizi ni mengi sana ambapo kwa kiasi kikubwa utokana kwa sababu ya kujamiiana ambapo bakteria utokana na mtu ambaye ana ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa.

 

2. Dalili zake  kubwa ni maumivu chini ya kitovu na kwenye pelvis , hali hii hutokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo usababishwa na bakteria, na pia mgonjwa uhisi maumivu wakati wa kujamiiana na wakati wa kukojoa kwa hiyo Mgonjwa akihisi dalili kama hizo anapaswa kuwahi kwenda hospitalini  mara moja.

 

3. Na Dalili nyingine ni pale  Mgonjwa akifikia siku zake za mwezi damu ambayo utokea ni nzito sana kuliko kawaida na pengine inatoka kama mabonge mabonge na hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi, na pengine mama anaweza kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja kwa mwezi kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizo ni lazima kwenda hospitalini  mara moja.

 

4. Na kwa wakati mwingine uchafu utoka kwenye uke ukiwa na harufu mbaya na  kufanya mama kujisikia vibaya na pengine homa inaweza kushuka au kupanda ambayo uambatana na kutapika na kutetemeka kwa mgonjwa kwa hiyo Mgonjwa hapaswi kunyamazia hali hii ila alitubu mara moja kwa kufuata maagizo ya daktari na wataalamu wengine wa afya.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 ICT       ðŸ‘‰    2 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Hadiythi za alif lela u lela    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Afya , ALL , Tarehe 2022/01/29/Saturday - 10:27:58 pm     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 788



Post Nyingine


image Dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kuishiwa damu
Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu. Soma Zaidi...

image Vipimo muhimu wakati wa ujauzito
Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake. Soma Zaidi...

image Je unaweza ukapona macho kama huoni vizuri kwa sababu ya vitamini A,
Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha. Soma Zaidi...

image Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Namna ya kumsaidia mtoto mwenye UTI
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI. Soma Zaidi...

image Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto. Soma Zaidi...

image Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima. Soma Zaidi...

image Ninashida Kuna mtu anaumwa pressure Kila anap pima Iko juu il mwil aumuumi at kidg n dawa anatumia unawez kunisaidiaj
Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu. Soma Zaidi...

image mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt
Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo. Soma Zaidi...

image Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa hiyo anapaswa kupewa huduma muhimu kama ifuatavyo. Soma Zaidi...