Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu
Kutoka kwa Abuu Abdir-Rahmaan Abdillaah Ibn 'Umar Ibn Al-Khattwaab (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) amesema: Nimemsikia Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: “Uislamu umejengwa kwa nguzo tano: Kukiri na kushuhudia kwamba hapana Muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah na Muhammad ni Rasuli Wake, kusimamisha Swalaah, kutoa Zaka na kuhiji Al-Bayt (Makkah) na kufunga swawm Ramadhwaan.”
[Al-Bukhaariy na Muslim]
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sunnah Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 350
Sponsored links
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Madrasa kiganjani
UHAKIKI WA HADITHI
Uhakiki wa Hadith za Mtume (s. Soma Zaidi...
kuwa na ikhlas
Ikhlas ni kufanya kila jambo jema kwa ajili ya Allah (s. Soma Zaidi...
ADABU ZA KUOMBA DUA
ADABU ZA KUOMBA DUA. Soma Zaidi...
Hadithi Ya 38: Anayeonyesha Uadui Kwa Rafiki Yangu Mtiifu Ninatangaza Vita Dhidi Yake
Soma Zaidi...
Hadithi Ya 27: Uadilifu Ni Tabia Nzuri
Soma Zaidi...
AL-ARBAUWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 4: Uumbwaji wa mwanadamu
HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake Soma Zaidi...
ADHKAR NA DUA
ADHKARI MBALIMBALI NA DUA Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Soma Zaidi...
ZIJUWE NAMNA ZA KUZUIA HASIRA, NA MADHARA YA HASIRA
28. Soma Zaidi...
Dua Sehemu ya 02
Zijuwe nyakati ambazo dua inakubaliwa kwa haraka zaidi. Zijuwe nyakati ambazo ukiomba dua hitakubaliwa. Soma Zaidi...
Hadithi Ya 37: Allaah Kaviandika Vitendo Vyema Na Vibaya
Soma Zaidi...