Al-Arbauwn An-Nawawiyyah hadithi ya 3: Nguzo za uislamu
Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu
عن أبي عَبْد٠الرَّØÙ’من٠عَبْد٠الله٠بن٠عÙمَرَ بن٠الخَطاب٠رَضيَ الله٠عنهÙما قال: Ø³ÙŽÙ…ÙØ¹Ù’ت٠رسÙولَ الله صلى الله عليه وسلم يقولÙ: ((بÙÙ†ÙŽÙŠ الإسلام٠على خَمْسÙ: شهادَة٠أَنْ لا إلهَ إلا الله٠وأَنَّ Ù…ØÙ…َّداً Ø±Ø³ÙˆÙ„Ù Ø§Ù„Ù„Ù‡ÙØŒ ÙˆØ¥Ù‚ÙŽØ§Ù…Ù Ø§Ù„ØµÙ‘ÙŽÙ„Ø§Ø©ÙØŒ ÙˆØ¥ÙŠØªÙŽØ§Ø¡Ù Ø§Ù„Ø²Ù‘ÙŽÙƒØ§Ø©ÙØŒ ÙˆØÙŽØ¬Ù‘Ù Ø§Ù„Ø¨ÙŽÙŠÙ’ØªÙØŒ وصَوْم٠رَمَضَانَ ))
Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙيّÙ
Kutoka kwa Abuu Abdir-Rahmaan Abdillaah Ibn 'Umar Ibn Al-Khattwaab (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) amesema: Nimemsikia Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: “Uislamu umejengwa kwa nguzo tano: Kukiri na kushuhudia kwamba hapana Muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah na Muhammad ni Rasuli Wake, kusimamisha Swalaah, kutoa Zaka na kuhiji Al-Bayt (Makkah) na kufunga swawm Ramadhwaan.”
[Al-Bukhaariy na Muslim]
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Dua Sehemu ya 01
Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?
Soma Zaidi...Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba
Nini kilichangia ongezeko la uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba.
Soma Zaidi...