Al-Arbauwn An-Nawawiyyah hadithi ya 3: Nguzo za uislamu
Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu
عن أبي عَبْد٠الرَّØÙ’من٠عَبْد٠الله٠بن٠عÙمَرَ بن٠الخَطاب٠رَضيَ الله٠عنهÙما قال: Ø³ÙŽÙ…ÙØ¹Ù’ت٠رسÙولَ الله صلى الله عليه وسلم يقولÙ: ((بÙÙ†ÙŽÙŠ الإسلام٠على خَمْسÙ: شهادَة٠أَنْ لا إلهَ إلا الله٠وأَنَّ Ù…ØÙ…َّداً Ø±Ø³ÙˆÙ„Ù Ø§Ù„Ù„Ù‡ÙØŒ ÙˆØ¥Ù‚ÙŽØ§Ù…Ù Ø§Ù„ØµÙ‘ÙŽÙ„Ø§Ø©ÙØŒ ÙˆØ¥ÙŠØªÙŽØ§Ø¡Ù Ø§Ù„Ø²Ù‘ÙŽÙƒØ§Ø©ÙØŒ ÙˆØÙŽØ¬Ù‘Ù Ø§Ù„Ø¨ÙŽÙŠÙ’ØªÙØŒ وصَوْم٠رَمَضَانَ ))
Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙيّÙ
Kutoka kwa Abuu Abdir-Rahmaan Abdillaah Ibn 'Umar Ibn Al-Khattwaab (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) amesema: Nimemsikia Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: “Uislamu umejengwa kwa nguzo tano: Kukiri na kushuhudia kwamba hapana Muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah na Muhammad ni Rasuli Wake, kusimamisha Swalaah, kutoa Zaka na kuhiji Al-Bayt (Makkah) na kufunga swawm Ramadhwaan.”
[Al-Bukhaariy na Muslim]
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 web hosting 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 web hosting 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Jinsi ya kuzuru makaburi na dua unazotakiwa kuzisoma ukiwa makaburini.
Posti hii inakwenda kukufundisha maneno unayotakiwa kuyasema unapozuru makaburi.
Soma Zaidi...Historia ya Imamu Bukhary Muandishi wa Hadithi za Mtume s.sa. w
Hii ni historia ya Imamu Bukhary pamoja na kitabu chake cha sahihul Bukhari.
Soma Zaidi...