Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
VYAKULA VYA VITAMINI E
1. Karanga
2. Palachichi
3. Maziwa
4. Samaki
5. Siagi
6. Viazi mbatata
7. Mchele
8. Siagi
9. Korosho
10. Spinachi
11. Alizeti
12. Mayai
13. Maini
14. Nyama
Kazi za vitamini E
1. Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
2. Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
3. Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
4. Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.
Soma Zaidi...