Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
VYAKULA VYA VITAMINI E
1. Karanga
2. Palachichi
3. Maziwa
4. Samaki
5. Siagi
6. Viazi mbatata
7. Mchele
8. Siagi
9. Korosho
10. Spinachi
11. Alizeti
12. Mayai
13. Maini
14. Nyama
Kazi za vitamini E
1. Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
2. Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
3. Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
4. Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...