Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
VYAKULA VYA VITAMINI E
1. Karanga
2. Palachichi
3. Maziwa
4. Samaki
5. Siagi
6. Viazi mbatata
7. Mchele
8. Siagi
9. Korosho
10. Spinachi
11. Alizeti
12. Mayai
13. Maini
14. Nyama
Kazi za vitamini E
1. Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
2. Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
3. Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
4. Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B
Soma Zaidi...