Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
VYAKULA VYA VITAMINI E
1. Karanga
2. Palachichi
3. Maziwa
4. Samaki
5. Siagi
6. Viazi mbatata
7. Mchele
8. Siagi
9. Korosho
10. Spinachi
11. Alizeti
12. Mayai
13. Maini
14. Nyama
Kazi za vitamini E
1. Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
2. Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
3. Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
4. Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Soma Zaidi...