Vyakula vya vitamin E
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
VYAKULA VYA VITAMINI E
1. Karanga
2. Palachichi
3. Maziwa
4. Samaki
5. Siagi
6. Viazi mbatata
7. Mchele
8. Siagi
9. Korosho
10. Spinachi
11. Alizeti
12. Mayai
13. Maini
14. Nyama
Kazi za vitamini E
1. Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
2. Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
3. Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
4. Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Faida za kula Tangawizi
tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi
Soma Zaidi...Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi
Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Soma Zaidi...Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimwi
Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Faida za kula embe
Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...