picha

Vyakula vya vitamin E

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E

VYAKULA VYA VITAMINI E

1. Karanga

2. Palachichi

3. Maziwa

4. Samaki

5. Siagi

6. Viazi mbatata

7. Mchele

8. Siagi

9. Korosho

10. Spinachi

11. Alizeti

12. Mayai

13. Maini

14. Nyama

 

Kazi za vitamini E

1. Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin

2. Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini

3. Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva

4. Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4071

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 web hosting     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Faida za kula embe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti

Soma Zaidi...
Faida za kula Nazi

Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Kazi ya Piriton

Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.

Soma Zaidi...