Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.
Madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu.
1. Usababisha maambukizi kwanye figo, utokea pale ambapo figo ushindwa kuchuja kuchuja sumu hasa kama ni nyingi.
2. Usababisha mzio kwa watumiaji, pengine mtumiaji uwa na mepele kutokana na kutumia dawa hizo.
3. Usababisha madonda ya tumbo, hii utokea pale ambapo dawa hizi ukwangua Kuta za tumbo na kusababisha madonda ya tumbo
4. Usababisha maangaiko wakati wa kulala au kutopata usingi wakati wa usiku
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Habari DoktaNikuulize kituu?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.
Soma Zaidi...