Dawa za kutuliza maumivu na kazi zake
Post hii inahusu zaidi dawa za kupunguza maumivu na kazi zake, ni dawa ambazo upunguza maumivu kwenye mwili wa binadamu.
Dawa za kupunguza maumivu na kazi zake
1.Ni dawa ambazo upunguza maumivu makali au ya kawaida kwenye mwili wa binadamu.
2. Na pia utumika kushusha joto la mwili kama liko juu madawa haya ni kama asprini , Panadol na mengine mengi
3. Ukija kutumia madawa haya ni lazima kupata maelekezo kwa wataalamu wa afya au watu wowote ambao Wana ujuzi kuhusu madawa
4. Madawa haya hayapaswi kutumiwa na watu wenye madonda ya tumbo kwa sababu ukwangua ukuta wa tumbo na kuleta madhara makubwa zaidi.
5. Tunapaswa kutumia madawa haya kwa tahadhari maumivu kama ni ya kawaida tuyavumilie kwa sababu madawa haya si vizuri kuyatumia mara kwa mara
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 web hosting ๐2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐3 Kitabu cha Afya ๐4 Madrasa kiganjani ๐5 Simulizi za Hadithi Audio ๐6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu
Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu .
Soma Zaidi...Hofu ya kijamii (Social Anxiety): Dalili na tiba.
wazo la kuzungumza mbele ya hadhara au hata kwenye mikutano midogo linakupa jasho na mapigo ya moyo kwenda mbio? Hii inaweza kuwa ni Social Anxiety Disorderโhofu kubwa ya kutathminiwa au kuhukumiwa na wengine. Makala haya yanakusaidia kutambua kama una hali hii na mbinu za kitaalamu za kuishinda ili uweze kuishi maisha ya kujiamini
Soma Zaidi...Upungufu wa furaha na mabadiliko ya hisia ya mara kwa mara.
โMakala haya yanachunguza kiini cha upungufu wa furaha (anhedonia) na mabadiliko ya hisia ya mara kwa mara (mood swings), yakichambua visababishi vya kibiolojia na kisaikolojia, pamoja na kutoa mwongozo wa kitaalamu wa kukabiliana nayo.
Soma Zaidi...Mbinu za kupunguza Magonjwa ya kuambukiza.
Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza.
Soma Zaidi...dalili za mwanzo za ukimwi kwa mwanamke
Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke
Soma Zaidi...Matumizi ya dawa za kulevya na athari zake kwenye ubongo.
Dawa za kulevya hazibadili tu tabia ya mtu, bali zinasababisha mabadiliko ya kudumu kwenye muundo na utendaji kazi wa ubongo. Makala haya yanachambua jinsi dawa hizi zinavyoiba mfumo wa furaha wa ubongo (reward system), na jinsi matumizi yake yanavyoweza kusababisha madhara ya kiakili na kimwili ambayo ni vigumu kuyatengua.
Soma Zaidi...