Dawa za kutuliza maumivu na kazi zake
Post hii inahusu zaidi dawa za kupunguza maumivu na kazi zake, ni dawa ambazo upunguza maumivu kwenye mwili wa binadamu.
Dawa za kupunguza maumivu na kazi zake
1.Ni dawa ambazo upunguza maumivu makali au ya kawaida kwenye mwili wa binadamu.
2. Na pia utumika kushusha joto la mwili kama liko juu madawa haya ni kama asprini , Panadol na mengine mengi
3. Ukija kutumia madawa haya ni lazima kupata maelekezo kwa wataalamu wa afya au watu wowote ambao Wana ujuzi kuhusu madawa
4. Madawa haya hayapaswi kutumiwa na watu wenye madonda ya tumbo kwa sababu ukwangua ukuta wa tumbo na kuleta madhara makubwa zaidi.
5. Tunapaswa kutumia madawa haya kwa tahadhari maumivu kama ni ya kawaida tuyavumilie kwa sababu madawa haya si vizuri kuyatumia mara kwa mara
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Kitabu cha Afya ๐2 Madrasa kiganjani ๐3 Kitau cha Fiqh ๐4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐5 Simulizi za Hadithi Audio ๐6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.
Soma Zaidi...Dalili za tezi dume ambayo hazijashuka (cryptorchidism)
Tezi dume ambayo haijashuka si ya kawaida kwa ujumla, lakini ni ya kawaida kwa wavulana waliozaliwa kabla ya wakati.na muda mwingine zikipanda tumboni huwa hazishuki kabisa kwenye korodani.
Soma Zaidi...Minyoo na athari zao kiafya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
Soma Zaidi...Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?
Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ
Soma Zaidi...Bawasili usababishwa na nini?
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili.
Soma Zaidi...Mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.
Soma Zaidi...