Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.
1.Uzazi wa mpango ni kwa ajili ya Watu wote ambao ni wanawake na wanaume kwa sababu kuna na njia za uzazi wa mpango ambazo wanaume wanapaswa kushirikiana kwa hiyo siyo kweli kwamba njia za uzazi wa mpango ni kwa ajili ya wanawake tu.
2. Matumizi ya njia za uzazi wa mpango hayawezi kupunguza hamu ya tendo la ndoa bali usababisha tendo la ndoa kwa tamu zaidi kwa sababu hakuna anayefikilia kama kuna uwezekano wa kupata mimba kwa hiyo njia za uzazi wa mpango uondoa hofu ya mimba.
3.Njia za uzazi wa mpango hazisababishi ugumba hata kidogo kwa sababu zenyewe kazi yake ni kuzuia mimba kwa hiyo haziingilian na mambo ya ugumba.
4. Kondomu haiwezi kusafili katika via vya uzazi yaani kutoka sehemu moja kwenda nyingine kadri ya mpangilio wa via vya uzazi vilivyo labda kondomu inaweza kutoboka sio kusafiri kutoka kwenye uke, kwenda kwenye mfuko wa uzazi na kwenye ovari hii haiwezekani kabisa.
5. Njia za uzazi wa mpango zinaweza kusababisha maudhi madogo madogo sio maudhi makubwa kufikia kiasi cha kutoa uhai wa Mama kwa hiyo maudhi madogo madogo ni kama vile kutokwa na damu na hiyo ni kwa mda mfupi tu
6. Njia za uzazi wa mpango haziwezi kusababisha kuzaliwa kwa mtoto mfu bali kuzaliwa kwa mtoto mfu usababishwa na vitu vingine kabisa sio uzazi wa mpango, kwa hiyo Watu waache imani potofu ambazo zinaweza kusababisha kuzaa watoto wengi na wasio na mp as mpangilio kk wa sababu ya imani potofu za Watu wengine.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasip
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu.
Soma Zaidi...SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.
Soma Zaidi...Kichefuchefu ni moja katika dalili za mimba za mapema, Lucinda je upo uwezekano kwa mwanamke kuwa na ujauzito bila hata ya kuwa na kichefuchefu?
Soma Zaidi...Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...Jifunze muda ambao mjamzito hatatkiwa kishiriki tendo la ndoa. je kuna madhara kwa mjamzito kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...