Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.
1.Uzazi wa mpango ni kwa ajili ya Watu wote ambao ni wanawake na wanaume kwa sababu kuna na njia za uzazi wa mpango ambazo wanaume wanapaswa kushirikiana kwa hiyo siyo kweli kwamba njia za uzazi wa mpango ni kwa ajili ya wanawake tu.
2. Matumizi ya njia za uzazi wa mpango hayawezi kupunguza hamu ya tendo la ndoa bali usababisha tendo la ndoa kwa tamu zaidi kwa sababu hakuna anayefikilia kama kuna uwezekano wa kupata mimba kwa hiyo njia za uzazi wa mpango uondoa hofu ya mimba.
3.Njia za uzazi wa mpango hazisababishi ugumba hata kidogo kwa sababu zenyewe kazi yake ni kuzuia mimba kwa hiyo haziingilian na mambo ya ugumba.
4. Kondomu haiwezi kusafili katika via vya uzazi yaani kutoka sehemu moja kwenda nyingine kadri ya mpangilio wa via vya uzazi vilivyo labda kondomu inaweza kutoboka sio kusafiri kutoka kwenye uke, kwenda kwenye mfuko wa uzazi na kwenye ovari hii haiwezekani kabisa.
5. Njia za uzazi wa mpango zinaweza kusababisha maudhi madogo madogo sio maudhi makubwa kufikia kiasi cha kutoa uhai wa Mama kwa hiyo maudhi madogo madogo ni kama vile kutokwa na damu na hiyo ni kwa mda mfupi tu
6. Njia za uzazi wa mpango haziwezi kusababisha kuzaliwa kwa mtoto mfu bali kuzaliwa kwa mtoto mfu usababishwa na vitu vingine kabisa sio uzazi wa mpango, kwa hiyo Watu waache imani potofu ambazo zinaweza kusababisha kuzaa watoto wengi na wasio na mp as mpangilio kk wa sababu ya imani potofu za Watu wengine.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu damu, uteute na maji yanayotoka ukeni kipindi cha ujauzito
Soma Zaidi...Habari DoktaNikuulize kituu?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito
Soma Zaidi...Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...