Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.

Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.

Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.

1.Uzazi wa mpango ni kwa ajili ya Watu wote ambao ni wanawake na wanaume kwa sababu kuna na njia za uzazi wa mpango ambazo wanaume wanapaswa kushirikiana kwa hiyo siyo kweli kwamba njia za uzazi wa mpango ni kwa ajili ya wanawake tu.

 

2. Matumizi ya njia za uzazi wa mpango hayawezi kupunguza hamu ya tendo la ndoa bali usababisha tendo la ndoa kwa tamu zaidi kwa sababu hakuna anayefikilia kama kuna uwezekano wa kupata mimba kwa hiyo njia za uzazi wa mpango uondoa hofu ya mimba.

 

3.Njia za uzazi wa mpango hazisababishi ugumba hata kidogo kwa sababu zenyewe kazi yake ni kuzuia mimba kwa hiyo haziingilian na mambo ya ugumba.

 

4. Kondomu haiwezi kusafili katika via vya uzazi yaani kutoka sehemu moja kwenda nyingine kadri ya mpangilio wa via vya uzazi vilivyo labda kondomu inaweza kutoboka sio kusafiri kutoka kwenye uke, kwenda kwenye mfuko wa uzazi na kwenye ovari hii haiwezekani kabisa.

 

5. Njia za uzazi wa mpango zinaweza kusababisha maudhi madogo madogo sio maudhi makubwa kufikia kiasi cha kutoa uhai wa Mama kwa hiyo maudhi madogo madogo ni kama vile kutokwa na damu na hiyo ni kwa mda mfupi tu 

 

6. Njia za uzazi wa mpango haziwezi kusababisha kuzaliwa kwa mtoto mfu bali kuzaliwa kwa mtoto mfu usababishwa na vitu vingine kabisa sio uzazi wa mpango, kwa hiyo Watu waache imani potofu ambazo zinaweza kusababisha kuzaa watoto wengi na wasio na mp as mpangilio kk wa sababu ya imani potofu za Watu wengine.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/16/Wednesday - 04:09:46 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1126


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Sababu za ugumba kwa wanawake
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba Soma Zaidi...

Namna ya kutibu kuharisha kwa mtoto ukiwa nyumbani.
Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo. Soma Zaidi...

Mwanamke anatema mate mara kwa mara je inaweza kuwa ni ujauzito?
Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito. Soma Zaidi...

Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula. Soma Zaidi...

Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza
Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia. Soma Zaidi...

Mimi kwenye korodani yai moja limezungukwa na majimaji ,na haya maji yamekuwepo toka utotoni mwangu lakin bado sijayaona matatizo yake , je kitaaramu hii inaweza kua na athari gani? ,Naombeni ushauri
Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke. Soma Zaidi...

Njia za kiasili zilizotumika zamani kqtika kupima ujauzito
Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito Soma Zaidi...

Nimegundua ni mjamzito na kibaya zaid namtoto mchanga nimefanyiwa opaleshen naomba ushauli wako mkuu
Inatakiwa angalau nafasivkati ya mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Soma Zaidi...

mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt
Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo. Soma Zaidi...

Unaweza kuhisi chochote ktk tumbo ukiwa na wiki mbili? Na je ukibonyeza tumbo utahisi chochote ukiwa ns wiki
Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto. Soma Zaidi...

Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango. Soma Zaidi...

Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke Soma Zaidi...