Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.
1. Kadri ya sheria za Shirika la afya duniani limejaribu kuweka Dalili hizi nne kufuatana na Dalili anazozionyesha mtu. Kuna hatua ya kwanza kwenye hatua hii hakuna Dalili yoyote ambayo inaweza kujitokeza , mtu anakuwa kawaida na anafanya shughuli zake za kawaida bila shida yoyote yaani kwa ujumla hawezi kujua mpaka apime ndipo anapoweza kugundua kwamba ana Maambukizi.
2. Hatua ya tatu. Hii nayo ni Dalili ambayo kunakuwepo nadalili fulani kwa mgonjwa mfano uzito kupungua kwa asilimia kumi, mgonjwa anaanza kuwa na ma upele kwenye midomo na kwenye sehemu za siri, kuwepo kwa magonjwa ya mafua ya mara kwa mara na hayaponi na Magonjwa mengi mengi ushambulia mtu kwenye kipindi hiki ,kwa hiyo Mgonjwa baada ya kuona dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali au sehemu yoyote akapime.
3. Hatua ya tatu ni ile uzito unashuka sana kuliko kawaida na pia mgonjwa anakuwa anaharisha sana, na homa ambazo hazikatiki, yaani homa za mara kwa mara,na kwa kipindi hiki mgonjwa huwa na fungusi za kwenye mdomo, kifua kikuu uwepo kwa mgonjwa, kunakuwepo pia kwa Maambukizi ya bakteria kwa wingi, katika kipindi hiki wagonjwa wengi wanakuwa wamelala kitandani.
4.Hatua ya nne na ya mwisho.
Kwenye hatua hii virusi vinakuwepo kwenye mwili mzima na mtu hudhoofika sana, kunakuwepo na matatizo kwenye Upumuaji, kuharisha kwa wingi, mgonjwa kwa mara nyingine anakuwa amelala kitandani, kwa upande wa mgonwa wanapaswa kumpeleka hospitali ili akapime mapema.
5. Kwa hiyo baada ya kutambua hatua hizi watu wanapaswa kujua Dalili, Ugonjwa unavyosambaa na kuweza kujiwekea msimamo na malengo ya kweli.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
posti hii inahusu dalili za Pua iliyovunjika, pia inaitwa fracture ya pua, ni kuvunjika au kupasuka kwa mfupa katika pua yako
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika kwenye moyo hivyo hupelekea tishu kufa. Na Ugonjwa huu mtu akicheleweshewa matibabu huweza kupata mshtuko wa moyo mpaka kifo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.
Soma Zaidi...DALILI ZA MINYOO Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...Saratani ya Figo ni Saratani ambayo huanzia kwenye figo. Figo zako ni viungo viwili vyenye umbo la maharagwe, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa ngumi yako. Ziko nyuma ya viungo vyako vya tumbo, na figo moja kila upande wa mgongo wako.
Soma Zaidi...tambuwa chanzo na dalili za UTI na tiba yake, pamoja na njia za kupambana na UTI
Soma Zaidi...post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini
Soma Zaidi...