Hatua za Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.

Hatua za Ugonjwa wa Ukimwi.

1. Kadri ya sheria za Shirika la afya duniani limejaribu kuweka Dalili hizi nne kufuatana na Dalili anazozionyesha mtu. Kuna hatua ya kwanza kwenye hatua hii hakuna Dalili yoyote ambayo inaweza kujitokeza , mtu anakuwa kawaida na anafanya shughuli zake za kawaida bila shida yoyote yaani kwa ujumla hawezi kujua mpaka apime ndipo anapoweza kugundua kwamba ana Maambukizi.

 

2. Hatua ya tatu. Hii nayo ni Dalili ambayo kunakuwepo nadalili fulani kwa mgonjwa mfano uzito kupungua kwa asilimia kumi, mgonjwa anaanza kuwa na ma upele kwenye midomo na kwenye sehemu za siri, kuwepo kwa magonjwa ya mafua ya mara kwa mara na hayaponi na Magonjwa mengi mengi ushambulia mtu kwenye kipindi hiki ,kwa hiyo Mgonjwa baada ya kuona dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali au sehemu yoyote akapime.

 

3. Hatua ya tatu ni ile uzito unashuka sana kuliko kawaida na pia mgonjwa anakuwa anaharisha sana, na homa ambazo hazikatiki, yaani homa za mara kwa mara,na kwa kipindi hiki mgonjwa huwa na fungusi za kwenye mdomo, kifua kikuu uwepo kwa mgonjwa, kunakuwepo pia kwa Maambukizi ya bakteria kwa wingi, katika kipindi hiki wagonjwa wengi wanakuwa wamelala kitandani.

 

4.Hatua ya nne na ya mwisho.

Kwenye hatua hii virusi vinakuwepo kwenye mwili mzima na mtu hudhoofika sana, kunakuwepo na matatizo kwenye Upumuaji, kuharisha kwa wingi, mgonjwa kwa mara nyingine anakuwa amelala kitandani, kwa upande wa mgonwa wanapaswa kumpeleka hospitali ili akapime mapema.

 

5. Kwa hiyo baada ya kutambua hatua hizi watu wanapaswa kujua Dalili, Ugonjwa unavyosambaa na kuweza kujiwekea msimamo na malengo ya kweli.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1391

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UKIMWI

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto.

Soma Zaidi...
Madhara ya minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo

Soma Zaidi...
Dalili za moyo kutanuka

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.

Soma Zaidi...
YAMINYOO NA ATHARI ZAO KIAF

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Magonjwa ya moyo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.

Soma Zaidi...
Maajabu ya damu na mzunguuko wake mwilini.

Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu

Soma Zaidi...
Sababu zinazoweza kumfanya figo kuharibika.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika.

Soma Zaidi...